Rostam atiwa kivuli na kigogo wa juu kutajwa

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,896
Ukisoma hali halisi inavyokwenda, jinsi viongozi na wenye dhamana ya kumtaja rasmi mmiliki halali wa Dowans, inaonyesha dalili ya kiwingu kinachowatia ububu huo. Angekuwa ni kigogo mdogo tu na kama angekuwa ni Rostam peke yake alishalipuliwa zamani kabisa.

Nakumbuka kulipokuwa na tatizo kubwa la umeme na kabla Ridhmond haijakubaliwa tenda hiyo Mheshimiwa Rais Kikwete alitamka rasmi kuwa matatizo ya umeme yatakuwa ni historia tu, na mara tukasikia Richmond hiyo ikaibuka.

Idara za usalama zinawajibika, idara za kuzuia rushwa zinawajibika, mkuu wa nchi anawajibika kwa vile masuala ya masuala hayo yasingefanyika bila hao kujua.

Mheshimiwa Hosea anasema hawezi tamka mmuliki halali labda akiitwa kwenye kikao cha kamati ya bunge. Nini anaogopa?
Kwenye kumbukumbu za Wikileaks Hosea huyo huyo anasema Rais Kikwete anakwamisha utekelezaji kwa kuwanusuru vigogo wasishtakiwe kwa matatizo haya ya bribe (backhander).

Ni dhahiri kuna woga kwa wahukika kumnyooshea kidole mhusika mkuu na hata kama ni mshiriki na mhusika mkuu ni mwingine. Uadilifu wa viongozi unatiashaka na ni doa.
 
Du hebu tupe source ulikopata jina lake kabla hatujaanza maandamano mana mpaka sasa gazeti la East Africa la jana limesema ni Bw Aziz kwani ndiye anayeweza kufungua a/c kuingiza pesa yoyote (94bn)

 

Attachments

  • Doc1.docx
    56.7 KB · Views: 105
Haina maana vigogo ndio wamiliki, ila kutoa baraka au kushirikishwa ni dhahiri watamlinda, na fahamu kuwa wafanyabiashara waasia wajanja sana, na nimeshuhudia wanavyofanya hata katika mataifa yaliyoendelea. Biashara zao nyingi ni za kificho zaidi kuliko usajiri wa mojakwa moja.
Kwa maneno mengine ikijulikana kama alipata baraka kwa vigogo fulani kuendesha suala la Dowan, hao vigogo wataelewekaje kwa wananchi waliowapa dhamani ya kuongoza nchi?
 
Huyu R Ni jeuri kweli kweli j ajaribu kumgusa ndipo watz mtaamini sura ya kiukweli
 
Inasemekana PCCB walimwita kumuhoji huyo jamaa, akasema na wakataka kumshikilia kumpereka mahakamani; akasema mkimwaga mboga mimi nitamwaga ugali hata kama nikiuwawa ukweli uteleweka, kuanzia hapo kesi kweshenea; labda kama kuna wanajua vizuri hili swala watuelezi maana hii ni tetesi.
 
swali langu: hakuna kitu kweli watanzania tunatakiwa tufanye? Cha kimapinduzi? Maana ndo ivo hata ukiongezewa kamshahara sku iz, afadhali hata ilivokua kabla......... maisha magumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.. jamani tutakaa tunatikisa vichwa tu juu na chini kulia na kushoto bila kutumioa mikono na miguu yetu, jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tanzania ni ya vilaza tu, kwani kama kesha julikana, hatua inayofuata ninini? hamwoni nchi nyingine zimesha anza kuchukua hatu? au mnasubiri mtiwe vidole ndo mjue watawala wameshindwa kuongoz TZ?
 
swali langu: hakuna kitu kweli watanzania tunatakiwa tufanye? Cha kimapinduzi? Maana ndo ivo hata ukiongezewa kamshahara sku iz, afadhali hata ilivokua kabla......... maisha magumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.. jamani tutakaa tunatikisa vichwa tu juu na chini kulia na kushoto bila kutumioa mikono na miguu yetu, jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Elifasi na Wana JF wote,

Wanasheria watashauri kama hili ni uhaini. Tuitake Serikali hii ijiuzulu mara moja. Wameshindwa kuendesha nchi. Wamevunja katiba Kwa kuendekeza rushwa mtu wa kati akiwa kiongozi mwenyewe. Jamani nina uchungu!
 
Ukisoma hali halisi inavyokwenda, jinsi viongozi na wenye dhamana ya kumtaja rasmi mmiliki halali wa Dowans, inaonyesha dalili ya kiwingu kinachowatia ububu huo. Angekuwa ni kigogo mdogo tu na kama angekuwa ni Rostam peke yake alishalipuliwa zamani kabisa.

Nakumbuka kulipokuwa na tatizo kubwa la umeme na kabla Ridhmond haijakubaliwa tenda hiyo Mheshimiwa Rais Kikwete alitamka rasmi kuwa matatizo ya umeme yatakuwa ni historia tu, na mara tukasikia Richmond hiyo ikaibuka.

Idara za usalama zinawajibika, idara za kuzuia rushwa zinawajibika, mkuu wa nchi anawajibika kwa vile masuala ya masuala hayo yasingefanyika bila hao kujua.

Mheshimiwa Hosea anasema hawezi tamka mmuliki halali labda akiitwa kwenye kikao cha kamati ya bunge. Nini anaogopa?
Kwenye kumbukumbu za Wikileaks Hosea huyo huyo anasema Rais Kikwete anakwamisha utekelezaji kwa kuwanusuru vigogo wasishtakiwe kwa matatizo haya ya bribe (backhander).

Ni dhahiri kuna woga kwa wahukika kumnyooshea kidole mhusika mkuu na hata kama ni mshiriki na mhusika mkuu ni mwingine. Uadilifu wa viongozi unatiashaka na ni doa.
Huyo Rostam ndiye Master mind wa EPA. Pesa za EPA kwa CCM wote mnajua ndizo ziliwarejesha Madarakani 2005. Rostam ndiye Kagoda na Meremeta. Pesa zilizotokana na Uozo huo ndizo zimewaweka viongozi wengi madarakani. Rostam ndiye Richmond na Dowans chain of illegal companies. Rostam ndiye financier wa CCM. Kwa profile hiyo utegemee Rostam atapata highest protection kutoka Highest office in this United Republic.
 
habari diyo hiyo!!!!!!!! Huyu Muindi/ mwarabu ndo ana nguvu zote za kuamua namna anavyoweza kutumia hiyo tuzo:A S 20:
 
Cynically Kikwete is the kingpin of Dowans. The evil trio of Kikwete, Rostam and Lowassa are what essentially called the "Vinara wa Ufisadi Tz". You just can't get beyond these b'coz their hands and networks are so wide and complex
 
ukisoma hali halisi inavyokwenda, jinsi viongozi na wenye dhamana ya kumtaja rasmi mmiliki halali wa dowans, inaonyesha dalili ya kiwingu kinachowatia ububu huo. Angekuwa ni kigogo mdogo tu na kama angekuwa ni rostam peke yake alishalipuliwa zamani kabisa.

Nakumbuka kulipokuwa na tatizo kubwa la umeme na kabla ridhmond haijakubaliwa tenda hiyo mheshimiwa rais kikwete alitamka rasmi kuwa matatizo ya umeme yatakuwa ni historia tu, na mara tukasikia richmond hiyo ikaibuka.

Idara za usalama zinawajibika, idara za kuzuia rushwa zinawajibika, mkuu wa nchi anawajibika kwa vile masuala ya masuala hayo yasingefanyika bila hao kujua.

Mheshimiwa hosea anasema hawezi tamka mmuliki halali labda akiitwa kwenye kikao cha kamati ya bunge. Nini anaogopa?
Kwenye kumbukumbu za wikileaks hosea huyo huyo anasema rais kikwete anakwamisha utekelezaji kwa kuwanusuru vigogo wasishtakiwe kwa matatizo haya ya bribe (backhander).

Ni dhahiri kuna woga kwa wahukika kumnyooshea kidole mhusika mkuu na hata kama ni mshiriki na mhusika mkuu ni mwingine. Uadilifu wa viongozi unatiashaka na ni doa.

roastam ni mjanja sana anakula na wakuu wa chama chake lakini nafikiri mwisho wa ufisadi unakaribia saana -people s power ndio iliyoshika mpini sijui atachomokea wapi ataondoka na wanaombeba.
 
Mbona liko wazi na anayemlinda anajulikana na still tunahangaika kumjua? Ah ni IKULU bana. Nimesema sasa.
 
VAA NGUO NYEUSI AU FUNGA KITAMBAA CHEUSI 05-02-2011 kama ishara ya maombolezo ya janga linaloitwa CCM
 
Huyo Rostam ndiye Master mind wa EPA. Pesa za EPA kwa CCM wote mnajua ndizo ziliwarejesha Madarakani 2005. Rostam ndiye Kagoda na Meremeta. Pesa zilizotokana na Uozo huo ndizo zimewaweka viongozi wengi madarakani. Rostam ndiye Richmond na Dowans chain of illegal companies. Rostam ndiye financier wa CCM. Kwa profile hiyo utegemee Rostam atapata highest protection kutoka Highest office in this United Republic.


Ni dhahiri CCM imebatilisha siasa za azimio la arusha na sasa CCM hiyo hiyo inawakumbatia matajiri, na CCM imeshanasa kwenye urimbo wa matajiri. Na matajiri wanajua udhaifu wa CCM kwamba ni pesa.
CCM ni vinara wa wizi wa jasho la wananchi. Angalia vita vinavyoendeshwa na halmashauri zilizoshikiliwa na vyama vya upinzani kurejesha ardhi na majengo ya serikiali yaliyotekwa na ccm.
Viwanja vya michezo vilivyojengwa kwa nguvu ya wananchi vimetekwa na ccm na mapato yanaingia kwao bila kuvifanyia matengenezo viwanja hivyo. Uwanja wa Alhasan Mwinyi Tabora, Majimaji Songea na kwingineko ukiona leo vinachefua kwa jinsi visivyoshughulikiwa ila wameweka tu bakuli kukinga mapato.
Upinzani ukishika nchi na kurudisha mali za rasilimali za umma zilizotekwa na CCM ndio itabaki tu historia ya CCM.
 
Mi nangojea tu maamuzi ya kesi hiyo naona kuna wanamapinduzi wa kweli humu sasa uanamapinduzi uwe halisi si wa kubofya button za simu ama PC
 
Mi nangojea tu maamuzi ya kesi hiyo naona kuna wanamapinduzi wa kweli humu sasa uanamapinduzi uwe halisi si wa kubofya button za simu ama PC

:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:
Yes uanamapinduzi upo na wanamapinduzi wanazidi ongezeka.
Jukumu la kwanza la wanamapinduzi ni kujenga hoja ya civic rights ndo jukumu tunalojenga sasa. Tunahitaji vijana wenye mwelekeo wa uelewa sahihi katika mapambano ya kuikomboa ili tujenge taifa lenye hadhi ya kujiendesha kidemokrasi, kiuchumi na kiutamaduni.
:peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace::peace:
 
Back
Top Bottom