Mgagagigikoko
JF-Expert Member
- Jul 1, 2007
- 474
- 0
Ndiyo Anasema Kwa Vile Ni Mchagga Na Kaamua Kutumia Mushi Kutukuza Umangimweza Wake.jmushi1,
Kwa Hiyo Haya Yote Unayoiyasema Ni Kwa Sababu Wewe Mchagga Au?..
Maanake Nashindwa Kuelewa Kitu Kimoja Hapa.
Unaonyesha Utetezi Wako Kama Vile Ni Wa Kikabila Kukutea Dhana Chafu Zinazowaumbua Wachagga Lakini Inapofikia Kueleza Unatumia Utanzania Kama Vile Wachagga Tu Ndio Watanzania...kwa Maana Hiyo Nimeshindwa Kuelewa Huyo Mgagagigikoko Unayemzungumzia Ni Kabila Gani Ama Raia Gani?..
Mkuu Hili La Lugha Wala Sii Hoja Kabisa..
Wasomali Wote Wanaongea Lugha Moja Na Bado Wa Ukabila. Hao Wahutu Na Watusi Waongea Lugha Moja Na Bado Sii Kabila Moja..mimi Nadhani Ni Bora Sana Kuaacha Kubishana Na Huyu Jamaa Kuhusiana Na Hili Neno Kabila Maanake Mnatupoteza Wengi...
Nachokiona Mimi Toka Kwa Mgagagigikoko Kuhusiana Na Chadema, Ni Hali Ya Kawaida Kabisa Kwa Waafirka! Ndivyo Tulivyo - Hainipotezei Usingizi Wala Pumzi.
Chadema Ni Chama Cha Wachagga!..ni Lugha Ya Kawaida Kabisa Kwa Mtu Yeyote Aisetaka Majukumu. Haya Ndio Maneno Ya Majaluo Wakati Mau Mau Wanapigania Uhuru, Waliitwa Wao Ni Chama Cha Wakikuyu Kumbe Mjaluo Alikuiwa Mwoga Kuingia Vitani, Lakini Baada Ya Uhuru Kupatikana Kila Mmoja Anaweka Madai Kuwa Kenya Ni Yake!..