hii kali yake
Am shocked!
Hii story ya muda mrefu na ina makona mengi. Mara huyo Changudoa katoroshewa South Africa, mara Sycheles n.k.
Mara Nape kamwambia bibi huyo amwite RA na kuweka loud speaker, na Nape akasikia RA akiapa kuwa lazima ammalize!
Mara bibi aseme sumu hiyo ameishawekewa mmiliki wa gazeti la Dira na watu wengine makini. Mara Ohhimh hata Mkuu wa Kaya alipelekewa kimwana kilichopewa sumu kali, lakini akachomoa na kuagiza kikamatwe. Mara Mkuu wa Kaya akaenda kwa wakwe zake Lindi kulalamika kuwa EL na RA wanataka kummaliza? Maneno mingi sana, amueni wenyewe kama kuna credibility katika maneno haya. Moja la uhakika ni kuwa Nape anapenda sana vimwana, ni rahisi kulishwa chochote. Haya maneno nimemwambia mara kadhaa, hatki kunisikia. Sasa haya hapa yamefika chomboni JF.
dada labda alikuwa anataka sana nje, akajitungia njia ya kumpeleka huko kirahisi, nimepewa sumu nije nikuwekee, lakini nakuonea huruma, nakuokoa nawe itabidi uniokoe wakijua wataniua, huyooo kapata safari, mjini shule
Aisee!! Kumbe ni huyu mwanamke siwezi kumuamini hata kidogo huyu mwanamke ni group la kina Nsia pale SAUT Mwanza kaja Dar hapa watu wameanguka nae vibaya alikuwa mke wa DJ mmoja wa Kiss FM. jamaa alimfukuza kwa ukahaba...hana lolote huyu mwanamke kama mtu anataka data zake ani-Pm.
Jamani ndio huyu dada ambaye hata kutangaza alikua hajui kazi kujirembua na kukaa uchi? jamani huyu mu iran ndio haya mngemuachia nchi angetumaliza nayo, ana test ya cheap products, ona kamuweka Bashe pale bila qualification New Habari imegalagala kama jalala, kaweweka wakina muhingo sikjui wapi taka taka kuliko nini, haya ikulu kamuweka salva takataka nyingine, kweli huyu uchochoro ndio anaenda kumchanganya na mkewe mzuri mariamu? pwa, nape hata akila kijana sasa,?halafu kaonyesha uanaume kwa kumpigania na kumhamisha nchi, wasichana wajue hawa mafisadi wakikufuata kama sio kukulambisha mbwa wao basi ni kutumia mbona nasikia pia hii ilikua chakua ya EL? sasa bulushi katoka wapi?
Hii story inawezekana kuwa na ukweli. nape anawapenda sana hawa wadada weupe. Kuna wakati alikuwa anataka kumtafuna Badra Masoud wa tanesco enzi zile akiwa City water or dawasa (kama sijakosea kampuni) ila wakati huo Edward Lowasa nae alikuwa anakula huyo mrembo. Ugomvi wa nape na RA na EL sio wa ufisadi tu, hata mahaba yanahusika
RA hawezi fanya dili la kijinga kiasi hicho,naona Nape anatafuta umaarufu wa kijinga kama walivyo wasanii wetu wa bongo!