Acha uongo wewe Dr.(?) Kamala aliposhindwa ubunge wa Nkenge hakurudi MZUMBE IDM kufundisha.
Dr. Mvungi alikuwa mgombea, hakuchagulia, wapo aspirants wengi tu kutoka CCM walioshindwa kwenye preferential votes na wengine kwenye general election lakini wakarudi makazini. Tatizo hapa ni kwamba tayari umechaguliwa wether VITI MAALUM au kupitia JIMBO automatically unapoteza ajira ya utumishi wa umma.
BTW, serikali siku nyingi ilishasitisha LIKIZO BILA MALIPO, unless for special jobs kama wale wanaokwenda kufanya kazi kwenye International organization. Sijui kama viti maalumu ni SPECIAL JOBS.
But one thing I'm SURE for, and I bet my neck. First Kama huyo binti asingekuwa mtoto wa Kawawa and Second Kama binti huyo angeupata huo ubunge wa viti maalumu kupitia vyama vya UPINZANI. Believe asingerudi tena NSSF.
BTW, sikapendi haka ka-binti kwani eti ndiyo kawa wakilishi ka wafanyakazi kupitia viti maalumu, lakini sijakasikia hata siku moja kakitetea wafanyakazi kuhusu sheria kandamizi ya SSRA ya kuzuia mafao ya kujitoa. UZURI WA MKAKASI NDANI NI KIPANDE CHA MTI!
Sina uhakika kama amewahi kufanya kazi ofice hiyo. Unakumbuka huo waraka ulitoka lini? Mimi nakumbuka kama uliotoka baada ya uchaguzi wakati tayari yeye alishaondoka.