Rubani wa US Airways afunga break ghafla - abiria matumbo moto

Pamoja sana Mkuu. Ila milele kwenye mambo ya ndege, kipindi kibaya huwa ni wakati wa kuruka/kupaa na kutua. Kupaa hatari yake kubwa ni kitu chochote kikiingia kwenye Engine kama ulivyoona Videos. Wakati wa kutua, huwa ni UPEPO mkali ukiwepo uwanjani na matairi yakigoma kutua. Pia kwenye viwanja vya kizamani ama siyo advanced, kama kuna giza, ukungu nk huwa ni kashehse.

Kwa nchi za wenzetu kama Russia, Sweden, Finland, Norway, Canada, nk pia wana tatizo wakati wa Winter kuwa kabla ndege haijapaa, lazima waiyeyushe barafu kwenye ndege nzima. Kama barafu imeganda na ndege ikaruka na hiyo barafu, basi huzidi kuganda na kuongezeka wakati inapaa na mwisho kuwa mzigo mzito sana kwa ndege na hiyo hupelekea ndege kuanguka. Juzi tu moja imeanguka Russia kwa kosa hilo kama uliona.

Kwa hiyo milele kumbuka kuwa ndege (BIRDS) kwenye viwanja vya ndege, NI HATARI SANA na si kama ulivyosema kuwa si kitu cha kutisha. Ndiyo maana huyo Rubani wa USA na rubani wa Poland, ilipelekea hadi kuwakutanisha na kuwapa hongera kwani mambo waliyoyafanya yalikuwa yanatisha ingawa wote walicheka na kusema "hili angeliweza kulifanya kila rubani mwenye uzoefu kama wangu......" Hongera kwa marubani wote kwa kazi ngumu waifanyayo inayohitaji Uwe na Nerves ngumu kama chuma.
Sikonge, nimeipenda hii, kiwango chako cha uelewa na kujadili jambo umepevuka. Hakuna binadamu mwenye uelewa wa kila jambo, ndio maana hapa tunajitahidi kuwaka mada za kuelimishana, kupashana habari na kutahadharisha, kwani kwa maoni mbalimbali kama yako uliyotoa yanatusaidia wengi kupanua zaidi wigo wa upeo wetu katima masuala ambayo hatujawa na uelewa mkubwa.

Sidhani hoja za mipasho zinaweza kutusaidia ila tu mradi mtu ameweka mstari ndani ya mada inayojadiliwa, haya ya uzoefu na upeo wa akina Sikonge ndiyo tunayotaka.

Thanks Sikonge.
 
Pamoja sana Mkuu. Ila milele kwenye mambo ya ndege, kipindi kibaya huwa ni wakati wa kuruka/kupaa na kutua. Kupaa hatari yake kubwa ni kitu chochote kikiingia kwenye Engine kama ulivyoona Videos. Wakati wa kutua, huwa ni UPEPO mkali ukiwepo uwanjani na matairi yakigoma kutua. Pia kwenye viwanja vya kizamani ama siyo advanced, kama kuna giza, ukungu nk huwa ni kashehse.

Kwa nchi za wenzetu kama Russia, Sweden, Finland, Norway, Canada, nk pia wana tatizo wakati wa Winter kuwa kabla ndege haijapaa, lazima waiyeyushe barafu kwenye ndege nzima. Kama barafu imeganda na ndege ikaruka na hiyo barafu, basi huzidi kuganda na kuongezeka wakati inapaa na mwisho kuwa mzigo mzito sana kwa ndege na hiyo hupelekea ndege kuanguka. Juzi tu moja imeanguka Russia kwa kosa hilo kama uliona.

Kwa hiyo milele kumbuka kuwa ndege (BIRDS) kwenye viwanja vya ndege, NI HATARI SANA na si kama ulivyosema kuwa si kitu cha kutisha. Ndiyo maana huyo Rubani wa USA na rubani wa Poland, ilipelekea hadi kuwakutanisha na kuwapa hongera kwani mambo waliyoyafanya yalikuwa yanatisha ingawa wote walicheka na kusema "hili angeliweza kulifanya kila rubani mwenye uzoefu kama wangu......" Hongera kwa marubani wote kwa kazi ngumu waifanyayo inayohitaji Uwe na Nerves ngumu kama chuma.

Nakubaliana na tahadhari na uzoefu wako katika maelezo yako mazuri. Ndege inapotua kwa kawaida huwa ina-slow down sana kasi yake, na hivyo kama kuna mawimbi makubwa na upepo mkali ni hatari sana. Mfano tuwapo angani ndege inapopita kwenye mkondo mkali zinapokutana pepo tunashuhudia mtikisiko mkubwa wa ndege, mawimbi yanayvoipiga ndege hadi kuyumba kiasi, hali kadhalika mengine myajuayo wenzangu.

Kasi ya ndege inaporuka ni dhahiri ndege wakubwa wakivutwa ndani ya injini wanaweza kusababisha kunasa na hivyo feni za injini zikakatika au kunasa zisiweze kuzunguka na hivyo kusababisha injini kuzima. haya ni baadhi ya niliyojifunza kutokana na elimu shirikisha uliyoleta hapa.
 
Candid Scope,

Tumejadili jana na leo kasheshe ndege ya Delta. Sijui kama umeona au kusikia.

Delta Flight 1063 was forced to make an emergency landing at New York's John F. Kennedy International Airport after its right engine reportedly experienced a bird strike shortly after takeoff this afternoon.
The flight, originally bound for Los Angeles, returned safely to JFK.
"On takeoff, the airplane had a likely bird strike," said a Delta statement. "As a precaution, the captain elected to return to JFK. The flight landed without incident, and we're working on reaccomodating the passengers."

From: Delta Flight Makes Emergency Landing After Bird Strike - Yahoo! News
 
Last edited by a moderator:
abc_bird_strikes_delta_plane_jfk_thg_120419_wmain.jpg


Asante kwa information hizi nilikuwa sijazipata bado, haya mandege yanaweza hatarisha uhai wa sisi binadamu.
 
Candid Scope,

Tumejadili jana na leo kasheshe ndege ya Delta. Sijui kama umeona au kusikia.

Delta Flight 1063 was forced to make an emergency landing at New York's John F. Kennedy International Airport after its right engine reportedly experienced a bird strike shortly after takeoff this afternoon.
The flight, originally bound for Los Angeles, returned safely to JFK.
"On takeoff, the airplane had a likely bird strike," said a Delta statement. "As a precaution, the captain elected to return to JFK. The flight landed without incident, and we're working on reaccomodating the passengers."

From: Delta Flight Makes Emergency Landing After Bird Strike - Yahoo! News

Kwa harakaharaka bila kufikiria kitaalamu tungesema waweke wavu kuzuia ndege hao kuvutwa kwenye injini, lakini kwa mainjia ni jambo huenda lisilowezekana.
 
hii ndege rubani aliamua kuitua majini ktk mto Hudson baada ya kundi la ndege kuingia ktk injini ya ndege na sio kuwa imechoka.US Air Flight 1549 down in Hudson River
hakuwa na jinsi kwani airport ilikuwa mbali na wasingefika salama yake ilikuwa kuipeleka majini kwa kufuata mkondo wa mto. Ndio iliotokea tena ktk hii ndege iliotua ghafla. andika habari ukiwa na uhakika sio kudanganya umma
Delta Flight Makes Emergency Landing After Bird Strike - ABC News
Kuna dalili ndege za hawa jamaa ziko choka ile mbaya. Picha hizi dege lao moja liliposhindwa kuendelea na safari jijini New York na kuishia rubani kulitua ndani ya mkondo wa bahari unaounganishwa na mto Hudson.

crash1630.jpg
Gallery-Hudson-river-plan-002.jpg
Gallery-Hudson-river-plan-007.jpg
 
Back
Top Bottom