MAKOSHNELI
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 930
- 1,552
makoshneli mkuu mimi pia naishi hapa jijini mbeya uliyoyaeleza mengi nayajua so mfano bwana lena, soko la uhindini pia kuna mti kwa babu yangu inasemekana kuna rupia maeneo hayo kikweli hata tukienda kesho ilo eneo wamejaa nyuki na hawajawahi kuhama.
mkuu kama nilivyoandika hapo juu wajerumani nadhan kwa uzoefu na elimu yangu naona ndio watu waliopata kuelimika zaidi hasa karne ya 17,18 na 19 coz mambo waliyoyafanya miaka hyo ya zamani with respect na technology+miundombinu ya wakati huo ni makubwa mno kwanzia ujenzi wa madaraja,nyumba,reli,meli,submarine,migodi nk we just imagine mali zao walizificha kabla ya vita ya kwanza ya dunia but hadi leo pamoja na kuendelea kwa teknolojia bado huwezi ukatoa! So simple and clear sehem walizoficha mali zao walifanya mazindiko tena makubwa sasa miongoni mwa hayo mazindiko nikama nyuki au nyoka wa miaka yote yaani unakuta hiyo sehemu kuna nyuki au nyoka hafi wali haami hilo eneo,vi2 vingine nikama majini hasa chunusi sehem zenye maji kama mito na maziwa kama wewe ni mwenyeji wa mby nenda mabatini ile njia ya kuelekea itende jeshini unapokaribia kuingia eneo la jeshi kuna kota ya kwanza mkono wa kulia ipo pembezoni mwa mto ukiipita hiyo kota umbali kama wa mita 20 mtoni kuna shimo hapo na tayari zaid ya watu 4 walishawahi potelea hapo 1 akiwa ni mwanajeshi,jeshi walishaweka tangazo hapo kuwa ni marufuku mtu kufanya shughuli zozote eneo hilo ni hatari,eneo hilo kwa wakazi wa muda mrefu wa mabatini ukiwauliza "yorodani" ndio wapi watakusimulia vi2ko vya hapo coz zamani walikuwa wanakwenda hapo kufua na kubatiza waumini wao kabla hapajapigwa marufuku,mkuu yapo maeneo mengi sana hasa mkoa wa mby na wilaya zake zote na trick nyingine wajerumani waliyokuwa wanatumia hasa katika mashimo waliyofukia mali zao ni kuweka chupa zenye mecury so ukienda lazma utumie tochi kumulika sababu ya giza so on the way kumulika endapo utamulika ile chupa yenye mercury bulbu ya tochi inapasuka kutokana na reflection ya mercury
Last edited by a moderator: