salisalum
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 418
- 136
Kutokana na mkanganyiko na matukio ya upotevu wa rasilimali za taifa tumeona miongoni mwa watu wanaotuhumiwa na wananchi wengi ni rostam ingawa serikali inaweza kusema haina uthibitisho kutokana na matendo hayo ya kimafia lakini naomba ichukue hatua ya kufuta uraia wa mtu huyu na kutaifisha mali zake .
je wanaju mnadhani mbali na rostam tuiombe serikali kufuta uraia wa watu gani wengine?
Hapo nilipotia rangi nyekundu. Hivi kwa mfano kama wewe ukifutwa uraia wako utaenda wapi? Kama ni mTanzania tutakupeleka wapi? Hatua zingine sawa lakini hili la kufuta uraia sijui litakuwa na maana gani.