Rupia: Hazina ya Mjerumani

Kama unaonaga magari ya wazungu kutokea south Africa yanapita mara kwa mara mby kwenda dar so wakichukua wanapeleka dar pale wanaiacha mizigo yao ubalozini kwao so huondoka nchini kama diplomatic parcel so huwa haikaguliwi

We mtu unayajuaje yote haya?upo kwenye muchakato nini?
 
Hapa ni igawa mbeya hizo picha ni sehem waliyotoa wajerumani mwaka huu mwezi wa 8 had wa 9 ukitaka nitafute nikupeleke
Mkuu MAKOSHNELI yan huwezi amini,leo ndo mara yangu ya kwanza kusoma huu uzi na nimeumalza muda huu saa9:20 usiku.Ktk uzi mzima wewe ndo starling wangu mkuu...yan ilikuwa kila nifungua page naomba nikutane na post yako..nimejifunza mengi sn kuptia kwako_Ombi langu naomba endelea kumwagika zaidi mkuu, unaonekana unajua mengi mazito huu uzi nimeusave kwa ajili yako mkuu...shusha
madini mkuu tupunguze ujinga.
 
SOMA HII:



The Balson Holdings Family Trust owns two type "B" 15 Rupien pieces - displayed below.This coin below was purchased by the Balson Holdings Family Trust from Heritage Coins in June 2005 (Item 13154) they noted: "lustrous AU and about as nice as we have seen one of these pieces". This piece is about as good as the "Tabora Pound", under siege conditions, gets. Value over US$4,000.
This coin below, almost UNC for the series, is owned by the Balson Holdings Family Trust. It reflects the deterioration of the dies over time - in particular on the side of the elephant - see rim bottom right area and the rim bordering the eagle at 6 and 9 o'clock. Value over US$3,000.

Hii ni kweli ina value, nakumbuka nilipo kuwa mdogo miaka ya 1990 nilikuwa nawasikia wazee wakiongea kuhusu hizi pesa,wakati huo nilikuwa naona pesa za kizamani rupee katika droo kwenye kabati nyumbani, Nilikuwa sijui chochote kuhusu hizi pesa nasikia maongezi tu.
Kama hali ndio hii, nikirudi nyumbani nitafuatilia kwa kina na kununua maeneo walio ishi wajurumani, maybe kuna good luck for me 😀😀
 

Attachments

  • 1451181405425.jpg
    1451181405425.jpg
    40.2 KB · Views: 427
  • 1451181415452.jpg
    1451181415452.jpg
    101.1 KB · Views: 449
  • 1451181425898.jpg
    1451181425898.jpg
    101.2 KB · Views: 551
Alafu dizaini waliyajenga kolocal sana.sasa serikali inaruhusije hao wajerumani kuna na vijiko na kujichotea tu??y serikali isiyachukue maeneo yote yenye izo hazina ikawa mali yake??
Troojan katika vitu ambavyo wajerumani walivifanya viwe complicated ni kwenye kuficha hizi mali zao,ukiona hizo sites zao unaweza ukadhani zipo simple sana kuchukua but kuna mitego mingi sana imewekwa na watu wengi sana wamepoteza maisha katika kuchukua hizo mali zao never estimate sehem walizoficha huwaga zinakuwa na only one way in/out ukipitia sehem nyingine kuna mitego kama sumu,mabomu,maji, carbonmonoxide na kamati za ufundi na wao ndio wanajua njia salama za kupitia ndiomaana wanachukua kirahisi
 
Hii kitu naanza kupata shaka kua ni kama ya KUSADIKIKA.
Maisha ya kusadikika ni Maisha yanayotawaliwa na vitu kuonekana kama vimethibiti kwa historia na kutawaliwa na neno 'nimesikia nimesikia' ukimpata aliyeona naye huongeza kusadikika zaidi badala ya kurahisisha habari.
Kwa maoni yangu binafsi,inawezekana kweli kulihifadhiwa vitu ila si kwa dhana ya thamani hii inayosadikika labda hii thamani ilijiri kipindi hicho wkt vinafichwa (that why vikawa hidden kiasi hicho tajwa) ...ila kuniambia vilifichwa kua na thamani endelevu tuuu mmmh doubt hapo..suala hili mzazi wangu wa kiume lilimpiga pesa mno mwisho wa siku wakajaishia ktk mapango wakizungumza na speaker za matapeli....kwa hiyo mnaoamini kujiri kwa hili vyema mkawa makini limekua la kitapeli zaidi.
Mwisho kabisa dhana hii ya mali za kijerumani nalinganisha na Maisha haya ya Kusadikika;
*Nyangumi na ukubwa wa kisiwa unaweza kupika ila usikate limao/ndimu
*Simba karatasi wa Mtwara,dakika mjini dakika newala
*Mume kugeuka chatu kisa mapenzi Buguruni(alipooga maji yenye dawa za mapenzi)
*Dada kugeuka Manyoya Salender Bridge
Hii ni Mifano michache ya Maisha Kusadikika hupati atakayekuambia kaona kila mtu atakuambia Kasikia Kasikia kama si kuhadithiwa....ila inreturn kila tukio hapo lina chanzo chake ambacho si uhalisia wa habari hiyo inayosambaa.
Mfano,hilo la mume kugeuka chanzo ni Wimbo ktk ngoma ya Mdundiko......thus hata hayo mengine yawezekana Hadithi za Bibi na Babu zetu.
Tafakari Chukua Hatua!!!
Mashimo ya mfalme Sulemani!!!
 
Troojan katika vitu ambavyo wajerumani walivifanya viwe complicated ni kwenye kuficha hizi mali zao,ukiona hizo sites zao unaweza ukadhani zipo simple sana kuchukua but kuna mitego mingi sana imewekwa na watu wengi sana wamepoteza maisha katika kuchukua hizo mali zao never estimate sehem walizoficha huwaga zinakuwa na only one way in/out ukipitia sehem nyingine kuna mitego kama sumu,mabomu,maji, carbonmonoxide na kamati za ufundi na wao ndio wanajua njia salama za kupitia ndiomaana wanachukua kirahisi
Sasa unshauri niji mdugubyangu kuhusu haya makitu.hebu tupe busara za kiutu uzima maana mimi kiukweli ni gemstone dealer based on tanga.nmekutana na hizi story nyingi sna nikiwa site.muheza uko,hare,lushoto na sehemubkadhaa.na nshawahi kutana na matreasure hunter s wengi.sema tunashindwag kuelewan .hebu shauri kitu kuhusu izi kitu.
 
Sasa unshauri niji mdugubyangu kuhusu haya makitu.hebu tupe busara za kiutu uzima maana mimi kiukweli ni gemstone dealer based on tanga.nmekutana na hizi story nyingi sna nikiwa site.muheza uko,hare,lushoto na sehemubkadhaa.na nshawahi kutana na matreasure hunter s wengi.sema tunashindwag kuelewan .hebu shauri kitu kuhusu izi kitu.
Chief naweza kukushauri kwa experience yangu ya miaka zaidi ya 10 kuhusu hizi mali za wajerumani kama unataka kutoa
1.ukitaka kutoa shirikiana na wajerumani wenyewe japo watakupa % ndogo sana
2.tumia nguvu za mungu plus watu wazoefu kweli kweli ambao wanaweza kusoma alama na mitego ya wajerumani bila ya kupata madhara
Kwa uzoefu wangu sijawahi ona au sikia mtu aliyeweza kutoa mali hizi za wajerumani kwa uganga au uchawi wengi wanaishia kudhurika,kupata vilema vya maisha ama na kufariki kabisa,kitu cha muhim ujue ni kwamba wajerumani hizi mali hawakuziacha hv hv walizindika na kuweka mitego mingi sana mfano sumu za powder walikuwa wanachanganya na udongo so ukiwa unachimba shimo kwenda kwenye mzigo bila ya kujua unakuwa unavuta hiyo sumu taratibu mwisho wa siku unafia shimoni humo humo hii imeua watu wengi sana,mitego mingine ni carbon monoxide na kemikali zingine zenye uwezo wa kudhuru mwili kwa haraka ndiomaana ukienda sehem ambazo wajerumani wametoa mzigo huwa wanatumia excavator ili ku avoid contact na hizi sumu hata kama ni umbali wa mita 5 tu kwenda chini watafukua eneo kubwa sana zaidi ya sq mita 25 ilimradi ku expose udongo mwingi sehemu ya wazi angalia picha hizi chini ni baadhi ya maeneo waliyotoa mizigo mwaka jana mby
1453064083669.jpg
1453064149844.jpg
1453064218195.jpg
 
Kuna ma treasure maeneo ya Zanzibar baharini, kama wapo ma pirate waje ship zao, hizi treasure kama huna jini huzipati
 
Mkuu,
Suala la Rupee/ Rupia ni fedha iliyotumika wakati wa Ukoloni wa Mjerumani. Kuhusu thamani ya fedha hiyo haina thamani yoyote kama inavyodhaniwa. Pamoja na hilo la utafutaji hazina na hilo la utafutaji Rupia ni mbinu za Wajanja ( Matapeli) kujipatia fedha kwa watu wanaowalenga. Wengi wamelizwa kwa mtindo huu wa utajiri wa haraka na mteremko.
Definitely true..mi nashangaa mpaka leo watu wanatapeliwa because of this staff..sijui watu bado hawajaamka ama ni ubunyufu
 
Mkuu Kichuguu,
Yawezekana usemayo kuhusu TABORA POUND yakawa na Ukweli kiasi fulani! Lakini kuna Utapeli mwingi unaendelea kwa Imani hiyo ya Kupata utajiri wa haraka kupitia fedha na Vifaa vya Kijerumani kama vle Pasi, Stove, bunduki, nk. Nina Ushuhuda wa ndg yangu aliyepoteza mali zake nyingi kupitia style ya Utapeli huo ingawa hadi leo haamini kuwa ameibiwa bali vifaa alivyonunua vilirudi kwa mwenyewe.
Kuna jamaaa alipata pasi akapewa na mzee momoja kutoka kigoma wakakubaliana akaenda uza dar wamefika morogoro pasi ikapotea mikononi mwake
 
Kwa wajuzi wa mambo mtujuze kunani ruvuma...
1. Peramiho hiki ni kijiji kilichosheheni underground ways na investments za kutosha....
2.Kuna mzungu flani ana villa yake pale njia ya kwenda mbinga nmeisahau jina ni eneo kubwa tu na wamejenga kitambo porini kule...
3. Hospital ya litembo njia ya kwenda mbamba bay ni hospital kubwa tu na ipo maporini sijui kipindi kile walipoijenga walitarget nini maana ni muda sana....
4. Kuna kanisa kubwa sana baada ya kupita nyoni njia hiyo hiyo ya ziwani...
5. Lituhi napo nasikia....
6. Ukitoka namtumbo kuelekea tunduru kuna mapori makubwa tu ila hayo maeneo yameshapimwa na kuwa planned kitambo sana yani maeneo ya shule makazi ibada maziko mashamba viwanda michezo na kila kitu vimepimwa na alama na mabango yamewekwa....
Hayo ni baadhi tu ya maeneo niliyoyashuhudia kwa macho yangu..

JE kwa wajuzi wa mambo na watu wa historia mnaweza kutupa mwanga kiasi....
Ni kweli huyo mzungu yupo hapo kama unaenda mbinga na kuna sehemi inaitwa maguu mbinga uko uko kuna kanisa kubwa sana lipo porini na kuna alama kwenye mawe mpaka za misalaba na nilijaribu kupepeleza kwa wwnyeji sikupata majibu muafaka
 
Back
Top Bottom