makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Huku ni kumdhalilisha Mzee huyu, inamaana hadhi yake imeshuka mpaka kufikia kufanana na Jimbo moja badala ya nchi? Jamani aheshimike huyo mzeee.[/QUOTE]
Hello Dullo,
Hapo kwenye nyekundu nimecheka yaani sina mbavu! Kwamba jamaa(Mkapa) sasa analinganishwa na Kiwilaya kimoja cha Igunga wakti alikuwa Rais wa nchi??Teh.teh.tehe,uuuwwiiiiiiiii! Na siyo wilaya kuwa na hadhi ya wilaya tu,maana Kampeni si ataenda mpaka vijijini na vitongojini akipiga kelele za Kampeni?? Kwa hiyo hadhi yake itashuka mpaka Balozi wa nyumba 10! What a shame kwa mtu aliyekuwa Presida???