Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Malembeka Shija ndo RA mwenyewe au? Mbona jazba sana
utawatambua kwa matendo yao, kuongea kwao na kutenda kwao, hakuna haja ya maswali mengi
Malembeka Shija ndo RA mwenyewe au? Mbona jazba sana
rais alichaguliwa na wananchi
Maharagande alikilalamikia CHADEMA akisema kimekuwa kikitumia lugha za kashfa dhidi ya wagombea wengine bila kujali ni wa CUF au chama kingine.
Alibainisha kuwa kitendo cha mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Wilibrod Slaa kuzungumzia posho, mishahara na mafao ya wabunge kuwa ni makubwa na kutumia ajenda hiyo kwenye kampeni ni usaliti.
Alisema Dk. Slaa ni sehemu ya viongozi waliopitisha mafao hayo kwa kuwa alikuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani pamoja na Mbunge wa CUF, Hamad Rashid Mohamed na kwamba Dk. Slaa mwenyewe alichukua mafao na mishahara hiyo ya wabunge anayodai ni mikubwa.
Source: Raia Mwema
hakuna jipya hapa...!
yatarudiwa hayahaya weeee....posho za bunge...posho za bunge....mishaharaaa!!!!
nothing alse!
shame on you dubo-thing!
.....baada ya mafisadi kulazimisha achaguliwe....Rais alichaguliwa na wananchi
Tatizo mafisadi papa na mafisadi nyangumi sasa wameungana; JK alikuwa anaondoka ila sasa wameshapozana; hujuma zao za kibishara zimerekebishwa; hapo ndio namuonaga Mengi kama kibaraka asiyejua anakokwenda; these differences could make something