Rostam na Manji watoe maelezo vinginevyo watiwe pingu!

Mnajua tatizo letu waTanzania ni mabingwa sana wa kuongea lakini kufanya vitendo tumekuwa tukisuasua nani asiye jua CCM ndo imewalea mafisadi wote hawa? Tatizo tunashindwa au tunasita kuchukua hatua au kuinua tu mguu imekuwa shida jaribuni kubadilika waTanzania wenzangu vita hii si nzito kama wengin mnavyo fikiria kwa nini hawa watu hata 50 hawazidi wanatunyanyasa kiasi hicho?
 
Mi kwa maoni yangu wananchi wajichukulie sheria mkononi kama wanavyowachoma vibaka moto kwa wizi wa elfu moja.Hawa jamaa wametufikisha hapa tulipo ni zaidi ya vibaka wanaokwapua vihela vyetu.Hawa watu wakipita mitaani ni kuwarushia mawe wachomwe moto kwa matairi ya magari yao ya kifahari.Ni wezi na serikali (hasa CCM) wanajua hilo.

Tuungane watanzania tuwateketeze hawa mafisadi

thats what we call street justice...pindi serikali inayowekwa madarakani na wanachi wake inaposhindwa kuwasaidia wananchi wake ni wajibu wa wananchi kijisaidia wenyewe....style hii ime-prove mafanikio makubwa sana sehemu nyingi duniani na tukaona wanachi wanakamata na kurudishiwa kila kitu walichonyonywa na mafisadi...
mfano mzuri tena ni wenzetu MAKOMREDI wa uchina wakiongozwa na mkuu Mao walivyoweza kuondoa uozo wa taifa lao na kufyeka takriban watu 3million waliokuwa wakiitia china kansa ya ufisadi rushwa na umaskini..leo uchina ni nchi inayotoa tishio hata kwa MAPAPA wa DUNIA....

naomba tuungane na kuchukuwa hatua chini ya KOMREDI Mengi...hata kama Mwenyenchi hataki sie watu wake tumsaidie..si unajua anaona aibu kuwasaliti kwakuwa walimkirimu those days alipokuwa down...anasahau kuwa wanamtia uchafu ambao historia haitokuja kumsamehe hata aombe 7x7x70 ya kwenye biblia...

TIME 4 SERIOUS ACTION VS MAFISADI PAPA...biblia inasema "nalimpiga mchungaji na kondoo wakatawanyika"..tuwapige mafisadi papa na vifisadi uchwara vitapotea kama mvuke hewani.....we dare to talk openly
 
Hawa wote walitumika kisiasa wakati huo kuelekea 2005, kwa sasa kutokana na hali ilvyo wameshakuwa 'spent force' na muda si mrefu tutona wakitolewa kafara kwa kufikishwa mbele ya Mh. Hakimu Mkazi wa Kisutu kuonyesha jinsi serikali ya sisiemu 'inavyopampana' na ufisadi.
 
mmoja atoe maelezo ya kuhusika kwake na wizi wa epa na dowans (kabla sijaamua kujitolea kumsaidia kurahisisha kutiwa pingu kwake ) na tena aeleze kwanini ya al-adawi walibuni hii mbinu ya kufungua kampuni ya dowans kwenye free trade zone kule costa rica mahali ambapo hawana ofisi wala jengo na kampuni hiyo iko mfukoni mwa mwanasheria asiyejuliikana na haionekani kwenye taasisi zinazoandikisha biashara na wale kwenye orodha ya makampuni yaliyopo kwenye hiyo trade zone! Na mwingine ajitolee kutoa maelezo kwanini alisema fedha alizorudisha za kagoda ni za baba yake marehemu wakati jina lake na jina la baba yake hayaonekani kwenye nakala za kagoda.

Vinginevyo, time is up!

mwanakijiji awali ya yote let me put my stand clear ktk haya mambo kwa ujumla inawezekana ningelipost haya ktk thread nyingine inayohusu nani kuongoza mapambano ya mafisadi but nimepost kwako specifically ili nijibu hili na kupitia hapa nikuombe usijetumbukia ktk vita iliyokosa muelekeo.

My stand ni kuwa falsafa nzima na nia ya mapambano ya mafisadi imepotea kabisa,sasa imekuwa ikitumika vita hii kwa maslahi binafsi ya watu either economic gain au political gain.

Nimekuwa msomaji mkubwa wa post zako,na makala zako katika tz daima na sometimes mwanahalisi i can see a brain in you,usije ukawa/tukaingia ktk vita iliyopoteza muelekeo.

Vita mafisadi imekuwa kama vita ya mwizi anawachomea wenzie kwa polisi ili yy aendelee kuiba na kuwaibia watu,jana nilipoona kauli ya mengi nikona aina ya unafiki ktk nchi hii mengi amehusishwa na kuikopa nbc na kuendesha mkakati wa kuimaliza lart iliyoundwa kukusanya madeni alikopa kupitia kampuni yake inayoitwa ( achwedu ltd ) ambayo alitumia kuchota pesa through import support na baadae kujenga hoja kuwa hakumuagiza gm wake kuchuka mkopo huo,huyu anaedai leo anaendesha vita ya mafisadi baada ya kuiweka under receivership achedu ltd ikawekwa chini ya lart ili iweze kuuzwa na asset zake through lart aliendesha mpango akiwa na kina iddi simba kuimaliza lart.

Mengi btn 1985 to 1995 ameshiriki ktk kui drain nbc,mbali ya hilo alichukwa mkopo mkubwa ambao hakulipa kuanzisha kampuni inayoitwa tanzania chemicals ltd ambayo iliitangaza muflis ikawekwa under lart lakini kabla hawajauza mali lart waz m alizwa,sasa huyu leo amenunua share ndani ya vikoba badala ya kufanya ununuzi wa share kwa njia za kawaida ili pesa anadai anawapa vikundi bure while fedha zile zinarudi ktk account ya vikoba na kwa taarifa amenunu 60% ya hisa za vikoba leo ana tumia hiyo pesa kutuo kama msaada kumbe ana rise capital ya vikoba kwa kudai anagawa bure kumbe ukiangalia marejesho ya wanachama wanarudisha pamoja na principle.

Vita hii ya ufisadi si vita takatifu watanzania tunadanganywa mchafu hawezi kusafisha uchafu,ni kama issue ya slaa anashiriki kupitisha poshao za wabunge anapokea hizo pesa akija nje kwa watanzania anatuambia posho za wabunge ni kubwa while ameshiriki kupitisha na bado anapokea,this is too much ifike mahali tusikubali mengi he is no clean na wenzie,ukiangalia mwakiembe si msafi ndie alimzuiya zitto asipeleke mswada bungeni wakuitaka serekali ipige marufuku magunia ya manila so that itumike ya katani ili ku promote zao hilo akamdanganya kwa hoja kuwa viwanda vyote vya katani ni vya mohamed enterprises,kumbe analinda maslahi yake kwani yy ana kampuni inayo import bags inaitwa tbc ltd.

Tukiwaangalia wote hawana nia njema na taifa hili hii wanayoita vita ya mafisadi haina genuinity yoyote it is just wanatumia a marketing psychology inayosema kuwa ( a threat to ur rival its ur opportunity either to grow or get rid of him ktk soko) hapa haman uhalisia its full ubinafsi.

Ndg zangu wana jf vita hii inahitaji sisi vijana hawa over 40 ndio waliotufikasha hapa umasikini anaodai mengi umetokana na mafisadi na yeye amechangia 80 to 90s mengi ameshiriki kufilisi bank zetu leo anatufumba macho,suluhisho wote wanyamaze tufanye national diolog na wanaotakiwa kushiriki ktk mdahalo huo ni watu wa umri usiozidi miaka 35, zaidi ya hapo wote ni wezi na ndio waliotufikisha hapa tutafute suluhisho letu wenyewe.
 
Shishye,

Unauliza wanatumiaje fedha zetu!!! Acha utani bwana, si tuliwachagua kufanya nini kama sio kuzunguka dunia, kufungua semina na washa zinazoendana na posho nono, kuzunguka nchi nzima kuelezea uzuri wa bajeti yetu, kuhakikisha serikali ya Tanzania inaongoza katika kumiliki magari ya kifahari, kukodi majenereta ya kina Dowans, kukusanya fedha kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 na mambo kama hayo!!!
 
Wakutiwa pingu kwanza ni MKAPA, ANNA MKAPA, IDDI SIMBA, KARAMAGI, MSABAHA, CHENGE, SUMAYE, LOWASSA. MZINDAKAYA, NEMROD MKONO, na MENGI, baada ya hapo ndio Wafuate ROSTAM na Wenzake.

FISADI Hana RANGI, Kama lazima wawe ni WEUPEEE Peke yao na WEUSI NDIO HASA MAFISADIIIIIII Sheria ianzie Juu na ni Msumeno ikate kote koteeeeee

zahir zahir zahir, mcheza kwao hutunzwa, ukiiba nyumbani kipigo chake ni tofauti na kuiba kwa jirani, mie sipo hao hapo juu wapo ila hawapo kwenye top 5, mama anna unanini nae? angalao kaiba kawekeza hapa hapa ila hiyo iliyotajwa imeshajipanga itakimbilia nnje baada ya kutuibia hela zetu wamenda kuwekeza kwao, wangewekeza hapa tungepata ajira wala tusingelalamika zahir, inaniuma sana hiyo mijitrillion iliyoko huko nje ingekuwa hapa wala tusingehangaika na deci jamani
 
Ukifyetuka mafisadi wote watanasa na kinachozuia kuwanasa ni utawala wa Sultani CCM ,tupigane vita hii kuiondoa CCM madarakani tuone kama picha haitafanana na hii
avatar9471_2.gif

hee hiyo picha imenasa watano ati, loooh!
sasa nani atakaewaondoa ccm, dr slaa vipi, mimi niko tayari kumpigia kampeni jamani anaweza huyu,..
 
Mzee Mwankijiji!

Hizo taarifa ulizo nazo watu wote including Jakaya Mrisho Kikwete wanazo!

Tatizo kubwa ni kwamba Bwana Mkubwa haambiliki na hakuna mwenye ubavu wa kumshauri. Hapo ndipo pagumu! Kila aliyeko karibu hajiamini kwani mkataba wao EL+RA(&Co) hatuujui.
Hata Ben Mkapa alishinikizwa pale Dodoma kuimba wimbo wa kasi mpya na ari mpya baada ya kupokea taarifa mbili za usalama kuhusu ile kambi yake (ilihusu wizi mkubwa uliofanyika kwa baraka zake kupitia kwa mkewe Anna na Mume mwenzake Basil Mramba)VS ile ya JMK!( Ilionyesha jinsi akina EL na RA na wanamtandao walivyotumia over 3 billion Tshs kwenye kura za maoni) Akasoma alama za nyakati akakubali yaishe and there was a convenant ya JMK kutokumgusa in his 10 years term!

Yeye aliingia madarakani kwa mtindo wa kutumia hizo pesa haramu!! Unakumbuka mara baada ya kuapishwa 2005 aliahidi kuwa karibu na Wafanya Biashara ambao kwa tafsiri ya haraka ni wale waliomwonyesha mlango wa Ikulu

Therfore wewe andika mpaka kalamu ivunjike nakuapisha kwa miungu yangu 18 The presida and the entire GVT are so weak and wicked that no action shall ba taken against anybody I can bet my neck and Iam srious !
Mmoja atoe maelezo ya kuhusika kwake na wizi wa EPA na Dowans (kabla sijaamua kujitolea kumsaidia kurahisisha kutiwa pingu kwake ) na tena aeleze kwanini ya Al-Adawi walibuni hii mbinu ya kufungua kampuni ya Dowans kwenye Free Trade Zone kule Costa Rica mahali ambapo hawana ofisi wala jengo na kampuni hiyo iko mfukoni mwa mwanasheria asiyejuliikana na haionekani kwenye taasisi zinazoandikisha biashara na wale kwenye orodha ya makampuni yaliyopo kwenye hiyo trade zone! na mwingine ajitolee kutoa maelezo kwanini alisema fedha alizorudisha za Kagoda ni za baba yake marehemu wakati jina lake na jina la baba yake hayaonekani kwenye nakala za Kagoda.

Vinginevyo, time is up!
 
Wakutiwa pingu kwanza ni MKAPA, ANNA MKAPA, IDDI SIMBA, KARAMAGI, MSABAHA, CHENGE, SUMAYE, LOWASSA. MZINDAKAYA, NEMROD MKONO, na MENGI, baada ya hapo ndio Wafuate ROSTAM na Wenzake.

FISADI Hana RANGI, Kama lazima wawe ni WEUPEEE Peke yao na WEUSI NDIO HASA MAFISADIIIIIII Sheria ianzie Juu na ni Msumeno ikate kote koteeeeee

Ushujaa wakuwataja hapa ni vizuri na wewe uonyeshe kwa kuwaita waandishi wa habari ili uwatangazie watanzania wote kuwa unahiyo list ya Mafisadi, tungefurahi sana mkuu!

Lakini kwa sasa hoja iliyo mbele yetu ni kutafuta ushahidi wa ufisadi wa hao waliotajwa na kuhakikisha tunapata haki yetu watz, tumeambiwa hawa ndio mapapa....the big fishes, so we start with them first then kwa hao wengine!
 
hayo aliyoyasema bwana mengi hata serikali inayajua na ushahidi ulishakuwepo, kama Mengi anao ushahidi wa kutosha na kweli ana uchungu na taifa hili na wananchi wake, yeye ndio angekuwa wa kwanza kufanya utaratibu wa kuwafungulia kesi hao jamaa, kusema tu akusaidii kitu, hayo yaliyosemwa na Mengi sio mageni SLAA, MTIKILA NA MWAKYEMBE WALISHASEMA SAME STORY kwa hiyo kuwasema tu hakusaidii hata kidogo inatakiwa afanye action na walala hoi tumpe support
 
hayo aliyoyasema bwana mengi hata serikali inayajua na ushahidi ulishakuwepo, kama Mengi anao ushahidi wa kutosha na kweli ana uchungu na taifa hili na wananchi wake, yeye ndio angekuwa wa kwanza kufanya utaratibu wa kuwafungulia kesi hao jamaa, kusema tu akusaidii kitu, hayo yaliyosemwa na Mengi sio mageni SLAA, MTIKILA NA MWAKYEMBE WALISHASEMA SAME STORY kwa hiyo kuwasema tu hakusaidii hata kidogo inatakiwa afanye action na walala hoi tumpe support

Hii nchi ni yetu sote, Mengi na mimi hatuna tofauti when it comes to maslahi ya taifa. Alilofanya Mengi ni jambo kubwa sana na tunatakiwa wote tujitoe kila mmoja kwa namna yake kuendeleza huu mpambano. 'Inatakiwa afanye action...' kwani yeye ni nani nchi hii? Nchi sio yake peke yake? Angekuwa yeye ni rais tungejua anafanya kazi tuliyomwajiri kufanya. Kumbe la, anajitolea tu! Tusipende kukaa na kumtegemea mtu mmoja tu ajitolee kwa ajili yetu. Na sisi tutoe michango yetu!
 
Du!! afadhali tumerudi kwenye normal and die hard discussion against Mafisadi wa nchi hii Bravoo Mengi kwani mafisadi walishatuhamishia DECI DECI DECI hadi tukasahau JF agenda.Tuwakome nyani hadi kieleweke
 
Kadri siku zinavyokwenda, naanza kuelewa kwa nini AFRIKA ni bara la matatizo. Ni kwa nini migogoro haiishi na vita haziishi. Sababu kubwa ni INJUSTICE ambayo imelitawala bara letu. Na hii injustice haiwezi kumalizwa na watu wa nje au wapatanishi. Ni sisi wenyewe. Historia inatuonyesha kuwa injustice imekuwepo mataifa mbali mbali tangu kale. LAKINI watawala walijifunza in a hard way. Remember Mfalme wa Ufaransa Loius XVI?

Hakika haiwezekani watu wachache waifaidi keki ya taifa at the expense of millions. Viongozi wanaamua kuwa washirika. Unakuta wananchi wanaishiwa options wanaamua kutafuta "suluhu" ya hii injustice kadri wanavyojua wao.

Tumeyaona nchi nyingine kuanzia Guinea, Congo etc..viongozi wanachukulia nchi zao kama kampuni binafsi, shareholders wakiwa wapambe na familia zao. We see the results. LAKINI ukweli ni kwamba hata nchi yetu TANZANIA tunakoelekea si kuzuri. Its saddening. Jamani tusijidanganye raia million 40 ni wengi na tuna mawazo tofauti. We are playing a dangerous game. Perhaps viongozi wetu ni vyema wakaamka. Siku wanakumbuka shuka..itakuwa imeshakuwa alfajiri.

NAIOMBEA MEMA NCHI YANGU: NCHI YANGU NI MUHIMU KULIKO MIMI. Lakini ningetamani hawa viongozi wajue mchezo wanaoucheza hauna manufaa kwao na kwa wananchi. wajue watoto wa wakulima wangependa waende shule nzuri kama za watoto wao, waende hospitali nzuri kama wao, waishi sehemu nzuri kama wao, wale na kusaza kama wao, waishi maisha ya furaha kama wao. Itafika kipindi watu wataona maisha hayana thamani tena. Na mtu akikata tamaa. Ukifika point unamskia mtu kama Hawa Ghasia anasema kuweka wazi nyaraka za serikali hata kama zinafichua ufisadi ni kosa. You wonder whether we have serious people at the helm of our country.

Its a shame TANZANIA kuwa hapa tulipo. We take things for granted. Ila iko siku tutaanza kuulizana na kunyosheana vidole nani alikosea. Ukiwa kwenye comfort zone ni rahisi kusema huu ufisadi ni kelele za wenye wivu. ILA nasema tena. Ni vema viongozi wetu wakaangalia upya wajibu wao kwa jamii. No suffering is permanent. and no Kingdom will live eternally. The bad thing about history is that we dont learn from it.
 
Outlier achana na huyo Zahir Salim naona kama naye ni hao hao. Yeye aende kwente TV nae awataje hao waswahili aongezee kwenye list kama anaweza. Au nae mjomba au mpwa wa Rostam. Asitake nimtukane!
 
Hii inanikumbusha Hekima ya Mungu kwa wanawaisrael walipoingia vitani nakuona jeshi kubwa lenye nguvu likiwakabili. Mungu akawaambia vita si vyenu ni vyangu ila chukueni hii instruction jipangeni msiende na silaha zungukeni jeriko imbeni nyimbo kunisifu mimi bwana wa vita nanyi mtaona jinsi nitavyowapigania.....what happened? Kumbuka maombi ya easter greetings....mafisadi watakula nyama yao na kulewa kwa damu yao kama kwa mvinyo mtamu. Mwenye sikio naasikie neno roho awaambia watanzania.
 
Hii inanikumbusha Hekima ya Mungu kwa wanawaisrael walipoingia vitani nakuona jeshi kubwa lenye nguvu likiwakabili. Mungu akawaambia vita si vyenu ni vyangu ila chukueni hii instruction jipangeni msiende na silaha zungukeni jeriko imbeni nyimbo kunisifu mimi bwana wa vita nanyi mtaona jinsi nitavyowapigania.....what happened? Kumbuka maombi ya easter greetings....mafisadi watakula nyama yao na kulewa kwa damu yao kama kwa mvinyo mtamu. Mwenye sikio naasikie neno roho awaambia watanzania.

Felister,
Maneno mazito haya kama kweli roho wa bwana amekutokea ili uwaambie Watanzania!
 
We want our money and not killing anybody.

Mkuuu Yebo Yebo heshima mbele,

Mimi nafikiri tunahitaji wao kujibu hizi tuhuma ili tuweze kuhitaji sasa hayo malipo otherwise naona kama kelele za mlango maana hata wakubwa wenyewe hawastuki wala kustaajabu. Ila hisia zangu na maono yangu naona hali haitakuwa shwari kabisa baada ya Uchaguzi 2010 maana mengi yataonekana na ndipo baadhi ya viongozi watakapokubalika sana. Mawazo tuu.
 
Ukifyetuka mafisadi wote watanasa na kinachozuia kuwanasa ni utawala wa Sultani CCM ,tupigane vita hii kuiondoa CCM QUOTE]

Mwiba uko sahihi!

ANGALIZO;hoja ya msingi sio kuitoa sisiemu madarakani,ila ni kuwatoa WEZI MADARAKANI(wezi hawa wamepewa jina 'mafisadi' sijui kwa nini).sisiemu kama CHAMA hakina matatizo,ila waliokishikilia chama sasa hivi ndio wabaya.

WANAMTANDAO walimuweka jk madarakani,waliomuweka WAKAKUMBWA NA KASHFA NZITO jk HAKUWABEBA,wakajitoa kwenye mtandao na sijui kwa sasa wanajiita jina gani.ila waliobaki kwenye mtandao wanajiita WANAMTANDAO-MASALIA.

Naitazama sisiemu katika mipasuko MITATU MIKUBWA,kundi la mkapa,kundi la kj(wanamtandao-masalia),na kundi ka edo(wanamtandao-wajeruhiwa).

Nadhani tunaweza kuelewa NANI ANATAKIWA KUPIGWA VITA ATOKE NDANI YA CHAMA
 
Just my own interpretation according to experiences and my faith na siyo maono kama ulivyosema.
 
Back
Top Bottom