Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
haina kweeere arifu.....umesikia mwenzio alivyotema cheche star tv?hebu tupumzishe..yaani hataka juma tano hatujaingia!
haina kweeere arifu.....umesikia mwenzio alivyotema cheche star tv?hebu tupumzishe..yaani hataka juma tano hatujaingia!
haina kweeere arifu.....umesikia mwenzio alivyotema cheche star tv?
sasa mkishaweka mpango wa namna hiyo; RA hatogombea mwakani kwa sababu atakuwa "amechagua biashara na kuachana na siasa".. na hapo mnakuwa mmefungwa goli moja mtungi!
heheheheee Hoiiiiii.....
now adays you're very low.......heheheheee
Hoiiiiii
the beauty of it hizo cheche zimetemwa kwa simu na hakuwepo in person for obvious reasons
presha inapanda.............
Presha inashuka......................
Sidhani kama he will dare to do that, RA kwa sasa he needs to be in bunge, CC na hata kenye dini kuinfluence vibaraka na watu wa kumlinda na yeye akiwa karibu kuhakikisha he's not brought to book!!!!!!!!
Mtikila anaonekana alikuwa na information nyingi sana. Kwanza mmoja wa hao kina Haidery ndiye jina lake linaonekana katika kampuni ya Isenegeja iliyonunua magazeti ya Rai na Mtanzania (si kampuni yote ya Habari Corporation).
Pili Jahangir Chakar Aziz, Gulam Chakar na Akram Aziz ni watu muhimu sana kwa RA. Jahangir anahusishwa na tukio zito sana la ukiukwaji wa haki za binadamu kule Mererani Arusha ambalo, aliwatesa watu (wako wanaohofiwa kufa) kwa kuwaburuza na gari wakiwa wamefungwa kamba na kisha kuwachimbia mashimo wakiwatishia kuwazika. Walifanya hivyo kutaka watoe siri ya mtu aliyewaibia tanzanite ya mamilioni. Aliyeokoa jahazi la sakata hilo alikuwa Lowassa akiwa Waziri katika serikali ya Mwinyi. Habari za tukio hilo liliandikwa katika gazeti la Rai. Shuhuda wa tukio hilo hadi leo yuko hai Arusha na walimjengea nyumba Njiro Hills, anaitwa Wasiwasi kaka yake Ramadhani Kafiri Bangi wa Sakina, ambaye anayeishi Ungalimited. Tukio hilo lilotokea miaka ya 1990 (Kati ya 1992-1994)
Pamoja na habari hiyo, Rai liliwahi kuandika "CCM yateua burushi Igunga" ni habari hizo zilizomsogeza RA na EL na kina Jenerali Ulimwengu na Salva na kuanzia hapo, wakawa na mahusiano naye ya karibu mno. Wakapewa ofisi katika jengo la Exporter House, mtaa wa Mkwepu (Posta ya zamani) mahali zilipowahi kuwa ofisi za chama cha PAC cha Afrika Kusini. Ofisi hizo zinamilikiwa na National Housing Corporation lakini zilikuwa mikononi mwa Lowassa (akiwa Waziri wa Ardhi).
hilo ni kweli lakini sasa hivi kichwa kinamuuma!! umewahi kuona jinsi upepo unavyoutikisa mti na kwa muda mrefu ule mti unaonekana hautikisiki? Halafu siku moja kinakuja kimbunga na kuunyofoa ule mti kama unyonya na dalili za kuwahi uliwahi kuwepo nazo zinaondolewa? Ndivyo itakavyokuwa kuanguka kwa RA na wale ambao wanaamini katika njia yake.
Ningekuwa mimi RA nisingesoma makala zangu za mwanakijiji maana kama ni joto.. basi limeongezwa nyuzi kadhaa juu!!
Si alisema yule Mwalimu Mkuu kuwa "mkiwa na imani mnaweza kuuambia mlima huu ng'oka na ukatupwe baharini nao utawatii"? Well.. kuna mtu kauamuru mlima kwa imani. Utang'oka.
Tuacheni ushabiki. RA amefanikiwa sana, Mi ninaona anafaa hata kuiongoza nchi hii. Kama umefanikwa binafsi hata nchi unaweza kuifanikisha.
Kwa kweli mimi ninampongeza RA
...
Mimi nakuhakikishia mkuu wangu kwa jinsi watu wanavyokuchukia wewe Mwanakijiji, tumeshapata hata watu wakitaka kujua unaishi vipi US una karatasi au huna!..Hii yote ni katika kutafuta uchawi wa kukurudisha nyuma kimaisha.. nachosema mimi kama Mwanakijiji anawapa taabu hapa JF au huko Cheche kwa nini msimtafute ktk maswala yanayohusiana?..Na iweje mumtafute mtu kumkomoa kwa sababu ni kero kwenu..Na wewe mkuu wangu sii wa kwanza.. ..
Ndugu yangu kati ya vitu ambavyo havinisumbui ni hilo. Wao wana serikali wakitaka kujua lolote kuhusu mimi wala hawahitaji kwenda mbali; mimi nipo hapa siishi Tora Bora. Wakifikiri kuwa hiyo ndiyo "karata" yao watajisumbua sana kwani ningekuwa na wasiwasi wa namna hiyo nisingejiweka wazi namna hii bila ya shaka kuliko mwanachama mwingine yeyote wa JF!
Ukiangalia utaona kuwa yeyote anayetaka kujua mimi niko wapi na naishi vipi wala haitaji kuzunguka, anaweza kunifuata nilipo na kuniuliza au kupiga simu kwa wanaohusika. Halafu watajua vitisho hivyo mzee wanatishiana wenyewe tu na wenyewe kuambiana kuwa "sasa tumempata". Mwenyewe huwa nabakia kucheka tu.
Lakini katika haya ya ufisadi wa RA hakuna ambacho hakizungumziki. Tukianza kuweka mipaka ya nini kinazungumzika na nini hakizungumziki mwingine atakuja na hoja ya kwanini tuzungumzia "makampuni yake" wakati yeye ni mwekezaji, na mwingine atakuja na kutuuliza kwanini tuzungumzie "uanachama wake".. at the end, wote watakuja na sababu za kutosha tu za kutokuzungumzia jambo fulani, as a matter of fact wapo ambao wamekuja na kudai tusimzungumzie kwa sababu kufanya hivyo ni wivu!
Naielewa hoja yako vizuri sana, lakini tuyaache yanayozungumzwa yazungumzwe hoja zisizo na nguvu zitachujwa, kama ni raia itathibitishwa kama siyo raia tutampatia uraia n.k kwa maana inaonesha ana mapenzi makubwa na nchi, kwa hiyo it is not in our interest kumvua uraia halafu kumtimua, tunaweza kufanya kama alivyofanyiwa Jenerali tu. Ni katika kuweka rekodi sawasawa.
Thats exactly anavyofikiria Rostam,
mnapojipanga na mpango huu.. Sasa chukulie hisia zako ndizo za Rostam kisha nambie jibu lake..bila shaka atasema kama ulivyoandika wewe!
hilo ni kweli lakini sasa hivi kichwa kinamuuma!! umewahi kuona jinsi upepo unavyoutikisa mti na kwa muda mrefu ule mti unaonekana hautikisiki? Halafu siku moja kinakuja kimbunga na kuunyofoa ule mti kama unyonya na dalili za kuwahi uliwahi kuwepo nazo zinaondolewa? Ndivyo itakavyokuwa kuanguka kwa RA na wale ambao wanaamini katika njia yake.
Ningekuwa mimi RA nisingesoma makala zangu za mwanakijiji maana kama ni joto.. basi limeongezwa nyuzi kadhaa juu!!
Si alisema yule Mwalimu Mkuu kuwa "mkiwa na imani mnaweza kuuambia mlima huu ng'oka na ukatupwe baharini nao utawatii"? Well.. kuna mtu kauamuru mlima kwa imani. Utang'oka.
Mzee mwankijiji.
Mkuu nitakwambia kwamba katika vitu ambavyo havimtishi Rostam basi hili la Uraia ndio kabisaaa!...na hutasikia hata siku moja hatajikuna (jibishana) ila pale patakapo muwasha.Kwa sababu huwezi kuwa na ushahidi unaopingana hata kidogo, najua hili fika..
Unazo data nimwagie nami nitakupa ukweli tofauti.
Nitarudia kusema tafuta kitu kingine.. Na naposema hivyo usifikirie labda namtetea Rostam isipokuwa ni sawa na DA anapomshauri Prosecutor kuhusu udhaifu wa ushahidi ktk kusimamisha kesi yake..
Rostam anabadilisha majina yake kwa sababu ya Ufisadi tu, hakuna jingine ni mpango unafanywa hata huko na jamaa zetu Ogah (WaNigeria) ktk mitikasi yao lakini haipotezi Uraia wao..Kitu anachofanya Rostam ni kinga ktk kila isheni anayoifanya kutuibia kutokana na udhaifu wa sheria zetu na hasa ukosekanaji wa vitambulisho vya Uraia..ni fisadi tena Papa mbaya sana yule wa JAWS! lakini unapomwinda ni muhimu uwe makini sio kuja na mshipi wenye ndoana na chambo kama vile wamvua Changu...Huyu ni Papa!
Kuna Mhuni mmoja anajiita Shakazulu, kasema maelezo yangu yanayohusiana na Uraia wa mtu ni upupu..Yawezekana kuwa Upupu, auache kama ulivyo wapo njiwa watakula..hana jipya!
Mimi nakuhakikishia mkuu wangu kwa jinsi watu wanavyokuchukia wewe Mwanakijiji, hasa toka huko TZ wameishapita watu wakitaka kujua unaishi vipi US, sehemu gani, Je, una karatasi au huna!..yaani ili mradi kichefuchefu kitupu...Hii yote ni katika kutafuta uchawi wa kukurudisha nyuma kimaisha..
Nachosema mimi kama Mwanakijiji anawapa taabu hapa JF au huko Cheche kwa nini msimtafute ktk maswala yanayohusiana?..Na iweje mumtafute mtu kumkomoa kwa sababu ni kero kwenu. Na wewe mkuu wangu sii wa kwanza.. Nipo mitaa hii miaka zaidi ya 20 nafahamu kesi kibao za UK , US na hapa Canada zinahusiana na Watanzania kuchomeana.. kisa ati mtu fulani kamchukulia binti au anajifanya mjanja!..Hizi zote ni roho mbaya tu hazina uzalendo wowote zaidi ya kukosa kazi ya kufanya..Kachukua mkeo (binti yako) wee mgeuze yeye maswala yamekwisha au sio! (samahani lakini)...Alaaah!
Anyway, mkuu Trust me, unapomtafuta Rostam kwa maswala ya uraia inawapa nguvu zaidi mafisadi kwani sasa hivi inaonyesha wazi tumeishiwa hoja.. Kumbana kipa wakati refa yupo nyuma yako unaomba kadi nyekundu, wakati ndio kwanza kipimnndi cha pili kinaanza...Na ukipewa hiyo kadi basi kumbuka team yako inabakia na wachezaji 10..Kinachofuata ni wao kujihami wakati Rostam na kundi lake wanafanya mashambulizi..
Nakwambia haya kutokana na uzeofu wa mambo haya na kubali mkuu Umri ni moja ya elimu dunia.. Sii tu Utakwama bali utatugharimu jitihada kubwa za wazalendo ktk kutafuta mbinu za kulivua hili Jipapa..
mhhh we naye!
inaelekea hamjaongea muda mrefu au kuna jambo unafichwa
heheheeee
hooooiiiii
hebu mie
Ndugu yangu kati ya vitu ambavyo havinisumbui ni hilo. Wao wana serikali wakitaka kujua lolote kuhusu mimi wala hawahitaji kwenda mbali; mimi nipo hapa siishi Tora Bora. Wakifikiri kuwa hiyo ndiyo "karata" yao watajisumbua sana kwani ningekuwa na wasiwasi wa namna hiyo nisingejiweka wazi namna hii bila ya shaka kuliko mwanachama mwingine yeyote wa JF!
Ukiangalia utaona kuwa yeyote anayetaka kujua mimi niko wapi na naishi vipi wala haitaji kuzunguka, anaweza kunifuata nilipo na kuniuliza au kupiga simu kwa wanaohusika. Halafu watajua vitisho hivyo mzee wanatishiana wenyewe tu na wenyewe kuambiana kuwa "sasa tumempata". Mwenyewe huwa nabakia kucheka tu.
Lakini katika haya ya ufisadi wa RA hakuna ambacho hakizungumziki. Tukianza kuweka mipaka ya nini kinazungumzika na nini hakizungumziki mwingine atakuja na hoja ya kwanini tuzungumzia "makampuni yake" wakati yeye ni mwekezaji, na mwingine atakuja na kutuuliza kwanini tuzungumzie "uanachama wake".. at the end, wote watakuja na sababu za kutosha tu za kutokuzungumzia jambo fulani, as a matter of fact wapo ambao wamekuja na kudai tusimzungumzie kwa sababu kufanya hivyo ni wivu!
Naielewa hoja yako vizuri sana, lakini tuyaache yanayozungumzwa yazungumzwe hoja zisizo na nguvu zitachujwa, kama ni raia itathibitishwa kama siyo raia tutampatia uraia n.k kwa maana inaonesha ana mapenzi makubwa na nchi, kwa hiyo it is not in our interest kumvua uraia halafu kumtimua, tunaweza kufanya kama alivyofanyiwa Jenerali tu. Ni katika kuweka rekodi sawasawa.
[/COLOR][/SIZE]
Samahani mkuu are you are man or a woman? Au kutaja jinsia hairuhusiwi JF?
[/COLOR][/SIZE]
Samahani mkuu are you are man or a woman? Au kutaja jinsia hairuhusiwi JF?
now adays you're very low.......