Mimi ni mwajiriwa wa Rostam Aziz katika kampuni yake ya New Habari.
Huyu jamaa ni tajiri sana, ana kampuni nyingi, lakini nafikiri anapata utajiri wake pamoja na kudhulumu. Hivi ninavyoandika, wafanyakazi wote wa kampuni hiyo wanakatwa malipo ya PPF lakini hajapelekwi.
Kuna idadi kubwa ya wafanyakazi wameacha au kufukuzwa tokea aingie Hussein Bashe, lakini wakienda PPF, hakuna hata senti tano iliyoingizwa tokea 2008 ingawa wanakatwa kila mwezi. Pia, wafanyakazi hao hawajalipwa mishahara ya miezi ya Agosti, Septemba na Oktoba hadi wengine wameacha kazi wanadai mishahara.
Hivi hakuna wa kumwajibisha huyu fisadi alipe haki za watu?
Huyu jamaa ni tajiri sana, ana kampuni nyingi, lakini nafikiri anapata utajiri wake pamoja na kudhulumu. Hivi ninavyoandika, wafanyakazi wote wa kampuni hiyo wanakatwa malipo ya PPF lakini hajapelekwi.
Kuna idadi kubwa ya wafanyakazi wameacha au kufukuzwa tokea aingie Hussein Bashe, lakini wakienda PPF, hakuna hata senti tano iliyoingizwa tokea 2008 ingawa wanakatwa kila mwezi. Pia, wafanyakazi hao hawajalipwa mishahara ya miezi ya Agosti, Septemba na Oktoba hadi wengine wameacha kazi wanadai mishahara.
Hivi hakuna wa kumwajibisha huyu fisadi alipe haki za watu?