calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 273
Umeme hatuna
foleni za magari ziko pale pale
meli bado zimejaa kule baharini
internet speed bado ni ndogo
watu bado wanakufa mahospitalini
serikali haina pesa
CHADEMA bado wanaaandamana
traffic ya wanasiasa kwenda kutibiwa Apollo bado ni kubwa
TRA bado haikusanyi mapato
mashimo barabarani bado yamejazana
Ikulu bado haina website
Software ya BILIONI 2 ya BRELA bado haifanyikazi
Ombaomba bado wanajazana traffic lights za mnazi mmoja usiku
Simba bado wanaendelea kufungwa na Yanga
in short yaho ni baadhi ya mambo aliyokuwaanalalamikiwa Rostam Aziz kama chanzojapo kaachia ngazi kwenye kila eneo
sasa tatizo letu ni nini au mainstream media pamoja na JF waliamua kutufanya wajinga tuamini kuwa chanzo cha matatizo yetu ni Rostam?
unless kuna watu kwa kusudi wal
foleni za magari ziko pale pale
meli bado zimejaa kule baharini
internet speed bado ni ndogo
watu bado wanakufa mahospitalini
serikali haina pesa
CHADEMA bado wanaaandamana
traffic ya wanasiasa kwenda kutibiwa Apollo bado ni kubwa
TRA bado haikusanyi mapato
mashimo barabarani bado yamejazana
Ikulu bado haina website
Software ya BILIONI 2 ya BRELA bado haifanyikazi
Ombaomba bado wanajazana traffic lights za mnazi mmoja usiku
Simba bado wanaendelea kufungwa na Yanga
in short yaho ni baadhi ya mambo aliyokuwaanalalamikiwa Rostam Aziz kama chanzojapo kaachia ngazi kwenye kila eneo
sasa tatizo letu ni nini au mainstream media pamoja na JF waliamua kutufanya wajinga tuamini kuwa chanzo cha matatizo yetu ni Rostam?
unless kuna watu kwa kusudi wal