Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #61
Bado,
Analysis za Mwanakijiji... ni za kufikirika kumuweka ubaya RA kama muhusika... narudia... kumuweka mtu/taasisi kama fisadi au mwizi... u must have clear evidence without doubt? Hayo mambo ya kutumia logic etc. ni uzandiki tu kama magazeti yanavyofanya watanzania wasijadili mambo ya maendelea bali wajadili mambo ya uchawi.
Kasheshe... sijaspin kitu.
Ni lini Rostam alikanusha yeye kuhusika na Richmond? Siku ya Jumatano nitakuonesha kitu ambacho hakijaoneshwa na mtu yeyote kuhusu Kagoda na Rostam..!
Hili la evidence... mwanakijiji ana-spin tu! nothing new....
Evidence siyo lazima iwe ni kitu tu hata mazingira, na logic inatusaidia kutumia akili kuchambua vitu. Ndio maana wenzetu wanasema " it walks like a duck, it sounds like duck, and it looks like a duck then it a duck!" Mantiki inatusaiidia kuchambua ujanja wa maneno ya watu, unatusaidia kuona fallacies katika hoja. Hivyo kupuuza logic ni kwa hasara yako mwenyewe.
Kwa mara nyingine naungana na Kitila... kwamba vita ya ufisadi.. inaelekea kutushinda maana hatufuati mafisadi tunafuata victim wa mafisadi...
Yaani Rostam ni victim wa mafisadi? u must be kidding. Tafuta gazeti la Raia Mwema Mei 7 mwaka huu na wiki mbili kabla yake.