dr. gracemary
Member
- Jul 7, 2011
- 32
- 6
Mnafik ni wewe, RA anapendwa Igunga kuliko kiumbe yoyote. Kafanya makubwa huko kuliko mbunge yeyote wa Tanzania.
RA kama kafanya makubwa naomba kujulishwa yafuatayo: Igunga inashika nafasi ya ngapi kiuchumi TZ, je pato la mwana Igunga ni shi ngapi kwa mwaka?, kuna barabara ngapi za lami Igunga? kuna huduma gani za maana za jamii zinazotokana na RA?