Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
kenya hawana mzaha na watu wambeya wambeya wa kisiasa kama Rostam.wewe muache akamuuliza shehe Logo yaliyompata!Mbunge aliejiudhuru wa jimbo la Igunga Rostam Azizi,inasemekana amepenya kwenye medani za siasa za kenya na kuanza kwa kumuunga Mkono Raila Odinga.
Source@ gazeti la fahamu dira ya mabadiliko,toleo no 199 la juma4 julai 17-23,2012.