Jamani watanzania walio makini na walio criaz na ukombozi wa nchi hii,kuna jambo tunasahau,miaka ya 60 tulipigana kukomboa nchi ipate uhuru,sasa tunahaja ya kuingia vitani tena kutafuta haki ya kweli,mzigo wa umaskini na unyonyaji uliokithiri.
Mwanzoni watumwa walibebeshwa pembe za ndovu na waarabu,leo tunahakikishiwa na mfanya biashara ya utumwa wa miaaka(muirani r.a) kutubebesha si pembe za ndovu kama zamani bali umaskini yeye akatajirike.
Ewe mtanzania badilika chukua hatua tuingie vitani tuikomboe nchi yetu peapleeeeeeeeeeeeeeeeees!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wana JF,
RA akiongea mnapiga kelele, akikaa kimya mnasema mbunge gani huyu asiyeongea kitu bungeni. Sasa mnataka RA afanye nini?.
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.
Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.
SOURCE: MWANANCHI PG2
Pamoja na hayo yote anamiliki Hisa nyingi katika kampuni ya CASPIAN International ambayo imepewa tenda ya kukodisha vifaa vya uchimbaji kwa kampuni makubwa ya madini hapa Tanzania.
Kifupi jamaa anatumia siasa kama kichaka cha kujifichia akiwa ananusa madili ya ununuzi na uwekezaji serikalini. Kifupi the guy IQ yake ni kubwa sana.
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.
Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.
SOURCE: MWANANCHI PG2
Mbona sioni kutajwa Chadema? au wanasiasa uchwara ndio Chadema?
Siku zake zinahesabika bora azungumze sasa maana muda utakapowadia hatapata hiyo nafasi. Achague uraia mmojawapo kati ya alizonazo. Hawezi kutufanya mazuzu.
if i'll meet RA... i'll kill him with my own hands...he better die 4 the sake of majority poor Tanzanians.... f..k u RA...!
Chadema wanachotaka ni kuwadanganya watanzania ili wakiingia waibe na kukimbia,tatizo la kupanda kwa maisha ni mfumo wa dunia nzima siyo tanzania pekee,kwa kuwa chadema wanaijua tanzania tu ni vigume kuelewa hata yanayotokea kenya na rwanda.
Wana JF,
RA akiongea mnapiga kelele, akikaa kimya mnasema mbunge gani huyu asiyeongea kitu bungeni. Sasa mnataka RA afanye nini?.