Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Hakika ile shoo iliyopigwa na muheshimiwa Sugu akishirikiana na Vinega kweli nimemkubali huyu muheshiwa mbunge aliturusha mpaka nimeburudika vya kutosha! Sasa namtaka kijana Ruge akubali yaishe na akiri kua ule mradi wa Malaria haikubaliki sio Idea yake bali ni Idea ya muheshimwa Sugu, Ruge itisha press na uwatangazie umma wa watanzania kua haikua Idea yako tutakusamehe! Huu ni mtazamo wangu kwako Ruge.