Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,907
- 22,057
Habarini wana ndugu.....,
habari zilizotufikia hivi punde lile sakata la kushushwa rubani wa airzahra
Kushushwa na mamlaka ya TCAA sasa limepata ufumbuzi..pamoja n kuomba AIRZAHARA waje kutueleza ukweli ilibidi tufwatilie wenyewe na haya ndio majibu halisi wenye muda mnakaribishw a tcaa
Rubani wa Ndege ya Air zahra Capt makinda Amefungiwa maisha kursha ndege baada ya kukutwa na forging ya miaka yake kwenye licence.akiongea kwa msikitiko mmoja wa maofisa wa TCAA amesema Bw makinda alipata License ya NAIROBI baada ya kuonyesha cheti cha kuzaliwa cha mwaka 1949...na hivyo kuwa within time of flying...lakini ukweli halisi unaonyesha Capt huyo huyo Makinda amezaliwa mwaka 1943 katika license yake ya tanzanzia aliochukulia TCAA...na hiki ndicho kilichofanya asimpe license yake ya Nbo akijua itatatofautiana na License ya tanzania....anyway haswa zaidi rubani aruhusiwi kuruka zaidi ya miaka 65 na katika mahesabu huy bwana amepita miaka 65 na hivyo aruhusiwi kurusha ndege ....kana kwamba hilo alitoshi amehukumiwa kwa kosa lla kutoheshimu mamlaka ya TCAA kwa kutokabidhi licence yake huku sheria zikisema inspector akionyesha akija kwenye ndege anatakiwa kuonyesha kitambulisho chake na baada ya hapo hana kipingamizi.....pole sana Cap makinda yote ni kutafuta maisha ila safety ya watanzania ni muhimu zaidi
Natumaini hili litaendelea kwa wafanyakazi wote na si wanaoruka tu ...kuna wafanyakazi wengi wa mashirika ya ndege wameingia kwa kufoji miaka yao ya kuzaliwa na hii inafanya hata ukimwona amechoka kwenye kazi lakini muda wa kumstaafisha bado....haya mazingira yanaitaji kufwatiliwa maana risk yake ni kubwa zaidi......
habari zilizotufikia hivi punde lile sakata la kushushwa rubani wa airzahra
Kushushwa na mamlaka ya TCAA sasa limepata ufumbuzi..pamoja n kuomba AIRZAHARA waje kutueleza ukweli ilibidi tufwatilie wenyewe na haya ndio majibu halisi wenye muda mnakaribishw a tcaa
Rubani wa Ndege ya Air zahra Capt makinda Amefungiwa maisha kursha ndege baada ya kukutwa na forging ya miaka yake kwenye licence.akiongea kwa msikitiko mmoja wa maofisa wa TCAA amesema Bw makinda alipata License ya NAIROBI baada ya kuonyesha cheti cha kuzaliwa cha mwaka 1949...na hivyo kuwa within time of flying...lakini ukweli halisi unaonyesha Capt huyo huyo Makinda amezaliwa mwaka 1943 katika license yake ya tanzanzia aliochukulia TCAA...na hiki ndicho kilichofanya asimpe license yake ya Nbo akijua itatatofautiana na License ya tanzania....anyway haswa zaidi rubani aruhusiwi kuruka zaidi ya miaka 65 na katika mahesabu huy bwana amepita miaka 65 na hivyo aruhusiwi kurusha ndege ....kana kwamba hilo alitoshi amehukumiwa kwa kosa lla kutoheshimu mamlaka ya TCAA kwa kutokabidhi licence yake huku sheria zikisema inspector akionyesha akija kwenye ndege anatakiwa kuonyesha kitambulisho chake na baada ya hapo hana kipingamizi.....pole sana Cap makinda yote ni kutafuta maisha ila safety ya watanzania ni muhimu zaidi
Natumaini hili litaendelea kwa wafanyakazi wote na si wanaoruka tu ...kuna wafanyakazi wengi wa mashirika ya ndege wameingia kwa kufoji miaka yao ya kuzaliwa na hii inafanya hata ukimwona amechoka kwenye kazi lakini muda wa kumstaafisha bado....haya mazingira yanaitaji kufwatiliwa maana risk yake ni kubwa zaidi......