IronBroom
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 521
- 36
I came across this dialogue......
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!
Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram.
Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!
Rugaimukamu: mmmm
(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )
Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?
Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!
Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram.
Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!
Rugaimukamu: mmmm
(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )
Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?
Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!