King kingo
JF-Expert Member
- Sep 6, 2010
- 401
- 26
hivi wanahangaika nini, kama dr slaa ni mzushi ilitakiwa waziri wa mambo ya ndani mhe lawrence masha ambaye ndiye mgombea wa jimbo la nyamagana na vyombo vya dola vikiwa chini yake aagize vyombo vya dola kuchunguza uhalali wa barua hiyo. Lakini kutokea ilipotoka wakati wa kampeni wamekaa kimya na sasa wanaleta blah blah kibao.
Mkuu hata mimi hapo ndio ninaposhangaa kazi ilikuwa rahisi kabisa wangechukua hiyo barua na kuipeleka police wa verify signature na vingine then wangewaamuru police wao watoe taarifa kuwa barua hiyo ni fake. sasa kuhangaika kote huku sijui kwa nini???