kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Kinepi analia kwa uchungu tena sana.
Kikwete, Lowasa, Rostam, Msabaha, Mohamed Saleh etc ndio waliotupiga mchanga wa macho. kwenye hii kashfa ya richmunduli niliwahi kumtaja kikwete na ushiriki wake nikatolewa macho. Hatuwezi zima moto na kupata dawa ya haya maradhi ufisadi-wizi bila kumning'iniza kikwete mbele ya sheria na kundi lake.
Gire alitumika kufanikisha deal.
Vile vile kwahili lazima tumlaumu mwakiembe kwa kumkingia kifua Kikwete na kuacha baadhi ya ushahidi muhimu sana kwenye hili soo. Alituhadaa washikadau. Mtaalamu ni msomi anayetumia usomi wake wote kulilitea taifa lake maendeleo, Mwakiembe aliacha utaalamu akafuata siasa, ndio maana mafisadi yanatusumbua na kapuyuka hovyo.
Rostam Ni ingini ya mafisadi mchezo mzima alicheza yeye, anatulitea kiburi cha uraia wake wa iran, anatuibia halafu anatutukana.
Kikwete unatuangamiza, Rostom fisadi.
"A man who won't die for something is not fit to live. "
Kikwete, Lowasa, Rostam, Msabaha, Mohamed Saleh etc ndio waliotupiga mchanga wa macho. kwenye hii kashfa ya richmunduli niliwahi kumtaja kikwete na ushiriki wake nikatolewa macho. Hatuwezi zima moto na kupata dawa ya haya maradhi ufisadi-wizi bila kumning'iniza kikwete mbele ya sheria na kundi lake.
Gire alitumika kufanikisha deal.
Vile vile kwahili lazima tumlaumu mwakiembe kwa kumkingia kifua Kikwete na kuacha baadhi ya ushahidi muhimu sana kwenye hili soo. Alituhadaa washikadau. Mtaalamu ni msomi anayetumia usomi wake wote kulilitea taifa lake maendeleo, Mwakiembe aliacha utaalamu akafuata siasa, ndio maana mafisadi yanatusumbua na kapuyuka hovyo.
Rostam Ni ingini ya mafisadi mchezo mzima alicheza yeye, anatulitea kiburi cha uraia wake wa iran, anatuibia halafu anatutukana.
Kikwete unatuangamiza, Rostom fisadi.
"A man who won't die for something is not fit to live. "