Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

Kutokana na mkanganyiko na matukio ya upotevu wa rasilimali za taifa tumeona miongoni mwa watu wanaotuhumiwa na wananchi wengi ni rostam ingawa serikali inaweza kusema haina uthibitisho kutokana na matendo hayo ya kimafia lakini naomba ichukue hatua ya kufuta uraia wa mtu huyu na kutaifisha mali zake .

je wanaju mnadhani mbali na rostam tuiombe serikali kufuta uraia wa watu gani wengine?

Hapo nilipotia rangi nyekundu. Hivi kwa mfano kama wewe ukifutwa uraia wako utaenda wapi? Kama ni mTanzania tutakupeleka wapi? Hatua zingine sawa lakini hili la kufuta uraia sijui litakuwa na maana gani.
 
Hapo nilipotia rangi nyekundu. Hivi kwa mfano kama wewe ukifutwa uraia wako utaenda wapi? Kama ni mTanzania tutakupeleka wapi? Hatua zingine sawa lakini hili la kufuta uraia sijui litakuwa na maana gani.
rostam si raia wa tanzania wa kuzaliwa kwa hiyo hakifutwa uraia anatakiwa kurudia uraia wake au kuomba uraia wa nchi nyingine vilevile kwa kutokuwa raia wa tanzania basi atapoteza uwezo wa kuwa kiongozi kwani sasa ni mbunge na mjumbe wa ngazi ya juu ya CCM ni mjumbe wa CC PIA KAMA Uraia wake ukisitishwa basi hatakuwa na huwezo wa kuwa na nguvu na ushawishi katika siasa na uongozi wa juu
 
Hapo nilipotia rangi nyekundu. Hivi kwa mfano kama wewe ukifutwa uraia wako utaenda wapi? Kama ni mTanzania tutakupeleka wapi? Hatua zingine sawa lakini hili la kufuta uraia sijui litakuwa na maana gani.

RA sio tu kwamba si raia wa kuzaliwa wa TZ ila pia ametumia sifa hiyo kuwa na "duo citizenship". Kwa mantiki hii anautumia uraia wa TZ kama mtaji tu kwa biashara na dili zake kama vile Dowans
 
Tatizo hakuna chombo chochote kinachowweza kuthubutu kupata facts kutoka kwa wazee wa Igunga. Kama hata Mtikila alishindwa na kulegea. Sijui nani?:decision:
 
Rostam Rostam Rostam Aziz ni jina au wimbo ambao umezoeleka masikioni mwa Watanzania wengi.

Matatizo yetu, ufisadi utalisikia jina RA. Huyu mtu ni nani? Nimejaribu kufuatilia mtirliliko wa matukio yanayo muhusu mtu huyu CCM rais na serikali kwa ujumla. Kila ulipo ufisadi yupo.Kwani kila sehemu ni yeye? Kwanini sio Mwanakiji, Masanja, Rutashobya, Mwakipesile n.k.Huyu Rostam ni Myth ni mtu wa kufikilika ambae ametumiwa na mafisadi (CCM) kutudanganywa na kutuibia.

Mpango wao ulibuniwa vizuri na unaendelea vizuri. Sisi tunaendelea kuimba na kucheza Rostam! Rostam! yeye ni nani? Rais? Mfalme? Mungu mtu?!!! HAPANI HAPANA ROSTAM NDIO YEYE CCM.

ROSTAM ni kivuli cha ccm kinachotumiwa na mafisadi wa CCM na Rais kutuibia.Wakisha timiza mradi wao hatutakua na sehemu ya kuzitafuta pesa na rasilimali zetu wala huyo ROSTAM. Huo ni mpango uliosukwa vizuri na mafisadi wa CCM. Kwanza kuchagua kivuli ROSTAM wamemchagua mtu ambae historia yake na uraia wake ni utata mtupu hivyo hata atakapotoweka hatutakua na uwezo wa kumpata. Ndiyo maana hawakuchagua majina niliyoyataja hapo juu kama mfano. Kwani kwa mzawa na mtanzania mwenyeu chungu na nchi yake ingelikua vigumu kubeba kivuli hicho ROSTAM.

TUSIKUBALI KUDANGANYIKA NA KUELEKEZA NGUVU ZETU KUKISHUGULIKIA KIVULI ROSTAM AZIZ WAKATI ROSTAM MWENYEWE ORIGINAL(CCM) AMEKAA PEMBENI ANAENDELEA KUTUNYONYA WAKIISHA TIMIZA LENGO LAO AU TUKIWABANA TUTATANGAZIWA ROSTAM AMENYANG'ANYWA URAIA NA KUFUKUZWA NCHINI MCHEZO UMEKWISHA MAANDAMANO NCHI NZIMA KUMPONGEZA MH. RAIS, CCM NA SERIKALI KWA UAMUZI WA KIJASIRI! JK SHUJAA!!!!!!!!!!! Nyoyo zetu zimetulia! PESA ZETU, RASILIMALI ZETU, MATESO TULIYOYAPATA,MZIGO TULIOBEBESHWA NANI WA KUBEBESHWA?HAKUNA ROSTAM KIVULI HAYUPO TUNAMTAFUTA,ATAPOTEA KAMA DR. BALALI.

WATANZANIA TUSIDANGANYIKE TUELEWE YA WAZI YA KUA ROSTA AZIZ NDIYO HUYOHUYO CCM. TUFUTE MAWAZO KWA KUPOTEZA MUDA WETU KUPAMBANA NA ROSTAM AZIZ TUIBANE CCM NA UTAWALA SISI HATUMJUI ROSTAM MTU TULIEWEKIANA NAE MKATABA WA KUTUTAWALA NI CCM FULLSTOP...............ROSTAM AZIZ WANAMFAHAMU WAO. HIVYO WA KUWAJIBIKA NI CCM. TUKIJENGA HOJA ZETU HIVI ITAKUA VIGUMU KUTOWEKA NA RASILIMALI BILA KUWAJIBIKA.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Rostam Rostam Rostam Aziz ni jina au wimbo ambao umezoeleka masikioni mwa Watanzania wengi.Matatizo yetu,ufisadi utalisikia jina RA.Huyu mtu ni nani?Nimejaribu kufuatilia mtirliliko wa matukio yanayo muhusu mtu huyu CCM rais na serikali kwa ujumla.Kila ulipo ufisadi yupo.Kwani kila sehemu ni yeye?Kwanini sio Mwanakiji,Masanja,Rutashobya,Mwakipesile n.k.Huyu Rostam ni Myth ni mtu wa kufikilika ambae ametumiwa na mafisadi (CCM) kutudanganywa na kutuibia.Mpango wao ulibuniwa vizuri na unaendelea vizuri.Sisi tunaendelea kuimba na kucheza Rostam! Rostam! yeye ni nani?Rais?Mfalme?Mungu mtu?!!!HAPANI HAPANA ROSTAM NDIO YEYE CCM .ROSTAM ni kivuli cha ccm kinachotumiwa na mafisadi wa CCM na Rais kutuibia.Wakisha timiza mradi wao hatutakua na sehemu ya kuzitafuta pesa na rasilimali zetu wala huyo ROSTAM.Huo ni mpango uliosukwa vizuri na mafisadi wa CCM.Kwanza kuchagua kivuri ROSTAM wamemchagua mtu ambae historia yake na uraia wake ni utata mtupu hivyo hata atakapotoweka hatutakua na uwezo wa kumpata.Ndiyo maana hawakuchagua majina niliyoyataja hapo juu kama mfano.Kwani kwa mzawa na mtanzania mwenyeu chungu na nchi yake ingelikua vigumu kubeba kivuli hicho ROSTAM.TUSIKUBALI KUDANGANYIKA NA KUELEKEZA NGUVU ZETU KUKISHUGULIKIA KIVULI ROSTAM AZIZ WAKATI ROSTAM MWENYEWE ORIGINAL(CCM) AMEKAA PEMBENI ANAENDELEA KUTUNYONYA WAKIISHA TIMIZA LENGO LAO AU TUKIWABANA TUTATANGAZIWA ROSTAM AMENYANG'ANYWA URAIA NA KUFUKUZWA NCHINI MCHEZO UMEKWISHA MAANDAMANO NCHI NZIMA KUMPONGEZA MH.RAIS,CCM NA SERIKALI KWA UAMUZI WA KIJASIRI!JK SHUJAA!!!!!!!!!!! Nyoyo zetu zimetulia !PESA ZETU,RASILIMALI ZETU,MATESO TULIYOYAPATA,MZIGO TULIOBEBESHWA NANI WA KUBEBESHWA?HAKUNA ROSTAM KIVULI HAYUPO TUNAMTAFUTA,ATAPOTEA KAMA DR.BALALI.WATANZANIA TUSIDANGANYIKE TUELEWE YA WAZI YA KUA ROSTA AZIZ NDIYO HUYOHUYO CCM.TUFUTE MAWAZO KWA KUPOTEZA MUDA WETU KUPAMBANA NA ROSTAM AZIZ TUIBANE CCM NA UTAWALA SISI HATUMJUI ROSTAM MTU TULIEWEKIANA NAE MKATABA WA KUTUTAWALA NI CCM FULLSTOP...............ROSTAM AZIZ WANAMFAHAMU WAO.HIVYO WA KUWAJIBIKA NI CCM.TUKIJENGA HOJA ZETU HIVI ITAKUA VIGUMU KUTOWEKA NA RASILIMALI BILA KUWAJIBIKA.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Duhh, sijui niseme nini, baadaye kidogo.:decision:
 
Kama kuna mtu anamjua amiri jeshi mkuu, mwenye majeshi ya JWTZ mpaka mgambo na polisi jamii, naomba anijuze
 
toleola41.jpg


Mwaka Jana mwezi Juni, Mchg. Mtikila alitoa tuhuma ambazo hazikupewa uzito unaostahili. Hata hivyo habari za hivi karibuni na uchunguzi huru uliofanyika unatupa sababu ya kuamini kuwa kuna kitu kuhusu maisha na uraia wa Rostam Aziz (Igunga - CCM) kinafichwa kwa makusudi au kwa kutegemea kuwa hakitaulizwa. Maelezo ya Mtikila aliyoyatoa mwaka jana ni haya yafuatayo aliyoyapa kichwa cha "Hatima ya Mwajemi Sakarir". Soma kijarida chako pia na ufanye uamuzi wako mwenyewe ni nini kinafichwa na kwa nini?

HATIMA YA MWAJEMI SAKARIR (ROSTAM) AZIZ


Kiini cha ufisadi wa kutisha na uporaji wa Nchi yetu, unaofanywa kama vile Watanganyika wote ni mataahira, ni kutoweka kwa uraia wa kweli wa kuipenda nchi yetu na kuwa na uchungu nayo wa kiwango cha uhanga kwa ajili yake. Kwa sababu ya 'utaahira' wetu nchi yetu imekamatwa na mbunifu mkuu na nahodha wa mikakati iliyo mingi ya wizi wote uliuofanyika katika Benki Kuu na Hazina ya Nchi yetu, ambaye ni Mwajemi yaani raia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Mwajemi huyu jina lake halisi alilopewa pamoja utambulisho wake alipozaliwa kule kwao Iran ni SAKARIR mwana wa AZIZ. Sakarir alipokuja Tanzania kuipora Nchi ya 'mataahira' kama anavyopenda kutudharau yeye mara nyingi, alijipa jina la 'Rostam'. Wazazi wa Sakarir hawajawahi kuishi hapa, wapo kwao Iran, wakiwa na biashara kubwa ya nyama na kufuga ng?ombe. Sakarir alipozaliwa alipata elimu yake ya msingi kwao Iran, na baadaye akapata elimu ya juu Uingereza ambako pia anao ndugu.

Nilipoanza kuzungumzia uraia wa 'Rostam' Aziz alibabaisha kuwa alizaliwa Ndala Mission, lakini ni mwongo, ingawa alisahau kwamba Premji wa Kigoma alizaliwa hapa lakini hakuwa raia kwa sababu wazazi wake hawakuwa wameukana uraia wa kwao, wala yeye Premji hakuwa ameomba uraia kwa mujibu wa Sheria, hata kama aliweza kujipatia Passport ya nchi hii kwa njia za ufisadi kama alivyofanya yeye. 'Rostam' amepata kudanganya kwamba alisoma shule ya msingi Mwisi, alipoona atagundulika upesi akasema alisoma Mwamala, Nzega, lakini siyo kweli.

Rostam Aziz anazo Passport mbili za kusafiria, yaani ya Nchi yetu ambayo aliipata kwa udanganyifu, anayoitumia kusafiria hadi Nairobi, na ya kwao Uajemi yaani Iran ambayo husafiria kutoka Nairobi kwenda kwao, Dubai na kwingine alikolimbikiza mapesa aliyaipora Nchi yetu.

Kwa ufupi Sakarir alipofika nchini mwetu baada ya masomo yake Uingereza, aliunganishwa na viongozi watatu wa CCM waliokuwa marafiki sana ambao ni pamoja na Rais Kikwete.

Rostam alipata nguvu ya kisiasa kwa kutumia mapesa mengi ya mfuko maalum wa nchi yao wa 'Iranians in Diaspora', aliyoyapata kama raia mwaminifu wa Iran, aliye na shughuli zenye maslahi kwa nchi yao katika nchi ya nje. Nguvu hii ndiyo iliyomtia Benjamin Mkapa mkononi mwake na kuwa msingi wa uhuni na jeuri yote aliyonayo leo.

Mafisadi walionufaika na mtaji huo wa Sakarir Aziz ndio waliofanya uhaini wa kumpa Ubunge wa Igunga alipofariki hayati Charles Kabeho. Wazee wa Kiajemi waliolowea hapa, Hussein Heidari na Hassan nduguye ndio waliompokea kijana Sakarir Aziz kule Igunga, kwa sababu wanao uhusiano na mkewe Aziz yaani mama yake Sakarir au Rostam.

Hawa wazee ndio waliomnadi huyu Mwajemi kwa wazee wa Igunga katika kuiba Ubunge wa Nchi ya watu ambao anawachukulia kuwa 'mataahira'. Sakarir Aziz anao nduguze wa kiume wawili yaani Jahangir Aziz ambaye alipigana kizalendo kabisa ile vita ya nchi yao dhidi ya Iraq, na wa pili ni Akram Aziz.

Kamati yetu imejitolea kuwasaidia wananchi wa Igunga wanaotaka kufungua kesi dhidi ya Sakarir Aziz na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa kuwanyima uwakilishi Bungeni tangu Mbunge wao hayati Charles Kabeho alipofariki. Kwani Mwajemi wa Jamhuri ya Kiislamu, 'Rostam' Aziz hawajali kabisa wananchi wa Jimbo lile, hata katika maafa kama ya kukosa kabisa usafiri baada ya madaraja ya mto Mbutu kuzolewa na mafuriko, au machafuko yaliyotokana na masuala ya ushirikina.

'Rostam' Aziz anashirikiana katika kupora Nchi yetu na gabachol* mwingine aitwaye Yusuf Manji, ambaye pia si raia wa nchi hii na akibisha ushahidi utatolewa.

Bilashaka Wabunge safari hii watataka kujua ni nani hasa waliotoa Passports za Tanzania kwa 'Rostam' Aziz, Jahangir Aziz na Akram Aziz na kwa misingi gani.

Wezi hawa wanaipora nchi hii bila huruma, na ndio wanaowaambia watawala wa CCM cha kufanya ili wakombe mapesa yetu B.O.T na Hazina, na kutumia matrilioni yetu kuwatia viongozi wetu ndani ya mifuko ya makoti yao, ambamo wanalishwa masazo yao na kuchomoza vichwa kuchungulia nje kama vindege kuwasanifu wananchi, na kurudi mifukoni mwao wakidhani wanakula kumbe wanaliwa wao na Nchi yao! Hatutaki Rais wetu wala Wabunge wetu wawe vindege ndani ya mifuko ya makoti ya 'Rostam' Aziz na Yusuf Manji!

'Rostam' na yusuf Manji wapo Dodoma na shehena ya mapesa ya EPA, kwa kazi ya kuwanunua wabunge wanaowadharau kwamba eti ni mataahira, wawe karatasi ya msalani (toilet paper) ya kuwasafisha uchafu wao halafu na yenyewe itokomee pamoja na uchafu, kwani haiwi safi tena baada ya kutumiwa!

Tunaitaka Serikali iwakamate hawa wahalifu hatari wa Taifa letu huko Dodoma na kuwapokonya makaratasi yao yote ya kusafiria na kuwaleta kizimbani maramoja kwa uharamia wote walioifanyia Nchi yetu.
Saa ya ukombozi ni sasa!

Mchungaji C. Mtikila
MWENYEKITI WA KAMATI
26/6/2008

Swali:Kwanini Rostam hakufungua mashtaka dhidi ya Mtikila ya kumzushia kuwa si raia na kujaribu kumchafua jina lake ukizingatia kuwa tuhuma ya kuitwa "fisadi papa" na ya kuambiwa kuwa si "raia" hiyo ya "papa" ni mtoto tu? Kwanini serikali haikumkemea Mtikila na kumpiga mkwara wa kumchukulia hatua n.k )?

Yeah ROSTAM AZIZ ni FISADI lakini alikwenda CHUO KIKUU cha DAR ES SALAAM

Kwanini tunakwenda Out of Our COMFORT ZONE??? Wakianzisha Sheria ya Ku-SUE MTU kwa kumdai pesa na kumfilisi sijui wangapi watakuwa MITAANI...
 
Duhh, sijui niseme nini, baadaye kidogo.:decision:

Jamaa rostam ni bilionea wa dollars za marekani yaani kashiba kwelikweli.atapata uraia popote mbona kwa sasa anaishi ulaya tena the alpes uswisi.Kwani muhimu mtu kuwa raia au kuwa tajiri wa kutupwa?watoto wanatanua,mama yao usiseme,magari ya kifahari.nadhani mtu kama yule anahofia kifo tu.jamani tuache siasa kila mtu anatafuta maisha ya kifahari.
 
Rustam Sakarir Chakaar Abdurasul Aziz Rostam "Mchelee"!!

The King maker! I salute You!, kwa umri ulio nao Mzee umefanikiwa sana.

Pokea HONGERA kutoka kwangu ya dhati kabisaaaa!

FP

Yani bongo kunawatu wasio ipenda nchi. Mfano ni wewe unamsifia RA ni King maker. Ila kinacho nishangaza zaidi ni mikoa inayo wachaguwa hawa watu mpaka wanakuwa wabunge. Alafu wanalia baada ya jamaa kujiuzulu baada ya. Kuachia ubunge. Huko igunga kuna watu wanamna gani?
 
toleola41.jpg


Mwaka Jana mwezi Juni, Mchg. Mtikila alitoa tuhuma ambazo hazikupewa uzito unaostahili. Hata hivyo habari za hivi karibuni na uchunguzi huru uliofanyika unatupa sababu ya kuamini kuwa kuna kitu kuhusu maisha na uraia wa Rostam Aziz (Igunga - CCM) kinafichwa kwa makusudi au kwa kutegemea kuwa hakitaulizwa. Maelezo ya Mtikila aliyoyatoa mwaka jana ni haya yafuatayo aliyoyapa kichwa cha "Hatima ya Mwajemi Sakarir". Soma kijarida chako pia na ufanye uamuzi wako mwenyewe ni nini kinafichwa na kwa nini?

HATIMA YA MWAJEMI SAKARIR (ROSTAM) AZIZ


Kiini cha ufisadi wa kutisha na uporaji wa Nchi yetu, unaofanywa kama vile Watanganyika wote ni mataahira, ni kutoweka kwa uraia wa kweli wa kuipenda nchi yetu na kuwa na uchungu nayo wa kiwango cha uhanga kwa ajili yake. Kwa sababu ya 'utaahira' wetu nchi yetu imekamatwa na mbunifu mkuu na nahodha wa mikakati iliyo mingi ya wizi wote uliuofanyika katika Benki Kuu na Hazina ya Nchi yetu, ambaye ni Mwajemi yaani raia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Mwajemi huyu jina lake halisi alilopewa pamoja utambulisho wake alipozaliwa kule kwao Iran ni SAKARIR mwana wa AZIZ. Sakarir alipokuja Tanzania kuipora Nchi ya 'mataahira' kama anavyopenda kutudharau yeye mara nyingi, alijipa jina la 'Rostam'. Wazazi wa Sakarir hawajawahi kuishi hapa, wapo kwao Iran, wakiwa na biashara kubwa ya nyama na kufuga ng?ombe. Sakarir alipozaliwa alipata elimu yake ya msingi kwao Iran, na baadaye akapata elimu ya juu Uingereza ambako pia anao ndugu.

Nilipoanza kuzungumzia uraia wa 'Rostam' Aziz alibabaisha kuwa alizaliwa Ndala Mission, lakini ni mwongo, ingawa alisahau kwamba Premji wa Kigoma alizaliwa hapa lakini hakuwa raia kwa sababu wazazi wake hawakuwa wameukana uraia wa kwao, wala yeye Premji hakuwa ameomba uraia kwa mujibu wa Sheria, hata kama aliweza kujipatia Passport ya nchi hii kwa njia za ufisadi kama alivyofanya yeye. 'Rostam' amepata kudanganya kwamba alisoma shule ya msingi Mwisi, alipoona atagundulika upesi akasema alisoma Mwamala, Nzega, lakini siyo kweli.

Rostam Aziz anazo Passport mbili za kusafiria, yaani ya Nchi yetu ambayo aliipata kwa udanganyifu, anayoitumia kusafiria hadi Nairobi, na ya kwao Uajemi yaani Iran ambayo husafiria kutoka Nairobi kwenda kwao, Dubai na kwingine alikolimbikiza mapesa aliyaipora Nchi yetu.

Kwa ufupi Sakarir alipofika nchini mwetu baada ya masomo yake Uingereza, aliunganishwa na viongozi watatu wa CCM waliokuwa marafiki sana ambao ni pamoja na Rais Kikwete.

Rostam alipata nguvu ya kisiasa kwa kutumia mapesa mengi ya mfuko maalum wa nchi yao wa 'Iranians in Diaspora', aliyoyapata kama raia mwaminifu wa Iran, aliye na shughuli zenye maslahi kwa nchi yao katika nchi ya nje. Nguvu hii ndiyo iliyomtia Benjamin Mkapa mkononi mwake na kuwa msingi wa uhuni na jeuri yote aliyonayo leo.

Mafisadi walionufaika na mtaji huo wa Sakarir Aziz ndio waliofanya uhaini wa kumpa Ubunge wa Igunga alipofariki hayati Charles Kabeho. Wazee wa Kiajemi waliolowea hapa, Hussein Heidari na Hassan nduguye ndio waliompokea kijana Sakarir Aziz kule Igunga, kwa sababu wanao uhusiano na mkewe Aziz yaani mama yake Sakarir au Rostam.

Hawa wazee ndio waliomnadi huyu Mwajemi kwa wazee wa Igunga katika kuiba Ubunge wa Nchi ya watu ambao anawachukulia kuwa 'mataahira'. Sakarir Aziz anao nduguze wa kiume wawili yaani Jahangir Aziz ambaye alipigana kizalendo kabisa ile vita ya nchi yao dhidi ya Iraq, na wa pili ni Akram Aziz.

Kamati yetu imejitolea kuwasaidia wananchi wa Igunga wanaotaka kufungua kesi dhidi ya Sakarir Aziz na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwa kuwanyima uwakilishi Bungeni tangu Mbunge wao hayati Charles Kabeho alipofariki. Kwani Mwajemi wa Jamhuri ya Kiislamu, 'Rostam' Aziz hawajali kabisa wananchi wa Jimbo lile, hata katika maafa kama ya kukosa kabisa usafiri baada ya madaraja ya mto Mbutu kuzolewa na mafuriko, au machafuko yaliyotokana na masuala ya ushirikina.

'Rostam' Aziz anashirikiana katika kupora Nchi yetu na gabachol* mwingine aitwaye Yusuf Manji, ambaye pia si raia wa nchi hii na akibisha ushahidi utatolewa.

Bilashaka Wabunge safari hii watataka kujua ni nani hasa waliotoa Passports za Tanzania kwa 'Rostam' Aziz, Jahangir Aziz na Akram Aziz na kwa misingi gani.

Wezi hawa wanaipora nchi hii bila huruma, na ndio wanaowaambia watawala wa CCM cha kufanya ili wakombe mapesa yetu B.O.T na Hazina, na kutumia matrilioni yetu kuwatia viongozi wetu ndani ya mifuko ya makoti yao, ambamo wanalishwa masazo yao na kuchomoza vichwa kuchungulia nje kama vindege kuwasanifu wananchi, na kurudi mifukoni mwao wakidhani wanakula kumbe wanaliwa wao na Nchi yao! Hatutaki Rais wetu wala Wabunge wetu wawe vindege ndani ya mifuko ya makoti ya 'Rostam' Aziz na Yusuf Manji!

'Rostam' na yusuf Manji wapo Dodoma na shehena ya mapesa ya EPA, kwa kazi ya kuwanunua wabunge wanaowadharau kwamba eti ni mataahira, wawe karatasi ya msalani (toilet paper) ya kuwasafisha uchafu wao halafu na yenyewe itokomee pamoja na uchafu, kwani haiwi safi tena baada ya kutumiwa!

Tunaitaka Serikali iwakamate hawa wahalifu hatari wa Taifa letu huko Dodoma na kuwapokonya makaratasi yao yote ya kusafiria na kuwaleta kizimbani maramoja kwa uharamia wote walioifanyia Nchi yetu.
Saa ya ukombozi ni sasa!

Mchungaji C. Mtikila
MWENYEKITI WA KAMATI
26/6/2008

Swali:Kwanini Rostam hakufungua mashtaka dhidi ya Mtikila ya kumzushia kuwa si raia na kujaribu kumchafua jina lake ukizingatia kuwa tuhuma ya kuitwa "fisadi papa" na ya kuambiwa kuwa si "raia" hiyo ya "papa" ni mtoto tu? Kwanini serikali haikumkemea Mtikila na kumpiga mkwara wa kumchukulia hatua n.k )?

Nchi hii!!!!!
 
Back
Top Bottom