La Cosa Mia
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 271
- 127
umejitahidi na pro chadema kama kawaida wakakumwagia like ! lakini mwandishi wa thread kasema huyu dada anaitwa Rukia Kilemela sasa aliyekurupuka sijui weye au mleta thread ..
Wewe ndio kiazi kabisa.....yani hata msomage vipi nyie watu mnabaki mambumbumbu.....hebu angalia jina la mwandishi katika makala yake kabla hujatoa mashuzi yako hapa.... kaandika mwenyewe RUKIA KILEMILE angalia hata na email yake kiazi wewe!!!! Halafu toka 2005 anarudia mitihani ndio 2007 kapata credit moja...