Ndanda to Lomwe
Member
- Aug 7, 2008
- 31
- 1
RA ajibu hoja kuhusu KAGODA na RICHMOND, asitumie hela zetu alizoiba kutugawa,wale wananchi wa Igunga maskini anawalaghai kwa hizo hela ,aitishe maandamano Dar ,au aende mwembe yanga kama alivyofanya Dr Slaa ndo nitajua kweli ye mwanaume,Anamuonya Mengi yeye kama nani?Hao wabunge waliozunguka mkoa wa Tabora na Mengi ni akina nani,ninachojua Mengi hajazunguka Tabora,alialikwa na Mbunge wa viti maaluma mh Aziza kwenye hafla ya NGO hapo Tabora mjini,je huko ndo kuzunguka?
Je Mengi angekuwa anaonekana katika shughuli kama hizo na wabunge wa upinzani huyo RA angesema nini?asitake kuwawanyamazisha wapiganaji ,Mengi kaza buti,Vita bado ni ngumu lakini nawahakikishia wapiganaji wote kuwa bado kitambo kidogo tutashinda vita hii.Nani angejua kuwa leo hii makamba haruhusiwi kuwa front katika majukwaa ya kampeni ya C.C.M? walimwondoa mbeya na sasa wamemuondoa busanda .wanaingiza wapiganaji wa Ufisadi mmoja baada ya mwingine,walianda na kuwaita kina mwakyembe mbeya na leo tunamuona Kilango huko busanda.
Je Mengi angekuwa anaonekana katika shughuli kama hizo na wabunge wa upinzani huyo RA angesema nini?asitake kuwawanyamazisha wapiganaji ,Mengi kaza buti,Vita bado ni ngumu lakini nawahakikishia wapiganaji wote kuwa bado kitambo kidogo tutashinda vita hii.Nani angejua kuwa leo hii makamba haruhusiwi kuwa front katika majukwaa ya kampeni ya C.C.M? walimwondoa mbeya na sasa wamemuondoa busanda .wanaingiza wapiganaji wa Ufisadi mmoja baada ya mwingine,walianda na kuwaita kina mwakyembe mbeya na leo tunamuona Kilango huko busanda.