Rostam Aziz: Dr. Slaa hatari kwa Taifa...............

Alipotakiwa kueleza ni kwa sababu gani hasa jina lake limekuwa likitajwa katika sakata zima la sakata la Richmond, Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.
“Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
“Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga,” alisema Rostam.
Hivi huku kama siyo kukiri basi nini?
 
Alisema, ni jambo linalosikitisha kwamba pamoja na porojo na maneno ya uongo anayosema mara kwa mara Dk. Slaa dhidi yake, mwanasiasa huyo ameendelea kuaminiwa na wananchi kwa sababu tu ya historia yake ya nyuma ya uongozi wa kidini.
Akitoa mfano wa kile anachokiita porojo za Dk. Slaa, alisema wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, mwanasiasa huyo alipata kumhusisha na kuwapo katika kikao kimoja cha siri kilichodaiwa kufanyika jijini Mwanza wakati yeye (Rostam) akiwa nje ya jiji hilo.
Katika gazeti la jana la Tanzania Daima Jumatano, Dk. Slaa alikaririwa akisema kwamba safari ya Rais Kikwete kwenda Marekani ambayo ilifuatiwa na ile ya Rostam katika kipindi cha mwaka 2006 ndizo zilizoileta Richmond nchini.

Upeo wa Rostam Aziz unatia mashaka makubwa sana.........Hivi ni kweli kuaminika kwa Dr. Slaa kunatokana na historia yake ya kidini?

Huu udini unatoka wapi.....mchango wa Dr. Slaa kwenye bunge kwa takribani mika 15 ndiko kumemweka kwenye chati.............suala la udini ni la viongozi wa juu wa CCM baada ya kubwaga kwenye uchaguzi huu hawataki kusoma alama za wakati kuwa wapigakura wamechoshwa na ufisadi.....kama huu wa DOWANS..........................
 
Kama rostamu na lowasa ndiyo wanamoungoza kikwete kwa rimoti control....kweli ni kazi kwa watu hawa kuchuka viza au passaport inayonesha walikuwa nje ya nchi.......pinda alisema tukiwakamata nchi haitatawalika...kikwete ni swaiba wao sasa wale ndiyo wenye nchi...km ndiyo wenye nchi na rais anawasikiliza wao unadhani kuna kitu hawawezi kufanya.................hivi lakini nyie watu wa igunga kwa nini mnatuletea watu hawa kutoka asia mngali na vijana wengi mliowasomesha na wanaojua matatizo yenu..................hata km mnampenda sana lakini analiingiza taifa kwenye matatiuzo kwa sababu yenu?.......watoto wenu na familia zenu na marafiki zenu hawaishi igunga wanaishi tz.....rostamu ni sumu kali mno?
 
nimecheka sana!! kwa kutetemeka mno
mhujumu uchumi RA

tunakungoja mahali aisee
 
Mmiliki wa gazeti la Rai; Rostam Aziz, ambaye ndiye wengi tunaamini ni mwakilishi wa JK kwenye kashfa ya DOWANS ambayo isipovaliwa njuga italigharimu taifa zaidi ya bilioni 100 ametumia nafasi yake tajwa visivyo alipotumia kumchafua Dr. Slaa na kumwita ni hatari kwa taifa wakati sisi tunaamini yeye Rostam Aziz ndiye hatari kwa usalama wa taifa hili.................................kwa kutuingiza mkenge ili tulipe ufisadi na hivyo kukwamisha jitihada za taifa hili kujitoa kwenye lindi la umasikini............

Aidha Rostam Aziz alidai ya kuwa Dr. Slaa alimzushia kushiriki kikao cha mwanza kilichopanga uchakachuaji wa kura wakati yeye alikuwa safarini Afrika ya Kusini safari ambayo hadi leo Rostam Aziz kashindwa kututhibitishia kuwa kwenye tarehe hizo kweli hakuwa nchini baada ya hata kushindwa kuonyesha kwenye pasi yake ya kusafiria mihuri na viza ya kuingia na kutoka kule Afrika ya Kusini.


Rostam Aziz pia anadai ya kuwa kwa mara nyingine Dr. Slaa amemzushia safari ya kwenda Marekani kwa ajili ya kupanga mipango ya kulipora Taifa hili mabilioni ya fedha kupitia DOWANS huku akishirikiana kwa karibu na swahiba wake JK safari ambayo Rostam Aziz anadai hakwenda..........kwani kwenye tarehe hizo alikuwa humu humu nchini..........Lakini kinyume na awali ambapo Rostam Aziz alionyesha baadhi ya ushahidi ambao uliongeza utata juu ya utetezi wake safari hii hakutoa ushahidi wowote ule kuthibitisha madai yake katika mazingira yanayothibitisha zaidi ya kuwa pengine hata safari hii anasema uongo tu...............Huenda safari hiyo ya marekani alikwenda na sasa anajishauashaua tu..............kujaribu kufunika ukweli.................Upo ushahidi ambao ulitolewa na Tanesco kwa msuluhishi ya kuwa Rostam Aziz ni mwasisi wa kashfa ya DOWANS.......................kama ushahidi huu uliotolewa na tanesco kwenye uamuzi wa DOWANS unavyojieleza..........


RostamAziz.jpg

Rostam Aziz aikana Richmond
• Asisitiza kuendelea kuchochea uwekezaji nchni

na Mwandishi wetu


amka2.gif
KAULI aliyoitoa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa imemuibua Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Rostam alikanusha maelezo ya Dk. Slaa aliyemhusisha na tuhuma za kuhusika kwake kuileta nchini kampuni ya Richmond nchini kutoka nchini Marekani.
Dk. Slaa ambaye kauli yake ilichapwa katika gazeti hili juzi alisema Richmond ililetwa nchini baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rostam kwenda Marekani kwa malengo hayo kwa safari mbili tofauti.
Akijibu shutuma hizo, Rostam alikanusha kwenda nchini Marekani wakati wa mchakato wa kuileta Richmond nchini na akasema kwa mara ya mwisho alikuwa nchini humo Desemba mwaka 2008.
Alisema safari yake hiyo ya mwisho ya nchini Marekani ambayo alikwenda kwa mapumziko akiwa na familia yake, ilikuwa ni ya kwanza na ya mwisho kwenda huko katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
“Siyo kweli hata kidogo kwamba nilikwenda Marekani kuishawishi Richmond ije nchini. Dk. Slaa anaendeleza porojo zile zile ambazo leo hii zimeligharimu taifa.
“Angalia pasi yangu hii hapa ya kusafiria uone mwenyewe ukweli kwamba katika kipindi cha miaka mitano iliyopita nimepata kwenda Marekani mara moja tu, Desemba mwaka juzi,” alisema Rostam huku akionyesha pasi yake ya kidiplomasia yenye namba za usajili AD000455.
Alipotakiwa kueleza ni kwa sababu gani hasa jina lake limekuwa likitajwa katika sakata zima la sakata la Richmond, Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.
“Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
“Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga,” alisema Rostam.
Alipotakiwa kueleza iwapo yeye ni mmoja wa watu wanaotarajia kufaidika na malipo ya shilingi bilioni 185 ambazo TANESCO inatakiwa kuilipa fidia Dowans, mfanyabiashara huyo alikana kuimiliki kampuni hiyo.
Mbali ya kukanusha hilo, Rostam aliyabeza madai ya baadhi ya wanasiasa wanaohusisha fedha hizo na yeye akisema katika mkusanyiko wa biashara zake anazofanya ndani na nje ya nchi kiasi hicho cha fedha wanazotarajiwa kulipwa Dowans ni sawa na mapato yake ya miezi minne tu.
Alisema, ni jambo linalosikitisha kwamba pamoja na porojo na maneno ya uongo anayosema mara kwa mara Dk. Slaa dhidi yake, mwanasiasa huyo ameendelea kuaminiwa na wananchi kwa sababu tu ya historia yake ya nyuma ya uongozi wa kidini.
Akitoa mfano wa kile anachokiita porojo za Dk. Slaa, alisema wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, mwanasiasa huyo alipata kumhusisha na kuwapo katika kikao kimoja cha siri kilichodaiwa kufanyika jijini Mwanza wakati yeye (Rostam) akiwa nje ya jiji hilo.
Katika gazeti la jana la Tanzania Daima Jumatano, Dk. Slaa alikaririwa akisema kwamba safari ya Rais Kikwete kwenda Marekani ambayo ilifuatiwa na ile ya Rostam katika kipindi cha mwaka 2006 ndizo zilizoileta Richmond nchini.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo wakati akijibu taarifa ya Ikulu iliyotolewa mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikikanusha madai ya Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA aliyemhusisha Rais Kikwete na ujio wa kampuni ya Dowans nchini.
Ikulu katika taarifa yake iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Salvatory Rweyemamu, ilipinga maelezo hayo ya Dk. Slaa ikitumia lugha kali, kejeli na dharau.

Kwamba yeye ndio aliwashawishi Dowans? bado anajiona hahusiki kwa majibu hayo? nani wa kudanganywa tena leo hii?
Kaimaliza Tanesco sasa hayo ya uwekezaji wa anga tena inakuwaje..? hapana haiwezekani kuvumilia udhalimu wa kiwango cha juu hivi.akitoka kwenye anga atahamia kwingine mwishowe atazitaka roho zetu.
 
Alipotakiwa kueleza iwapo yeye ni mmoja wa watu wanaotarajia kufaidika na malipo ya shilingi bilioni 185 ambazo TANESCO inatakiwa kuilipa fidia Dowans, mfanyabiashara huyo alikana kuimiliki kampuni hiyo.
Mbali ya kukanusha hilo, Rostam aliyabeza madai ya baadhi ya wanasiasa wanaohusisha fedha hizo na yeye akisema katika mkusanyiko wa biashara zake anazofanya ndani na nje ya nchi kiasi hicho cha fedha wanazotarajiwa kulipwa Dowans ni
sawa na mapato yake ya miezi minne tu.

Nimefurahi kwa hili.....yaani 185bn kwa miezi minne maana yake 46.25bn kwa mwezi....mara 30% ni 13.88bn in taxes per month due to TRA...Kitillya atuambie kama analipa hizi kodi
 
Rostam Aziz aikana Richmond
• Asisitiza kuendelea kuchochea uwekezaji nchni

na Mwandishi wetu


amka2.gif
KAULI aliyoitoa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa imemuibua Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Rostam alikanusha maelezo ya Dk. Slaa aliyemhusisha na tuhuma za kuhusika kwake kuileta nchini kampuni ya Richmond nchini kutoka nchini Marekani.
Dk. Slaa ambaye kauli yake ilichapwa katika gazeti hili juzi alisema Richmond ililetwa nchini baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rostam kwenda Marekani kwa malengo hayo kwa safari mbili tofauti.
Akijibu shutuma hizo, Rostam alikanusha kwenda nchini Marekani wakati wa mchakato wa kuileta Richmond nchini na akasema kwa mara ya mwisho alikuwa nchini humo Desemba mwaka 2008.
Alisema safari yake hiyo ya mwisho ya nchini Marekani ambayo alikwenda kwa mapumziko akiwa na familia yake, ilikuwa ni ya kwanza na ya mwisho kwenda huko katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
“Siyo kweli hata kidogo kwamba nilikwenda Marekani kuishawishi Richmond ije nchini. Dk. Slaa anaendeleza porojo zile zile ambazo leo hii zimeligharimu taifa.
“Angalia pasi yangu hii hapa ya kusafiria uone mwenyewe ukweli kwamba katika kipindi cha miaka mitano iliyopita nimepata kwenda Marekani mara moja tu, Desemba mwaka juzi,” alisema Rostam huku akionyesha pasi yake ya kidiplomasia yenye namba za usajili AD000455.
Alipotakiwa kueleza ni kwa sababu gani hasa jina lake limekuwa likitajwa katika sakata zima la sakata la Richmond, Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.
“Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
“Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga,” alisema Rostam.
Alipotakiwa kueleza iwapo yeye ni mmoja wa watu wanaotarajia kufaidika na malipo ya shilingi bilioni 185 ambazo TANESCO inatakiwa kuilipa fidia Dowans, mfanyabiashara huyo alikana kuimiliki kampuni hiyo.
Mbali ya kukanusha hilo, Rostam aliyabeza madai ya baadhi ya wanasiasa wanaohusisha fedha hizo na yeye akisema katika mkusanyiko wa biashara zake anazofanya ndani na nje ya nchi kiasi hicho cha fedha wanazotarajiwa kulipwa Dowans ni sawa na mapato yake ya miezi minne tu.
Alisema, ni jambo linalosikitisha kwamba pamoja na porojo na maneno ya uongo anayosema mara kwa mara Dk. Slaa dhidi yake, mwanasiasa huyo ameendelea kuaminiwa na wananchi kwa sababu tu ya historia yake ya nyuma ya uongozi wa kidini.
Akitoa mfano wa kile anachokiita porojo za Dk. Slaa, alisema wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, mwanasiasa huyo alipata kumhusisha na kuwapo katika kikao kimoja cha siri kilichodaiwa kufanyika jijini Mwanza wakati yeye (Rostam) akiwa nje ya jiji hilo.
Katika gazeti la jana la Tanzania Daima Jumatano, Dk. Slaa alikaririwa akisema kwamba safari ya Rais Kikwete kwenda Marekani ambayo ilifuatiwa na ile ya Rostam katika kipindi cha mwaka 2006 ndizo zilizoileta Richmond nchini.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo wakati akijibu taarifa ya Ikulu iliyotolewa mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikikanusha madai ya Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA aliyemhusisha Rais Kikwete na ujio wa kampuni ya Dowans nchini.
Ikulu katika taarifa yake iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Salvatory Rweyemamu, ilipinga maelezo hayo ya Dk. Slaa ikitumia lugha kali, kejeli na dharau.

Itakuwa vizuri sana kama siku moja Bin Laden akianza kusema fulani ni hatari kwa ugaidi.
 
I happen to Rostam Aziz, I hate him so deeply it pain me to complete reading a sentence quoted from him!

I hate Rostam Aziz because I believe he is one of the reasons the government have not been able to provide our neighbourhood with passable road.

I hate Rostam Aziz because he has contributed to the thefty of the resources that would otherwise have been used to address most of the social ills that my parents back home are still suffering, regardless of the 50 years of independence of this country.

I HATE TO HEAR ROSTAM SPEAK AGAINST MY IDOLS, I HATE TO HEAR HIM SAY HE IS TANZANIAN
 
Rostam ana passport kibao za nchi tofauti, yeye huwa akiondoka hapa anatumia pasi ya bongo akifika Nairobi akiendelea na safari zake anatumia pasi aya Iran, kwa hiyo utetezi wa kuonyesha pasi yake hauna mashiko huyu mtu ni jasusi na gaidi, ni mtu hatari sana huyu.
 
Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu
walai vile leo ungekuwa karibu yangu ningekupiga kibao cha pua!
 
yeye ndiye hatari kuliko kitu chochote na yeye ndiye atakaye leta machafuko nchi hii,na hili la arusha ni yeye kwa sababu alijua bomu la dowance linaenda kulipuliwa,likitokea lakutokea yeye atakimbilia irani sisi tutaenda wapi?
 
Siku watanganyika tutakaposhika hatamu!! Wewe na huyo RA wako... you'll be dead meat!!! And I promise you.... That wont be long!!!!

Kweli mwana ila mwenyewe ra ameshashtuka hadi kutamka kuwa yeye ra anamuona dr wa ukweli ni adui atajiju
 
Rostam amedai kuwa anaweza kuingiza kiasi tunachotakiwa kuilipa Dowans (185 bil) kwa miezi minne tu.

Nakubaliana nae ktk hilo, na kiasi hicho tu, anaweza kuingiza hata zaidi, maana kama dili zake ndo hizi kwanini asipate kiburi cha kujivuna?

Kama Rostam amecheza dili la 185 bil. hapa TZ, just imagine akicheza madili kama hayo nchi nyingine walau 5, kwanini asiingize kiac hicho cha fedha hata kwa week?

Rostam ana uwezo wa kujigamba. Anauwezo wa kudai kuingiza hata kwa siku kiac hicho, maana ana dili nyingi anazocheza za mabilioni ya fedha na zinawagharimu wananchi. Nani asiyejua kuwa Rostam ni misheni town??
 
Kikwete ni ngumu kumshughulikia Rostamu kwani hamjui ni shemeji yake? JK kamuoa dada yake tena anakaa ikulu kwenye kale kajuma kadogo ambocho Raisi mstaafu Mwinyi alimhifadhi bibie mdogo. Kwahiyo ni ngumu sana kumshughulkikia shemeji. Rostamu noma kaamua kutoa dada ili aitafune nchi.
 
Huyu jamaa rostam ni ngemse sana anavyosema dr ni hatari.nyani haoni kundule.jinsi lilivyo jizi inaelekea hatari ni huyo mama yake aliyemzaa maana inaelekea hata ujauzito wa rostam kwa mama ake ulitokana na kuchakachua.mimba yake mama yake aliiba ndo mana akazaa jizi tena la hatari kwa taifa.
 
Back
Top Bottom