The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
South Africa and Wales was a tight match
They way this picture has been taken unaweza kufikiria someone is being hit in his balls lol!!!!
South Africa and Wales was a tight match
Big events kama hizi huwa hazikosi vituko kama hivi lol!!!!!
This time South Africa team is not strong the way they used to be back in 2007 wanaweza wasifike mbaliwas a tough tough tough game..
na usema ukweli Wales walishinda hii game
lakini refa alifanya makosa hakuwapa "penalty goal"
walilopata.. yenye 3 points.ilikwa kesi babu kubwa anyway wasiposhinda game
inayokuja wako matatani....
Naona kwa ALL BLACKS watamfunga Japan bila wasiwasi pia watamfunga France lakini watawapa a tough gamehahahahahah USA ...
ngoja nsi comment mengi nsijetukanwa
nawapenda US bure......
(ila nadhani watakuwa wakwanza kubeba mabegi)
This time South Africa team is not strong the way they used to be back in 2007 wanaweza wasifike mbali
Hhahaha vinasaidia vileVikapu The finest....
Vikapu vinasaidia wajukuu
Naona kwa ALL BLACKS watamfunga Japan bila wasiwasi pia watamfunga France lakini watawapa a tough game
Namibia, Botswana, Swaziland, Zimbabwe, South Africa hizi nchi wala huwa sishangai sana kuona kwenye timu zao za taifa kuwa na watu weupemi Namibia bana
nimewapenda bure.
game walilocheza , forward walikuwa wana bomea hiyo defense ya Fiji loohh
lakini wa Fiji kama kawa waliwashinda nguvu ila Namibia waliwapeleka ile mbaya..
kitu kilichonishangaza kuhusu team ya Namibia .. kabla ya second half kulikuwa
na mwafrica mmoja tu uwanjani.. lakini ukiangalia team ya Fiji ndo wanaonekana
kama wametoka Africa..
The team to be careful with ni Australia naona walimtandika Italy 32yeah France na AB ... hilo game litakuwa tamu kuangalia...
lakini hao wajapan wanakimbia hao, halafu wanajua kuponyoka
kwente tackle.. lakini hata hivyo AB watawatandika tu bila wasi..
Namibia, Botswana, Swaziland, Zimbabwe, South Africa hizi nchi wala huwa sishangai sana kuona kwenye timu zao za taifa kuwa na watu weupe
Hahaha!!! Kifanyie kazi vizuriinashangaza sana ...
Anyhow mi naondoka ntarudi baadaye..
Ngoja nkashughulikie ulichonitumia..
Chaoooo mwahhhhh
Namibia wame improve sana tangu last time. Fiji nao wakicheza hivyo watashindwa na Samoa.