marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,636
- 3,655
Kuna message nimetumiwa muda si mrefu,nimeona nilete hapa JF Doctor angalau mwenye kujua zaidi atupatie somo!!
SMS
Kuna ugonjwa wa tumbo umeingia kwa watoto age between 1 to 5yrs and even to 10 yrs na hospital zote hapa hawaujui.
Watoto wawili wa kike waliokua wanasoma na mwanangu wamekufa,Mmoja kafa wiki mbili zilizopita at the age of 4 na Isabella kafa jana saa 8 mchana at the age of 5.
Finaly nimefanikiwa kujua ni nini,unaitwa Rotavirus,nenda kwa google usome. Please fwd to all mums and dads.
Mwisho wa SMS
SMS
Kuna ugonjwa wa tumbo umeingia kwa watoto age between 1 to 5yrs and even to 10 yrs na hospital zote hapa hawaujui.
Watoto wawili wa kike waliokua wanasoma na mwanangu wamekufa,Mmoja kafa wiki mbili zilizopita at the age of 4 na Isabella kafa jana saa 8 mchana at the age of 5.
Finaly nimefanikiwa kujua ni nini,unaitwa Rotavirus,nenda kwa google usome. Please fwd to all mums and dads.
Mwisho wa SMS