Hawezi,Watanzania ni wajinga lakini wana akili sana...
Nadhani hata Malaria Sugu ni raia wa Irani. Kama siyo basi ni kweli baadhi ya watanzania wenzetu ni hayawani/zumbukuku, kwani wanashindwa kujua nchi ikichafuka watakao dhurika ni wao na siyo RA:A S angry:
mwalimu nyererealisema wakati ule hawezi kwenda butiama kulala na kuicha nchi yake ichukuliwe na dogs...hakumtaja ni nani dogs...lakini alimpigia kampeni kali mkapa dhidi ya wengine....bado angekuwepo angetamka maneno hayo hayo....kwani huwa anaona mbali.....kwa sababu anatoka karatu na wachaga wanatoka kilimanjaro, basi wameshakuwa kundi moja?
Una maana kuwa mwandiga kwa zitto nako ni nothern tanzania?
Hungary (magyar) ni nchi iliyopo eastern europe na imezungukwa na majirani karibu wote ambao ni slovans. Ila cha ajabu, lugha yao iko karibu zaidi na finland na hawana uhusiano wowote na hao akina czech, slovakia, bulgaria etc. Kwa mtu kutoka karatu, hana uhusiano wowote na mchaga. Pia anayegombea hana uhusiano wowote na mtei ambaye ni mwanzilishi wa chama.
Dr. W slaa kafanya kazi nzito kupata umaarufu wake. Hakubebwa na akina lowassa au ra kufikishwa pale alipo. Wakati wengine wakimshangilia rais kikwete kuweka sahihi sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe, mtu mmoja pekee alikuwa anakesha kuhakikisha kama kweli alichoweka rais sahihi ndiyo hicho na akakuta si hicho.
Ndiyo mtu pekee aliyeanza kufumua madudu ya kifisadi. Wengine tulidhani ni mzindakaya kumbe yule alikuwa anatumika pale marafiki wawili wanapogombana na mmoja anamshambulia mwenzake kwa kumwaga madudu via mzindakaya.
Ndiye mbunge pekee aliyedai "mishahara ya wabunge ni mikubwa" huku na yeye akiwa mbunge na kusema ipunguzwe.
Ndiye aliyefumua list ya mafisadi na rais wetu hadi leo akaikalia. Na aliweka hadi ushahidi lakini wapi.
Kuna mengi kayafanya hadi akajijengea jina. Huwezi kuja hapa kuanza kumchafua mtu na ukafikiri eti tutanunua. Na kama ni kweli vatican wangelihitaji kuweka mtu, basi wangeliweka muislaam. Wale jamaa wa vatican, hata wayahudi wanawaogopa. Uk, usa na russia wanafahamu kuwa ujasusi wa vatican ni mwisho wa matatizo. Usa walipigana na wakoministi (cold war) yakawashindwa. Walipoingia wazee wa kazi kwa kumtumia papa john paul ii, mkoministi akabwaga manyanga chini.
Kama ni kweli wanataka kufanya hilo, wangelikuja na njia nzuri zaidi na si kutumia mtu wao wa zamani ambaye mbali kabisa unamuona.
Mlimtukana malecela mwaka 2005. Mkamtukana sa sallim mwaka 2005. Safari hii tupo macho. Kumbukeni maneno ya dr. H. Mwakyembe kuwa "watanzania siyo mabwege tena". Kimewauma kuwa hadi mwisho hamkufahamu kama slaa atagombea. Hamkufanya matayarisho mazuri kummaliza. Sasa mnaanza kurusha mawe bila kufahamu adui yuko wapi. Kumbukeni kwenye biblia imeandikwa "achezaye kwa upanga, hufa kwa upanga". Msijifanye watakatifu sana maana watu wakianza kumwaga siri zenu, mhhhhhhhh patakuwa hapatoshi.
Mwisho wa siku wote tutabaki kuwa watanzania. Tugombane kisiasa huku tukikumbuka kesho. Ona sasa mmeshampoteza sas, malecela sijui kama ataendelea kuwasaidia. Fisadi mkapa anajificha na kutokea kanisani kujisafisha. Ra na el dawa yao inakuja mwakani wakati slaa atakapokuwa rais. Mafisadi wote anzeni kunyowa......
uko na slaa au uko na mafisadi.
Nadhani hata Malaria Sugu ni raia wa Irani. Kama siyo basi ni kweli baadhi ya watanzania wenzetu ni hayawani/zumbukuku, kwani wanashindwa kujua nchi ikichafuka watakao dhurika ni wao na siyo RA:A S angry:
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu"
Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St Thomas...
Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania.
Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao.
Wamefanya kazi kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...
Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu"
Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St Thomas...
Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania.
Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao.
Wamefanya kazi kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...
Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...
Mhe. Douglass Sallu, hata kama Rostam alizaliwa Tanzania, baba yake alikuwa raia wa Iran (Uajemi). Sheria ya Uraia wa Tanzania inamtaka mtoto aliyezaliwa na Non-citizen, kuukana uraia wa wazazi wake atakapokuwa na umri wa miaka 18 au zaidi. Kama Rostam Aziz hakutamka hivyo, na hakuna document kuthibitisha hilo, basi yeye si Raia wa Tz. na ubunge wake ni batili.
Mhe. Douglass Sallu, hata kama Rostam alizaliwa Tanzania, baba yake alikuwa raia wa Iran (Uajemi). Sheria ya Uraia wa Tanzania inamtaka mtoto aliyezaliwa na Non-citizen, kuukana uraia wa wazazi wake atakapokuwa na umri wa miaka 18 au zaidi. Kama Rostam Aziz hakutamka hivyo, na hakuna document kuthibitisha hilo, basi yeye si Raia wa Tz. na ubunge wake ni batili.