Original Pastor,Oh!! Mimi najiuliza swali si vibaya kama mtu yupo kisheria akakuomba leseni yako , Kutompa ni kosa kwani yeye ametumwa Serikali au anafuata sheria kwani Tanzania Inaendeshwa na Utawala wa Sheria lakini utekelezaji wake ni wa kusuasua. Mimi naunga mkono Hoja kwamba Lazima ashushwe tena Ashtakiwe mahakamani kwa ku oppose law. kwani tunajua hata askari akikuomba kitambulisho chako na wewe ukafahamu kwamba huyu ni askari ambaye yupo kwa ajili yako unatakiwa kumpa hili swala halina mjadala. Yeye sawa ni Rubani wa siku nyingi lakini amejishusha status kwa kushindwa kufikia malengo ya ujuzi, uzoefu na ujasiri wake. Apelekwe mahakamani wewe kama upo legal kwanini ukatae??????????
Hii posting yako naona Mod. hajaiondoa. kwi!kwi!