'Ruksa' kwa watumishi wa umma kushiriki siasa

Ni kwa muda mrefu tumekuwa tukishuhudia watumishi wa Umma au Waliostaafu Utumishi wa Umma wamekuwa wakitangaza nia au kugombea nafasi za kisiasa hasa Ubunge au Urais kupitia CCM, kwani kwa vyama upinzani sio tukio la kawaida.

Lakini kama inavyojulikana, kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa pamoja na ya Utumishi wa Umma, Mtumishi wa Umma haruhusiwi kushiriki active politics i.e kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa au kugombea nafasi za kisiasa wakati akiwa ni mtumishi wa Umma.

Pamoja na Sheria hizo, hata Katiba ya CCM inatamka bayana kuwa mwanachama atakuwa na sifa na haki ya kugombea uongozi ndani au kupitia CCM iwapo atatimiza miaka mitano (5) tangu awe mwanachama.

Hata hivyo, wafuatao waliwahi kugombea au kutaka kugombea kupitia CCM wakati wakiwa watumishi wa Umma au mara tu baada ya kustaafu utumishi wa Umma na bila ya kutimiza masharti yaliyowekwa na Katiba ya CCM:

1.Andrew Chenge- Alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Alfred Tibaigana- Alikuwa Kamanda Polisi wa Kanda ya Dsm
3.Balozi Ali Karume- Balozi wa Tanzania
4. .......................
5. ......................

Swali. Je ina maana kuwa waliendelea kuwa wanaccm wakiwa watumishi wa Umma.?
Na kama sio hivyo, ni lini walipata sifa ya kugombea kwa mujibu wa Katiba ya CCM ilhali bado au walikuwa hawamaliza miaka 5 tangu wamestaafu utumishi wa umma?
 
Chief mbona wataka kufukunyua mambo? Hivi ikibainika kuwa ni kweli wamevunja Sheria itakuwaje
 
Ni kwa muda mrefu tumekuwa tukishuhudia watumishi wa Umma au Waliostaafu Utumishi wa Umma wamekuwa wakitangaza nia au kugombea nafasi za kisiasa hasa Ubunge au Urais kupitia CCM, kwani kwa vyama upinzani sio tukio la kawaida.

Lakini kama inavyojulikana, kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa pamoja na ya Utumishi wa Umma, Mtumishi wa Umma haruhusiwi kushiriki active politics i.e kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa au kugombea nafasi za kisiasa wakati akiwa ni mtumishi wa Umma.

Pamoja na Sheria hizo, hata Katiba ya CCM inatamka bayana kuwa mwanachama atakuwa na sifa na haki ya kugombea uongozi ndani au kupitia CCM iwapo atatimiza miaka mitano (5) tangu awe mwanachama.

Hata hivyo, wafuatao waliwahi kugombea au kutaka kugombea kupitia CCM wakati wakiwa watumishi wa Umma au mara tu baada ya kustaafu utumishi wa Umma na bila ya kutimiza masharti yaliyowekwa na Katiba ya CCM:

1.Andrew Chenge- Alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Alfred Tibaigana- Alikuwa Kamanda Polisi wa Kanda ya Dsm
3.Balozi Ali Karume- Balozi wa Tanzania
4. .......................
5. ......................

Swali. Je ina maana kuwa waliendelea kuwa wanaccm wakiwa watumishi wa Umma.?
Na kama sio hivyo, ni lini walipata sifa ya kugombea kwa mujibu wa Katiba ya CCM ilhali bado au walikuwa hawamaliza miaka 5 tangu wamestaafu utumishi wa umma?

Swali lako ni zuri sana na lina mantiki kweli. Kuna watumishi wengi sana wa serikali waliochukua likizo ili kwenda kugombea ubunge; walioshindwa kuchaguliwa walirudi kuendelea na kazi zao na wale walioshinda wameendelea kuwa waheshimiwa. Kama kweli Katiba ya CCM inataka mtu awe mwanachama kwa miaka mitano mfululizo kabla hajaruhusiwa kuogmbea, hapo kutakuwa na mswali ya kujibiwa na Makamba.

Hata hivyo Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inatoa nafasi sawa kwa raia wote kuchagua kiongozi, na kugombea/ kuchaguliwa kuwa kuongozi. Inawezekana katiba ya CCM ikawa inakiuka Katiba ya jamhuri ya muungano kumzuia mtu asigombee uongozi hadi miaka mitano ya uanachama; ni ubaguzi wa aina fulani utakaowazuia vijana walifikisha miaka 18 ya kuanza kuwa wanachama wa CCM wasiruhusiwe kugombea uongozi kwa kipindi cha miaka mitano.
 
Hata hivyo Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inatoa nafasi sawa kwa raia wote kuchagua kiongozi, na kugombea/ kuchaguliwa kuwa kuongozi. Inawezekana katiba ya CCM ikawa inakiuka Katiba ya jamhuri ya muungano kumzuia mtu asigombee uongozi hadi miaka mitano ya uanachama; ni ubaguzi wa aina fulani utakaowazuia vijana walifikisha miaka 18 ya kuanza kuwa wanachama wa CCM wasiruhusiwe kugombea uongozi kwa kipindi cha miaka mitano.

Mkuu Kichuguu hoja hii umeitazama kisheria zaidi lakini kuna suala la Uadilifu ndani yake ambalo naamini hukuliona. wakati Kamanda Tibaigana akiwa pale Dar, naamini kabisa kuwa kwa kuwa alijua kabisa kuwa kuna siku atawania uongozi kupitia CCM, kuna wakati hakuwatendea haki wanachama wa vyama vya upinzani katika utekelezaji wa majukumu yake. Lakini kibaya zaidi ni kwamba ilikuwaje akaendelea kuwa mwanachama wakati sheria inakataza?
 
...............tanzania zaidi uijuavyo!!!!! as long as you do politics in the name of CCM=no problem....ishu fanya the same kwa chama cha upinzani...weeee!!!!
 
...............tanzania zaidi uijuavyo!!!!! as long as you do politics in the name of CCM=no problem....ishu fanya the same kwa chama cha upinzani...weeee!!!!

Hakuna rangi utaacha kuona. Ni kweli usemayo. Lakini kwa mtindo huo hatuwezi kujenga Taifa imara.
 
Ninavyoelewa mimi sheria haimkatazi mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha siasa bali inamkataza kushiriki katika "active politics" kwa maana hii hakuna aliyevunja sheria.... they are smart not to have managed this my friend!
 
Ni kwa muda mrefu tumekuwa tukishuhudia watumishi wa Umma au Waliostaafu Utumishi wa Umma wamekuwa wakitangaza nia au kugombea nafasi za kisiasa hasa Ubunge au Urais kupitia CCM, kwani kwa vyama upinzani sio tukio la kawaida.

Lakini kama inavyojulikana, kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa pamoja na ya Utumishi wa Umma, Mtumishi wa Umma haruhusiwi kushiriki active politics i.e kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa au kugombea nafasi za kisiasa wakati akiwa ni mtumishi wa Umma.

Pamoja na Sheria hizo, hata Katiba ya CCM inatamka bayana kuwa mwanachama atakuwa na sifa na haki ya kugombea uongozi ndani au kupitia CCM iwapo atatimiza miaka mitano (5) tangu awe mwanachama.

Hata hivyo, wafuatao waliwahi kugombea au kutaka kugombea kupitia CCM wakati wakiwa watumishi wa Umma au mara tu baada ya kustaafu utumishi wa Umma na bila ya kutimiza masharti yaliyowekwa na Katiba ya CCM:

1.Andrew Chenge- Alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Alfred Tibaigana- Alikuwa Kamanda Polisi wa Kanda ya Dsm
3.Balozi Ali Karume- Balozi wa Tanzania
4. .......................
5. ......................

Swali. Je ina maana kuwa waliendelea kuwa wanaccm wakiwa watumishi wa Umma.?
Na kama sio hivyo, ni lini walipata sifa ya kugombea kwa mujibu wa Katiba ya CCM ilhali bado au walikuwa hawamaliza miaka 5 tangu wamestaafu utumishi wa umma?

Ni wapi ambapo katiba ya CCM inasema ili kuwa kiongozi lazima utimize miaka mitano kwanza?

Kama hii premise yako sio kweli , ina maana hoja yako yote is dead in the water!
 
naomba kama kuna mtu anaweza kunipa kwa muhtasari kuwa serikali inaagiza nini kwa watumishi wake juu ya ushiriki wao kwenye siasa. Ni nini wanaruhusiwa kufanya, hasa katika kuongoza kwenye vyama vya siasa.

Nauliza hili kwa sababu tupo katika mchakato kabambe wa kuimarisha CHADEMA katika mkoa wetu, lakini kuna watu wanatutishia kuwa serikali imetoa waraka kuwa watumishi wa umma hawaruhusiwi kushiriki mambo yeyote ya uongozi au uratibu katika siasa. Naomba ufafanuzi please.
 
hiyo serikali ya ccm inataka mfanyakazi wa umma ushiriki siasa za chama cha mapinduzi tu ,na ukishiriki cha upinzani ni matatizo.ninachojua mimi ofisi nyeti kama jeshi,police,usalama ndio hawaruhusiwi kujiingiza na mambo ya siasa lazima uachie kimoja.nadhani na walimu pia.lakini angalia leo ni wanajeshi na polisi wangapi ambao wako ccm
 
Huu ni wakati wa kila moja wetu kushiriki hata ikiwezekana kwa usiri katika siasa, najua watawabana sana wafafanyakazi ila sasa tunachokiomba kwao ni Kura tu wakati wa uchaguzi na kuzilinda.

Maana wakijitosa kwenye majukwaa ya CDM watawafukuza kwa hila makazini.


Peoples power
 
Hata mioyo yao inatosha kuimarisha chama! Kwani inaonekana the big men don'twant anymore a critical thinking.
 
Ni kweli kabisa Dada yangu, hata hivyo kwa sasa maboss wengi makazini ni wafuasi wa CDM, ndo maana wanachofanya wao ni kufuata tu sheria pale inapowabidi kufanya hivyo. Michezo ya hila wengi wameshaacha...
hiyo serikali ya ccm inataka mfanyakazi wa umma ushiriki siasa za chama cha mapinduzi tu ,na ukishiriki cha upinzani ni matatizo.ninachojua mimi ofisi nyeti kama jeshi,police,usalama ndio hawaruhusiwi kujiingiza na mambo ya siasa lazima uachie kimoja.nadhani na walimu pia.lakini angalia leo ni wanajeshi na polisi wangapi ambao wako ccm
 
Huu ni wakati wa kila moja wetu kushiriki hata ikiwezekana kwa usiri katika siasa, najua watawabana sana wafafanyakazi ila sasa tunachokiomba kwao ni Kura tu wakati wa uchaguzi na kuzilinda.

Maana wakijitosa kwenye majukwaa ya CDM watawafukuza kwa hila makazini.


Peoples power

Ni kweli, lakini wakati umefika sasa watu wenye potentials wakajitosa kuokoa nchi hii. Pamoja na kuhitaji kura zao, lakini pia tunahitaji busara zao. Utakubaliana nami kuwa uwezo wa kiuelewa na kwa kiasi fulani kifedha, uliathiri uimara wa baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani mwaka huu. So ni wakati sasa wa kuhakikisha kama wao CCM wanajivunia hazina ya matajiri, CDM wajivunie hazina ya wasomi na wanaharakati na wananchi wengine wote wasio na maslahi katika ufisadi...
 
CHADEMA ni chama cha ukombozi hivyo haijalishi kama ni mtumishi wa umma au laa hata hao wanajeshi na polisi wanahali mbaya hivyo nao wanataka ukombozi
 
Hayo madai si yakweli zaidi ya kwepo kwenye makaratasi hadi pale ambapo watakapokufafanulia kazi ya Mhe Lukuvi majuzi tu Dar es Salaam ilikua ni utumishiwa kwa umma kama RC na kwenye vyeo vya Sisiem hakuviacha.

Mtumishi wa Umma namba moja nchini ni Rais Kikwete lakini ndiye mwenyekiti taifa CCM. Wakuu wetu wamikoa na Wilaya kamwe hawapewi hizo kazi mpaka mtu awe ni KADA wa chama tawala.

Hayo maelezo ni fix, kayapuuzilie mbali.

naomba kama kuna mtu anaweza kunipa kwa muhtasari kuwa serikali inaagiza nini kwa watumishi wake juu ya ushiriki wao kwenye siasa. Ni nini wanaruhusiwa kufanya, hasa katika kuongoza kwenye vyama vya siasa.

Nauliza hili kwa sababu tupo katika mchakato kabambe wa kuimarisha CHADEMA katika mkoa wetu, lakini kuna watu wanatutishia kuwa serikali imetoa waraka kuwa watumishi wa umma hawaruhusiwi kushiriki mambo yeyote ya uongozi au uratibu katika siasa. Naomba ufafanuzi please.
 
Kamanda tibaigana, alijiunga na ccm lini & kadi namba yake ni ya kitambo si alikuwa polisi ule,na muleba wamemtosa. Tibaigana, anatakiwa ashitakiwe na arudishe pesheni yake. Kwa kuvunja katiba kwa kujihusha na siasa akiwa majeshini .kwani alianza fitina za ubunge akiwa bado rpc wa dar.
 
Kwa wale wanaojua muongozo huu naomba wanisaidie nataka kujua je inawezekana mfanyakazi wa umma akawa diwani/ Meya na kisha kuendelea na utumishi wa umma kwa wakati mmoja?
 
Inawezekana Mkuu, ila tu asiwe diwani ndani ya Halmashauri anayoifanyia kazi, I mean m2mishi wa Halmashauri hyo.
 
Back
Top Bottom