Rostam Aziz: Dr. Slaa hatari kwa Taifa...............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mmiliki wa gazeti la Rai; Rostam Aziz, ambaye ndiye wengi tunaamini ni mwakilishi wa JK kwenye kashfa ya DOWANS ambayo isipovaliwa njuga italigharimu taifa zaidi ya bilioni 100 ametumia nafasi yake tajwa visivyo alipotumia kumchafua Dr. Slaa na kumwita ni hatari kwa taifa wakati sisi tunaamini yeye Rostam Aziz ndiye hatari kwa usalama wa taifa hili.................................kwa kutuingiza mkenge ili tulipe ufisadi na hivyo kukwamisha jitihada za taifa hili kujitoa kwenye lindi la umasikini............

Aidha Rostam Aziz alidai ya kuwa Dr. Slaa alimzushia kushiriki kikao cha mwanza kilichopanga uchakachuaji wa kura wakati yeye alikuwa safarini Afrika ya Kusini safari ambayo hadi leo Rostam Aziz kashindwa kututhibitishia kuwa kwenye tarehe hizo kweli hakuwa nchini baada ya hata kushindwa kuonyesha kwenye pasi yake ya kusafiria mihuri na viza ya kuingia na kutoka kule Afrika ya Kusini.


Rostam Aziz pia anadai ya kuwa kwa mara nyingine Dr. Slaa amemzushia safari ya kwenda Marekani kwa ajili ya kupanga mipango ya kulipora Taifa hili mabilioni ya fedha kupitia DOWANS huku akishirikiana kwa karibu na swahiba wake JK safari ambayo Rostam Aziz anadai hakwenda..........kwani kwenye tarehe hizo alikuwa humu humu nchini..........Lakini kinyume na awali ambapo Rostam Aziz alionyesha baadhi ya ushahidi ambao uliongeza utata juu ya utetezi wake safari hii hakutoa ushahidi wowote ule kuthibitisha madai yake katika mazingira yanayothibitisha zaidi ya kuwa pengine hata safari hii anasema uongo tu...............Huenda safari hiyo ya marekani alikwenda na sasa anajishauashaua tu..............kujaribu kufunika ukweli.................Upo ushahidi ambao ulitolewa na Tanesco kwa msuluhishi ya kuwa Rostam Aziz ni mwasisi wa kashfa ya DOWANS.......................kama ushahidi huu uliotolewa na tanesco kwenye uamuzi wa DOWANS unavyojieleza..........


RostamAziz.jpg



Soma ukurasa wa 121 wa DOWANS_SIRI.pdf katika aya ya mwisho kabisa yenye nambari 17.11..................
.https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=19555&d=1294041387



Rostam Aziz aikana Richmond
• Asisitiza kuendelea kuchochea uwekezaji nchni

na Mwandishi wetu


amka2.gif
KAULI aliyoitoa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa imemuibua Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Rostam alikanusha maelezo ya Dk. Slaa aliyemhusisha na tuhuma za kuhusika kwake kuileta nchini kampuni ya Richmond nchini kutoka nchini Marekani.
Dk. Slaa ambaye kauli yake ilichapwa katika gazeti hili juzi alisema Richmond ililetwa nchini baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rostam kwenda Marekani kwa malengo hayo kwa safari mbili tofauti.
Akijibu shutuma hizo, Rostam alikanusha kwenda nchini Marekani wakati wa mchakato wa kuileta Richmond nchini na akasema kwa mara ya mwisho alikuwa nchini humo Desemba mwaka 2008.
Alisema safari yake hiyo ya mwisho ya nchini Marekani ambayo alikwenda kwa mapumziko akiwa na familia yake, ilikuwa ni ya kwanza na ya mwisho kwenda huko katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
"Siyo kweli hata kidogo kwamba nilikwenda Marekani kuishawishi Richmond ije nchini. Dk. Slaa anaendeleza porojo zile zile ambazo leo hii zimeligharimu taifa.
"Angalia pasi yangu hii hapa ya kusafiria uone mwenyewe ukweli kwamba katika kipindi cha miaka mitano iliyopita nimepata kwenda Marekani mara moja tu, Desemba mwaka juzi," alisema Rostam huku akionyesha pasi yake ya kidiplomasia yenye namba za usajili AD000455.
Alipotakiwa kueleza ni kwa sababu gani hasa jina lake limekuwa likitajwa katika sakata zima la sakata la Richmond, Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.
"Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
"Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga," alisema Rostam.
Alipotakiwa kueleza iwapo yeye ni mmoja wa watu wanaotarajia kufaidika na malipo ya shilingi bilioni 185 ambazo TANESCO inatakiwa kuilipa fidia Dowans, mfanyabiashara huyo alikana kuimiliki kampuni hiyo.
Mbali ya kukanusha hilo, Rostam aliyabeza madai ya baadhi ya wanasiasa wanaohusisha fedha hizo na yeye akisema katika mkusanyiko wa biashara zake anazofanya ndani na nje ya nchi kiasi hicho cha fedha wanazotarajiwa kulipwa Dowans ni sawa na mapato yake ya miezi minne tu.
Alisema, ni jambo linalosikitisha kwamba pamoja na porojo na maneno ya uongo anayosema mara kwa mara Dk. Slaa dhidi yake, mwanasiasa huyo ameendelea kuaminiwa na wananchi kwa sababu tu ya historia yake ya nyuma ya uongozi wa kidini.
Akitoa mfano wa kile anachokiita porojo za Dk. Slaa, alisema wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, mwanasiasa huyo alipata kumhusisha na kuwapo katika kikao kimoja cha siri kilichodaiwa kufanyika jijini Mwanza wakati yeye (Rostam) akiwa nje ya jiji hilo.
Katika gazeti la jana la Tanzania Daima Jumatano, Dk. Slaa alikaririwa akisema kwamba safari ya Rais Kikwete kwenda Marekani ambayo ilifuatiwa na ile ya Rostam katika kipindi cha mwaka 2006 ndizo zilizoileta Richmond nchini.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo wakati akijibu taarifa ya Ikulu iliyotolewa mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikikanusha madai ya Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA aliyemhusisha Rais Kikwete na ujio wa kampuni ya Dowans nchini.
Ikulu katika taarifa yake iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Salvatory Rweyemamu, ilipinga maelezo hayo ya Dk. Slaa ikitumia lugha kali, kejeli na dharau.
 
Ukimkamata mwizi aliyekubuhu akiiba, ukampeleka mahakamani na kumwuliza je, ulikuwa ukiiba kweli, atajibu HAPANA. Ila, ukimbana sana kwa maswali ya kisheria, atajikuta anasema, "Kama uliniona naiba, je, nilikuwa nimevaa nguo gani?". Ukimwambia ya kijani, atasema, "Hapana, nilikuwa nimevaa nyekundu". Ipo siku, majibu kama hayo yatatokea.
 
Ukimkamata mwizi aliyekubuhu akiiba, ukampeleka mahakamani na kumwuliza je, ulikuwa ukiiba kweli, atajibu HAPANA. Ila, ukimbana sana kwa maswali ya kisheria, atajikuta anasema, "Kama uliniona naiba, je, nilikuwa nimevaa nguo gani?". Ukimwambia ya kijani, atasema, "Hapana, nilikuwa nimevaa nyekundu". Ipo siku, majibu kama hayo yatatokea.

umesema kweli, na kama hawakubali wawashitaki kwa kusema uongo.
 
I wanna kill right now... wanna kill right now ....I wanna kill right now...wanna kill right now......
 
I wanna kill right now... wanna kill right now ....I wanna kill right now...wanna kill right now......:whoo:
 
Time is a healer,si mbali sana ni karibu tu ukweli tutaujua............subira tu.Huyu Mungu alitujulisha mpaka hapo atatujulisha na hayo yaliyobaki,
 
Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu

Kweli nyumba inaungua wewe unachekelea moto unavyowaka badala ya kuzima??
 
Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu

Siku watanganyika tutakaposhika hatamu!! Wewe na huyo RA wako... you'll be dead meat!!! And I promise you.... That wont be long!!!!
 
Huyu Rostam anawaona WATZ wote kama mabwege hivi hamna namna ya kum-assassinate?
 
Inashangaza kuona mwizi akimgeuzia kibao aliyemwibia na kumwita mwizi!!!
 
I wanna kill right now... wanna kill right now ....I wanna kill right now...wanna kill right now......:whoo:

what do you need from me? ammunitions or the gun itself?
also tell me if you need a sniper - there's one in me for free!!
 
Binafsi nimejifunza kitu. Watanzania weusi tunajenga nchi, watanzania wenye asili ya asia hasa wahindi na waarabu wanabomoa nchi. Ipo siku, kama hawatakuwa na adabu itabidi kuwafukuza. Si wote wafanyao hivyo bali wapo baadhi yao, wanamajivuno sana, wana kiburi, na wanataka kutufanya sisi kuwa wenda wazimu wao. Natoa rai kwao wajirekebishe kwani wanachochea moto wenyewe.
 
Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu
Nakubaliana aendelee hata akitaka ulinzi tunamhakikishia kama taifa tutampa covert and overt security ili bata alike vizuri ila tunamtaka mifupa ya hao bata atuachie ifikapo 2015 ikibidi kimyakimya tumsikie iran akiendelea na mambo mengine.
 
Huyu Rostam anawaona WATZ wote kama mabwege hivi hamna namna ya kum-assassinate?

Ndivyo anavyotuona,kama viongozi 'wetu' anawageuzageuza anavyotaka anaamini hao wanaowapigia kura ndo hamna kitu..hicho ni kiburi za Professional Misheni-tauni..
 
Time is a healer,si mbali sana ni karibu tu ukweli tutaujua............subira tu.Huyu Mungu alitujulisha mpaka hapo atatujulisha na hayo yaliyobaki,

Ndiyo dada Michele, lakini hizi kauli za RA zinanifanya niwe na hasira ya kumpiga kichwa! Kwa nini, kila dalili zinaonyesha yeye ndiye amemkamatisha JK kwa masikio akimwelekeza kufanya ufisadi zote hizi. Hana haki ya kuzungumzia viongozi wetu kwanza sio raia. Haya ya kudai hakuwepo au alikuwepo wakati matukio fulani hana utetezi wowote huyu. Linaweza kabisa kuwa na passport mbili nilionavyo hili lijitu. Na kwa nini taifa likubali kuendeshwa kama kondoo anayepelekwa machinjoni! Jamani! Cha!
 
Back
Top Bottom