mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Hii story inawezekana kuwa na ukweli. nape anawapenda sana hawa wadada weupe. Kuna wakati alikuwa anataka kumtafuna Badra Masoud wa tanesco enzi zile akiwa City water or dawasa (kama sijakosea kampuni) ila wakati huo Edward Lowasa nae alikuwa anakula huyo mrembo. Ugomvi wa nape na RA na EL sio wa ufisadi tu, hata mahaba yanahusika
Dah hi ukiliwa na fisadi ndio unapata kazi tanescoeeee.....
Tanzania hii karibu zama zake zitapita.......na sisi weusiweusi na tusioliwa na nape wala el tutapata kuwa maafisa mahusiano kama badra