FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 327
Geita kwa ujumla kuna tatizo sana upande wa jeshi la polisi
Foreigner mchina (tena possibly ni mhamiaji haramu) anampiga na kumtesa kinyama RAIA MZAWA! Mtanzania mwenzetu huyo pamoja na kipigo chote alichopewa, still akapelekwa gerezani na kutupwa lock-up! Mchina karateka hakuguswa, 'vyombo vya dola' vyote mkoa mzima vikashindwa kabisa kumshughulikia mchina huyo.
RPC yupo! OCS yupo! OCD yupo! CID yupo! Mkuu wa Wilaya yupo! Mkuu wa Mkoa yupo! wote hawa wanakula mishahara kwa kodi za wananchi lakini walikuwa vipofu kabisa juu ya suala hili.
Eti mpaka Waziri anasafiri to Geita kwa ajili ya suala hilo ndipo HAKI inaonekana kuanza kutendeka. Najiuliza... je kama Waziri asingekwenda huko Geita, kwahiyo hili suala ndo lingefunikwa na kupita?!!!
Mgeni mhamiaji (tena si ajabu ukute hana hata vibali vya Uhamiaji) anamnyanyasa RAIA mzawa na hachukuliwi hatua yoyote wala kuadabishwa. Only in Tanzania! Nchi hii ngumu sana walahi.
Huwa najiuliza, hivi hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania?
Heko kwako Mh Waziri husika, ndugu Mwigulu Nchemba kwa kuinuka offisini na kwenda kulinda haki na utu wa huyo mtanzania mwenzetu. Endelea hivyo hivyo mkuu. simamia na himiza criminal justice ndani ya nchi yetu.
TAKUKURU pia chunguzeni hili suala, inaonekana kuna element za rushwa kubwa !
RPC jipime mwenyewe kabla hujatumbuliwa.
-Kaveli-
Watakuwa walipewa hela haoUnajua kuna kitu cjaelewa, kunyanyaswa kanyanyaswa sasa ilikuwaje tena na gerezani kapelekwa yeye?
Nakumbuka kuna ajali ilitokea Rwanda mpakani lorry lilianguka na kuziba njia,eneo ambalo mchina alipewa kandarasi ya kujenga barabara,mchina aliombwa crane asaidie kulinyanyua lile gari ili njia iweze kupitika,akagoma,kilichofuata ni wanajeshi wa rwanda waliingia ndani ya kambi ya hao wachina wakachukua crane wakalinyanyua gari,na kangame akawatimua hao wachina nchini mwake.
Rushwa bado ipo serikalini hasa polisi, uhamiaji.RUSHWA kitu kibaya sana. Mzawa unanyanyaswa/unateswa na 'wakuja' kisa anamiliki mgodi na ni ngozi nyeupe! big shame kwa police Geita.
Hili tukio lazima liondoke na mtu. Mh Magufuli ndo huwa hapendi upuuzi kama huo.
-Kaveli-
Kwa tukio hili kuanzia ngapi ya mkoa wanatakiwa wapishe viti walivyo kalia ili PCCB wafanye ukachero.Nitashangaa Mwigulu akiondoka Geita bila kutumbua mtu!! Watakuwa wanalea mfumo wa rushwa nchini, aanze na OCD kupanda juu wote sijui wapelelezi na wenzao wooote
Naomba niishie hapa tu aiseeee....Jeshi ni tofaut na taasisi zingine za mkonge .......huku hatuna siasa hayo ya kujipima waambie wanasiasa. .........
Hivi unadhani tatizo laweza nikawa nini hasa!?Geita kwa ujumla kuna tatizo sana upande wa jeshi la polisi
Wachina kwa kuhonga ni balaa, ingawake itakuwa vigumu kuthibitishahilo.Foreigner mchina (tena possibly ni mhamiaji haramu) anampiga na kumtesa kinyama RAIA MZAWA! Mtanzania mwenzetu huyo pamoja na kipigo chote alichopewa, still akapelekwa gerezani na kutupwa lock-up! Mchina karateka hakuguswa, 'vyombo vya dola' vyote mkoa mzima vikashindwa kabisa kumshughulikia mchina huyo.
RPC yupo! OCS yupo! OCD yupo! CID yupo! Mkuu wa Wilaya yupo! Mkuu wa Mkoa yupo! wote hawa wanakula mishahara kwa kodi za wananchi lakini walikuwa vipofu kabisa juu ya suala hili.
Eti mpaka Waziri anasafiri to Geita kwa ajili ya suala hilo ndipo HAKI inaonekana kuanza kutendeka. Najiuliza... je kama Waziri asingekwenda huko Geita, kwahiyo hili suala ndo lingefunikwa na kupita?!!!
Mgeni mhamiaji (tena si ajabu ukute hana hata vibali vya Uhamiaji) anamnyanyasa RAIA mzawa na hachukuliwi hatua yoyote wala kuadabishwa. Only in Tanzania! Nchi hii ngumu sana walahi.
Huwa najiuliza, hivi hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania?
Heko kwako Mh Waziri husika, ndugu Mwigulu Nchemba kwa kuinuka offisini na kwenda kulinda haki na utu wa huyo mtanzania mwenzetu. Endelea hivyo hivyo mkuu. simamia na himiza criminal justice ndani ya nchi yetu.
TAKUKURU pia chunguzeni hili suala, inaonekana kuna element za rushwa kubwa !
RPC jipime mwenyewe kabla hujatumbuliwa.
-Kaveli-
Ni ujinga mkuu yaani A.K.A ukondooTz bado tuna ile tabia ya" kumlamba mgeni viatu" wakati huo wenzetu hawana huo muda kabisa wa kumtetemekea mgeni, kwa mfano mdogo tu wakati timu zetu zinapoenda kucheza nje ya nchi huwa zinafanyiwa mchezo mchafu wenyewe huita (figisufigisu)kuanzia pale tu zinapotua kwenye uwanja wa ndege mpaka kipindi cha kucheza.Wakati huo hao watu wakija huku kwetu huwa tunakaa kimya mfano wa mbwa anaye weka mkia wake miguuni.Mimi nahisi huu si upendo bali ni kama la....na.