Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Ndugu zanguni kuna mgombea ubunge kupitia ccm,siku nilipomuona nilistuka km vile nimemuona rostam aziz yule fisadi namba1 na ambaye ameiweka nchi mfukoni.........nataka kujua kwa wale wenye data kamili km kweli ni mmasai au la........na ina maana Babati vijijini hakuna wasomi mpaka wachague mtu kwa kuangalia rangi?.Au kuna mkono wa Lowasa maana yeye na waasia noma....
Kwa nini hawa tusiwaruhusu kuendelea tu na biashara zao lakini mambo ya siasa watuachie wenyewe? Ina maana pale jimboni hakuna mzalendo yeyote na huyu bwana ndiye anayelijua jimbo na matatizo yote kuliko waliozaliwa na kukulia hapo?
JINA:Nd. Jitu Vrajil SONI
UMRI: 41
ELIMU: Sekondari
JIMBO: BABATI VIJIJINI
MKOA: MANYARA
Kwa nini hawa tusiwaruhusu kuendelea tu na biashara zao lakini mambo ya siasa watuachie wenyewe? Ina maana pale jimboni hakuna mzalendo yeyote na huyu bwana ndiye anayelijua jimbo na matatizo yote kuliko waliozaliwa na kukulia hapo?
JINA:Nd. Jitu Vrajil SONI
UMRI: 41
ELIMU: Sekondari
JIMBO: BABATI VIJIJINI
MKOA: MANYARA