Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

Inaonekana pamoja na kujua kuwa Rostam sio raia, sidhani kama hatua zozote zitachukuliwa.
Hivi wanaharakati hatuwezi ku-petition mahakamani kuhusu uraia wa Rostam? Sheria zinasemaje kuhusu hili?
 
Mafisadi walionufaika na mtaji huo wa Sakarir Aziz ndio waliofanya uhaini wa kumpa Ubunge wa Igunga alipofariki hayati Charles Kabeho. Wazee wa Kiajemi waliolowea hapa, Hussein Heidari na Hassan nduguye ndio waliompokea kijana Sakarir Aziz kule Igunga, kwa sababu wanao uhusiano na mkewe Aziz yaani mama yake Sakarir au Rostam.

Hawa wazee ndio waliomnadi huyu Mwajemi kwa wazee wa Igunga katika kuiba Ubunge wa Nchi ya watu ambao anawachukulia kuwa 'mataahira'. Sakarir Aziz anao nduguze wa kiume wawili yaani Jahangir Aziz ambaye alipigana kizalendo kabisa ile vita ya nchi yao dhidi ya Iraq, na wa pili ni Akram Aziz.
Mtikila anaonekana alikuwa na information nyingi sana. Kwanza mmoja wa hao kina Haidery ndiye jina lake linaonekana katika kampuni ya Isenegeja iliyonunua magazeti ya Rai na Mtanzania (si kampuni yote ya Habari Corporation).

Pili Jahangir Chakar Aziz, Gulam Chakar na Akram Aziz ni watu muhimu sana kwa RA. Jahangir anahusishwa na tukio zito sana la ukiukwaji wa haki za binadamu kule Mererani Arusha ambalo, aliwatesa watu (wako wanaohofiwa kufa) kwa kuwaburuza na gari wakiwa wamefungwa kamba na kisha kuwachimbia mashimo wakiwatishia kuwazika. Walifanya hivyo kutaka watoe siri ya mtu aliyewaibia tanzanite ya mamilioni. Aliyeokoa jahazi la sakata hilo alikuwa Lowassa akiwa Waziri katika serikali ya Mwinyi. Habari za tukio hilo liliandikwa katika gazeti la Rai. Shuhuda wa tukio hilo hadi leo yuko hai Arusha na walimjengea nyumba Njiro Hills, anaitwa Wasiwasi kaka yake Ramadhani Kafiri Bangi wa Sakina, ambaye anayeishi Ungalimited. Tukio hilo lilotokea miaka ya 1990 (Kati ya 1992-1994)

Pamoja na habari hiyo, Rai liliwahi kuandika "CCM yateua burushi Igunga" ni habari hizo zilizomsogeza RA na EL na kina Jenerali Ulimwengu na Salva na kuanzia hapo, wakawa na mahusiano naye ya karibu mno. Wakapewa ofisi katika jengo la Exporter House, mtaa wa Mkwepu (Posta ya zamani) mahali zilipowahi kuwa ofisi za chama cha PAC cha Afrika Kusini. Ofisi hizo zinamilikiwa na National Housing Corporation lakini zilikuwa mikononi mwa Lowassa (akiwa Waziri wa Ardhi).
 
Last edited:
Yataibuka mengi kama JK hatachukua hatua. Kwa mwenye kukumbuka kampuni ya Jihad Zesandagel ya Ikwiriri Rufiji atusaidie. Je, wale Wairan aliowaleta Rostam walikwenda wapi? Waliondoka? Walifukuzwa? Ama walimaliza kazi?

Kuna uwekezaji mkubwa wa Iran Tanzania, nani anasimimamia na uko wapi?
 
wakuu wa kaya nawezaje kupata nakala ya cheche no 40. nimejaribu kuitafuta bila mafanikio. niwezesheni wazee.

asante mwanakijiji kwa jitihada zako. we really need changes,
 
Hivi jamani… lipi hapo haliwezekani kwa “raisi aishie nje ya ikulu aka RA aka ROstam AZiz”?? uraia tuuu??? Hata mimi sasahivi nikitaka cheti changu cha kuzaliwa nakipata sasahivi tena kwa kupigasimu tuu hata bila kuntanyua mguu wangu hi indo bongo bana…kina makamba wamemwambia asafishe kwanza hiyo mengine yote hayana shida na watambeba tuu
 
sasa mtu siyo raia wa tanzania, je passport ya tanzania amepataje?

Kujipatia kitu halali kwa njia haramu hakihalalishi uhalifu wako! Pia nakubaliana na Confucius kuwa "When a wrong man uses a right means; a right means work in a wrong direction"
 
Last edited:
Duh, kaaaazi kweli kweli.

Inatisha, inasikitisha na inavunja matumaini yote yanayoweza kuwepo. Nashindwa kuelewa Rais alimaanisha nini aliposema Bungeni siku ya kufungua Bunge baada ya kuchaguliwa, kuwa anakusudia kujenga uzalendo. Uzalendo gani huo unaoweza kupatikana katika hali kama hii. Hali ambayo waTanzania wa kawaida wanakuwa wananchi na watu wa nje wanakuwa wenyenchi.

Inauma sana kwa kweli.
 
sasa mtu siyo raia wa tanzania, je passport ya tanzania amepataje?

Just like Chinua Achebe wrote in his book "No longer at easy" all Afrcans are corrupt through and through. I the case where an Indian who never touched the soil of Tanzania, a Tanzanian pasport was prepared for him before his maiden visit to Tanzania. No wander this is the funniest country in the world
 
kumbukeni kuwa hata Mh. Mwakyember mbunge wa kyela wakati akijibu tuhuma alizotungiwa na kina rostam, alisema kuna watu wana uraia wa nchi mbili, akiwa anamlenga rostam, msomin kama mwakyembe hawezi kuropoka hivi hivi
 
Wana Jamii,


Hivi hakuna Investigative Journalism hapa kwetu? Nyaraka hizi za uthibitisho wake kweli haupatikani? Mbona mie wananijua? Mambo ya ndani(uhamiaji)

Dawa ya mwizi ni mwivi..Nyaraka zinazonuka ufisadi zinakuja hapa, hata harufu haijaisha zinatua kabla hata kinyesi hakijakauka hapa...Kulikoni?

Kulikoni za Idara ya Uhamiaji? (Msije kuniambia ule moto uliowaka wakati ule hapa uliondoa nyaraka hizo aidha kwa maji ya zimamoto au moto wenyewe!) Yale yale, twin towers.

Nilifikiri ka nzi kana uwezo wa kupenya penya, ama uhamiaji hakunuki?


Wamemshinda huyu Jeetu watamweza huyo RA?

Tutashuhudia...ka nzi kapewe vinyesi vya ufisadi uhamiaji(hakuna vyandarua pale)kama ushahidi unatakikana, tetesi mpaka lini?

Nitathubutu kumuuliza mkuu wa kaya mwenyewe, ikibidi(wewe unamjua Rosatm, alisoma wapi-ni rafiki yako, ulimpa uraia? Unaweza kumfungulia kabrasha ya uchunguzi yakinifu?

Jioni njema
 
Wana Jamii,


Hivi hakuna Investigative Journalism hapa kwetu? Nyaraka hizi za uthibitisho wake kweli haupatikani? Mbona mie wananijua? Mambo ya ndani(uhamiaji)

Dawa ya mwizi ni mwivi..Nyaraka zinazonuka ufisadi zinakuja hapa, hata harufu haijaisha zinatua kabla hata kinyesi hakijakauka hapa...Kulikoni?

Kulikoni za Idara ya Uhamiaji? (Msije kuniambia ule moto uliowaka wakati ule hapa uliondoa nyaraka hizo aidha kwa maji ya zimamoto au moto wenyewe!) Yale yale, twin towers.

Nilifikiri ka nzi kana uwezo wa kupenya penya, ama uhamiaji hakunuki?


Wamemshinda huyu Jeetu watamweza huyo RA?

Tutashuhudia...ka nzi kapewe vinyesi vya ufisadi uhamiaji(hakuna vyandarua pale)kama ushahidi unatakikana, tetesi mpaka lini?

Nitathubutu kumuuliza mkuu wa kaya mwenyewe, ikibidi(wewe unamjua Rosatm, alisoma wapi-ni rafiki yako, ulimpa uraia? Unaweza kumfungulia kabrasha ya uchunguzi yakinifu?

Jioni njema

Maneno mazito hayo Mkuu. Niliwahi kusema, lazima kuwe na UASI ndani ya TAASISI ZOTE NYETI IKIWAMO UHAMIAJI. Uwe UASI takatifu kwa Wazalendo kuamua kuanika uozo wote wa hawa wanaoivuruga nchi yetu. Maslahi ya Taifa yanavunja nguvu zote za kihalifu ikiwa TUTAAMUA. Wengi wamejaribu na wamepata kinga, wachache wameumia, lakini ndio gharama za UKOMBOZI. Hii ni VITA ya UKOMBOZI TUSIFANYA UTANI. Yataibuka mambo mazito na tutaanza kushangaa na kulaumiana. Tuchukue hatua NOW

Kazi kwenu.
 
Je na hii ni muendelezo wa yale masaa 72 ya Vodacom?.

Kwa maoni yangu, hata kama ukweli halisi ndio huo, lazima atakuwa alikuja nchini zamani zaidi ya hiyo hoja ya Mtikila maana anazungumza lafudhi ya Kiswahili safi cha ndani na si polished.
Mtikila alipewa pesa na Mangi kuyafanya hayo anayoyafanya, nadhani hata kubeba gharama za baadhi ya kesi zake ikiwemo ili ya mgombea binafsi, ni kazi ya Mangi, uzuri wa Mtikila, haaminiki, siku ya siku itafika, atasema yote.

Kwa vile madai hayo ni mazito na hajachuliwa hatua yoyote, enda ikawa yana kwa ukweli, na kama ni kweli, hiyo ina maana wahusika wakuu wote hayo wanayajua na kwa vile ndio amewafikisha hapo walipo kupitia pande la Kagoda, panya gani anaweza kujitolea kumvisha paka kengele?.

Tuendelee kujadili changamsha jamvi nyingine hii, lakini King Maker will remain safe until the end of the kingdom he made. Tuendelee kupiga kelele tuu, tupige kelee wee, tupige kelele wee kwa matumaini hatimaye mwenyenyumba ataamka toka usingizini.

Ukweli wenyewe kumbe anachosikia mwenye nyumba, ni kelele tuu za mlango haziwezi kumkosesha usingizi wake.
 
hakuna cha king maker au mwenye nyumba, dola la Tanzania linalindwa na Mungu, na ujue kuwa hakuna aliye bora kuliko Tanzania, kwa hivyo ukomo wa rostam unaweza kuonekana hata kwa mwenye macho asiyeona vizuri, kama kizazi chetu kimedata kwa akina rostam, siyo kizazi kilicho nyuma yetu kitakubali kuendelea kudata, eboooo
 
Je na hii ni muendelezo wa yale masaa 72 ya Vodacom?.
Kwa maoni yangu, hata kama ukweli halisi ndio huo, lazima atakuwa alikuja nchini zamani zaidi ya hiyo hoja ya Mtikila maana anazungumza lafudhi ya Kiswahili safi cha ndani na si polished.
Mtikila alipewa pesa na Mangi kuyafanya hayo anayoyafanya, nadhani hata kubeba gharama za baadhi ya kesi zake ikiwemo ili ya mgombea binafsi, ni kazi ya Mangi, uzuri wa Mtikila, haaminiki, siku ya siku itafika, atasema yote.
Kwa vile madai hayo ni mazito na hajachuliwa hatua yoyote, enda ikawa yana kwa ukweli, na kama ni kweli, hiyo ina maana wahusika wakuu wote hayo wanayajua na kwa vile ndio amewafikisha hapo walipo kupitia pande la Kagoda, panya gani anaweza kujitolea kumvisha paka kengele?.
Tuendelee kujadili changamsha jamvi nyingine hii, lakini King Maker will remain safe until the end of the kingdom he made. Tuendelee kupiga kelele tuu, tupige kelee wee, tupige kelele wee kwa matumaini hatimaye mwenyenyumba ataamka toka usingizini.
Ukweli wenyewe kumbe anachosikia mwenye nyumba, ni kelele tuu za mlango haziwezi kumkosesha usingizi wake.

Mkuu Pasco, maneno yako mazito, lakini yenye kupooza uhalisia. Inawezekana kuna ukweli ya kuwa Mchungaji amekuwa akitumika mara kadhaa lakini hata wewe ukitumika, haina tatizo, HOJA hapa tujadili facts kama ulivyosema kwamba "King Maker will remain safe until the end of the kingdom he made" na hapo ungesaidia/tusaidiane kujadili solution, maana linagusa maslahi yetu na vizazi vyetu, na historia itatuhukumu na watoto wetu watafukua makaburi yetu, kuangalia kama vichwa vyetu vilikuwa na tofauti gani na vya kondoo!!!
 
Maneno mazito hayo Mkuu. Niliwahi kusema, lazima kuwe na UASI ndani ya TAASISI ZOTE NYETI IKIWAMO UHAMIAJI. Uwe UASI takatifu kwa Wazalendo kuamua kuanika uozo wote wa hawa wanaoivuruga nchi yetu. Maslahi ya Taifa yanavunja nguvu zote za kihalifu ikiwa TUTAAMUA. Wengi wamejaribu na wamepata kinga, wachache wameumia, lakini ndio gharama za UKOMBOZI. Hii ni VITA ya UKOMBOZI TUSIFANYA UTANI. Yataibuka mambo mazito na tutaanza kushangaa na kulaumiana. Tuchukue hatua NOW

Kazi kwenu.

Halisi,

I beg to differ just for the sake!

1. Siogopi
2. Siwezi kushabikia 'UASI' sehemu yeyote 'NYETI'
3. Nitaendele Kushabikia huu 'UKOMBOZI' ;hapa tupo pamoja.


Nafikiri tutakubaliana kuwa MMKJJ huwa haji hapa kimbelembele, huwa akipiga mbiu kuna jambo, RA keshapigiwa ramli za aina zote humu JF na hapa nyumbani lakini wapi...kila kitu sasa "Wakombozi" tunadai tunajua, sembuse uraia wake?

Nimeuliza maswali kadha hapo juu(refer to previous post) Where is our Investigative Journalism? Zitabakia kuwa Tetesi tu? Kuvuliwa Uraia kwa sababu gani kuu, sio Raia? Ni Fisadi? Mwirani? Hivi kuna Mtanzania Mtanzania?


Hivi EL anajulikana kama fisadi sio? Atanyanganywa Umasai? Manake kawaaibisha wa Morani wenzake, Wamasai, Watanzania na ndi sisi Watanzania tuanolia tunafisadiwa.AU?

Kwanini Tunamtafutia RA njia rahisi ya kuondoka? ....Haya basi sio Raia wa Tanzania aondoke mara moja...halafu vita vya ufisadi ndio basi?
Ahsante
 
Wewe una uhakika ameipata kienyeji ? Au unafuata mkumbo tu

Mhhhhhhhh! Na wewe secretary wa RA naona huachi kutetea bosi wako. Haya endelea, hizi njaa zinafanya hii vita dhidi ya mafisadi kuwa ngumu sana maana tunapingana sisi kwa sisi. Inanikumbusha hata enzi za ukoloni na biashara ya utumwa tulikuwa tunasalitiana sisi kwa sisi, machifu wakitunzwa vizuri na wakoloni na wao (machifu) kuwasaliti ndugu zao na kuwauza utumwani.
 
Mkuu Pasco, maneno yako mazito, lakini yenye kupooza uhalisia. Inawezekana kuna ukweli ya kuwa Mchungaji amekuwa akitumika mara kadhaa lakini hata wewe ukitumika, haina tatizo, HOJA hapa tujadili facts kama ulivyosema kwamba "King Maker will remain safe until the end of the kingdom he made" na hapo ungesaidia/tusaidiane kujadili solution, maana linagusa maslahi yetu na vizazi vyetu, na historia itatuhukumu na watoto wetu watafukua makaburi yetu, kuangalia kama vichwa vyetu vilikuwa na tofauti gani na vya kondoo!!!


Maneno ya hekima sana mkuu.
asante sana
 
Kinacho ni shangaza ni je utunzaji wa rekodi mbali mbali za wakazi wa Tanzani(siyo lazima raia) ukoje mpaka ishindikane kujulikana mtu katokea wapi na vipi? Kwa nini asi chunguzwe? Iweje mtu apate passport ya Kianzania kienyeji enyeji? Basi tuna "watanzania" wengi. Kuna maswali mengi ya kuulizwa na yalipaswa yachunguzwe ukkweli ujulikane. Mimi naona jamaa ana lindwa sana maana haya maswali siyo vigumu sana kuchunguza na kupatamajibu yake. Tanzania tuna tia huruma kama hata wageni wana kuja na kutuibia chini ya "mwamvuli" wa utanzania. Na mtu kama huyu akiulizwa defense yake ya kwanza kuwa kuna ubaguzi. Tanzania ina tia huruma. Nawa laumu vhao watanzania wajinga walio kubali kutumiwa ili kum patia anacho taka.

Akiwa CCM hakuna chombo chochote kitakachomchunguza. Siku akijiunga u na upinzani ndio itakuwa siku ya kupewa masaa ya kufungasha virago kurudi kwao uajemi. "Kula vizuri na selikari ya mafisadi utaishi kwa neema mpaka kufa"
 
Swali:Kwanini Rostam hakufungua mashtaka dhidi ya Mtikila ya kumzushia kuwa si raia na kujaribu kumchafua jina lake ukizingatia kuwa tuhuma ya kuitwa "fisadi papa" na ya kuambiwa kuwa si "raia" hiyo ya "papa" ni mtoto tu? Kwanini serikali haikumkemea Mtikila na kumpiga mkwara wa kumchukulia hatua n.k )?

Hakuwa na Nguvu hizo alizonazo

Mtikila alikuwa na Back-up...muulizeni

Power Mongering?
 
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because they are shareholders in most of RA companies,
No one cares!

But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao.

The end is coming now...
 
Back
Top Bottom