Rostam awaparamia CHADEMA

Aliwahi kunena hilo mwanasiasa mkongwe Dr.Mzindakaya kuwa nchi inaendeshwa na familia 9 tu tajiri, sasa sijui sie wengine tunasubiri nini humu duniani.Moja wapo ni huyo fisadi.
 
Ni bora angekaa kimya

Hata aongee maneno gani, mdomo wake unanuka uozo
 
Umakini wake uko wap? sijawahi kumuona RA akichangia hoja mjengoni.. ni muoga! kwanza mwishowake waja:hatari:
 
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.

Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.

SOURCE: MWANANCHI PG2

Hana lolote, atakimbia hii nchi kabla ya 2015, maana hata CCM kawaharibia sana.
 
Sasa kama amemtia kiganjani JK ana wasiwasi gani jamani wa kuongea hayo?...Hakuna mwenye kuweza kuhoji kauli yake, japo wanaccm wenyewe wanaelewa kwa undani ukabaila wa huyu fisadi papa!..kisa wanapewa ruzuku naye siku za uchaguzi!...
Nyerere alikataa kuwekwa mfukoni, kwanini JK anachekelea kitu cha hivyo, na wanaccm wote wamepofuka macho?
 
jamaa kweli ni makini manake watu wa,ebana wee naona sasa wanaachia ..onhoo Washa tu mitambo ya DOWANS ...mkiingia tu mkataba wa miaka 3 mara mijimvua hiyo yatarudi kuwa yale yaleeeee
 
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.

Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.

SOURCE: MWANANCHI PG2

Mbona sioni kutajwa Chadema? au wanasiasa uchwara ndio Chadema?
 
Jamani watanzania walio makini na walio criaz na ukombozi wa nchi hii,kuna jambo tunasahau,miaka ya 60 tulipigana kukomboa nchi ipate uhuru,sasa tunahaja ya kuingia vitani tena kutafuta haki ya kweli,mzigo wa umaskini na unyonyaji uliokithiri.
Mwanzoni watumwa walibebeshwa pembe za ndovu na waarabu,leo tunahakikishiwa na mfanya biashara ya utumwa wa miaaka(muirani r.a) kutubebesha si pembe za ndovu kama zamani bali umaskini yeye akatajirike.
Ewe mtanzania badilika chukua hatua tuingie vitani tuikomboe nchi yetu peapleeeeeeeeeeeeeeeeees!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
huyo ndio rais wetu sisi majuha wa tanzania kaongea..

hii amani na utulivu inatupeleka pabaya sana
 
Wana JF,

RA akiongea mnapiga kelele, akikaa kimya mnasema mbunge gani huyu asiyeongea kitu bungeni. Sasa mnataka RA afanye nini?.
 
Ni mara ya pili kuongea ndani na nje ya bunge kwa miaka 6. Kweli uyu mwanasiasa!


Hivi kiswahili chake kinapanda sawasawa au ana kigugumizi?? Sijawahi kumsikia akiongea kabisa!! Pasco yuko wapi atusaidie!!
 
Hivi anajiamaini nini huyu RA, kusema hivi na sawa na ametutukana. Kwanini tulipomuhitaji tangu awali aongelee kuhusu tuhuma za DOWANS, EPA nk alikuwa kimya? Sasa anakuja na hii kauli ya kuchefua. Kweli serikali yetu imewekwa mfukoni na huyu jamaa. Inakera sana.......
 
RA amesema yeye ni mwanasiasa makini na kamwe hababaishwi na wanasiasa uchwara.

Amesema maisha magumu kwa watanzania hayatokani na CCM, bali mfumo wa kidunia unaoendana na hali halisi ya sasa.

SOURCE: MWANANCHI PG2
Au wamekosea ni mwizi makini na si mwanasiasa makini.
 
Back
Top Bottom