Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,120
- 8,140
Foreigner mchina (tena possibly ni mhamiaji haramu) anampiga na kumtesa kinyama RAIA MZAWA! Mtanzania mwenzetu huyo pamoja na kipigo chote alichopewa, still akapelekwa gerezani na kutupwa lock-up! Mchina karateka hakuguswa, 'vyombo vya dola' vyote mkoa mzima vikashindwa kabisa kumshughulikia mchina huyo.
RPC yupo! OCS yupo! OCD yupo! CID yupo! Mkuu wa Wilaya yupo! Mkuu wa Mkoa yupo! wote hawa wanakula mishahara kwa kodi za wananchi lakini walikuwa vipofu kabisa juu ya suala hili.
Eti mpaka Waziri anasafiri to Geita kwa ajili ya suala hilo ndipo HAKI inaonekana kuanza kutendeka. Najiuliza... je kama Waziri asingekwenda huko Geita, kwahiyo hili suala ndo lingefunikwa na kupita?!!!
Mgeni mhamiaji (tena si ajabu ukute hana hata vibali vya Uhamiaji) anamnyanyasa RAIA mzawa na hachukuliwi hatua yoyote wala kuadabishwa. Only in Tanzania! Nchi hii ngumu sana walahi.
Huwa najiuliza, hivi hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania?
Heko kwako Mh Waziri husika, ndugu Mwigulu Nchemba kwa kuinuka offisini na kwenda kulinda haki na utu wa huyo mtanzania mwenzetu. Endelea hivyo hivyo mkuu. simamia na himiza criminal justice ndani ya nchi yetu.
TAKUKURU pia chunguzeni hili suala, inaonekana kuna element za rushwa kubwa !
RPC jipime mwenyewe kabla hujatumbuliwa.
-Kaveli-
RPC yupo! OCS yupo! OCD yupo! CID yupo! Mkuu wa Wilaya yupo! Mkuu wa Mkoa yupo! wote hawa wanakula mishahara kwa kodi za wananchi lakini walikuwa vipofu kabisa juu ya suala hili.
Eti mpaka Waziri anasafiri to Geita kwa ajili ya suala hilo ndipo HAKI inaonekana kuanza kutendeka. Najiuliza... je kama Waziri asingekwenda huko Geita, kwahiyo hili suala ndo lingefunikwa na kupita?!!!
Mgeni mhamiaji (tena si ajabu ukute hana hata vibali vya Uhamiaji) anamnyanyasa RAIA mzawa na hachukuliwi hatua yoyote wala kuadabishwa. Only in Tanzania! Nchi hii ngumu sana walahi.
Huwa najiuliza, hivi hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania?
Heko kwako Mh Waziri husika, ndugu Mwigulu Nchemba kwa kuinuka offisini na kwenda kulinda haki na utu wa huyo mtanzania mwenzetu. Endelea hivyo hivyo mkuu. simamia na himiza criminal justice ndani ya nchi yetu.
TAKUKURU pia chunguzeni hili suala, inaonekana kuna element za rushwa kubwa !
RPC jipime mwenyewe kabla hujatumbuliwa.
-Kaveli-