Elections 2010 Rostam amvaa Dr. Slaa lakini utetezi wake wamweka pabaya

hivi wanahangaika nini, kama dr slaa ni mzushi ilitakiwa waziri wa mambo ya ndani mhe lawrence masha ambaye ndiye mgombea wa jimbo la nyamagana na vyombo vya dola vikiwa chini yake aagize vyombo vya dola kuchunguza uhalali wa barua hiyo. Lakini kutokea ilipotoka wakati wa kampeni wamekaa kimya na sasa wanaleta blah blah kibao.

Mkuu hata mimi hapo ndio ninaposhangaa kazi ilikuwa rahisi kabisa wangechukua hiyo barua na kuipeleka police wa verify signature na vingine then wangewaamuru police wao watoe taarifa kuwa barua hiyo ni fake. sasa kuhangaika kote huku sijui kwa nini???
 
Mtakafufa na vijiba vya roho!

1.Hiyo barua ya Mwaanza aidha iliandikwa na wajanja wachache wa CCM ili kuwatisha wapiga kura

2.Au imegushiwa

3.Niemkuwa Mfuatiliaji na mshiriki wa siasa muda mrefu,Rais hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kukutana na watu kwenye hoteli ya Lakairo na kupanga mipango mkibuwa kiasi hiki.Hell No

Mwizi msemeni ili ukweli juu yake Mmsiupotoshe.Nina uhakika RA alikuwa afika kusini kipindi hicho na kuna watu wangu wa karibu walikuwa naye kwenye huo mkutano Jo 'berg!

Gembe unatukosea heshima wasomaji wa maandishi yako. Ila nashukuru kwa kuwa pamoja nasi ukisisitiza "Mwizi msemeni", na tutamsema tu. Huo mkutano Jo'berg mbona yeye hajauongelea na wewe unaibuka nao hapa. Mwone daktari wako mapema maana kuwa na imaginary friends Jo'berg sio dalili nzuri ya afya ya akili.
 
'Let them be our guests' watasema mengi mwaka huu mwisho wa yote watasema nani alifanya nini na lini na ikawa vipi hahhhaha yetu macho na masikio. Hiyo inaitwa 'guilty conscience'
 
Hivi hawa jamaa walikuwa wapi wakati matokeo hayajatangazwa? Uhamiaji EXIT tu sio ushahidi kuna VISA, ENTRY, etc. Sio Dr. Slaa bali waikane hile barua ya Mkurugenzi wa UCHAKACHUAJI Mwanz KABWE (Sio ZITO)
 
Hata kama kajitetetea kwa maandishi haiingii akilini. Ila kama kwa mahojiano mimi ndo nitashangaa leo KUMBE ROSTAM ANAONGEA!!!! zaidi ya kujibu tuhuma za richmond kanisani alikotoa takrima kwenye kikundi cha kwaya sina uhakika kama huwa anaongea. MIMI NINACHOJUA JAMAA KUONGEA HAJUI ILA WIZIII... ACHA BANA... ANAJUA MNO, TENA MNO. Maana katujambazia vya kutosha. hivi hamna mtu amkamate huyu jamaa alafu amsweke pale segerea japo kwa wiki moja watu wamkamatie mambo flani ndo ajue tuna uchunguuu!!! AMESHINDWA KUJIBU TUHUMA ZA MSINGI KWA MUDA WOTE LEO ANALETA ZA KUTUCHOKOZA!!! akyamungu Rostam we fanya tu, we bisha tu, kuna siku UBISHE USIBISHE ....
 
Mtakafufa na vijiba vya roho!

1.Hiyo barua ya Mwaanza aidha iliandikwa na wajanja wachache wa CCM ili kuwatisha wapiga kura

2.Au imegushiwa

3.Niemkuwa Mfuatiliaji na mshiriki wa siasa muda mrefu,Rais hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kukutana na watu kwenye hoteli ya Lakairo na kupanga mipango mkibuwa kiasi hiki.Hell No

Mwizi msemeni ili ukweli juu yake Mmsiupotoshe.Nina uhakika RA alikuwa afika kusini kipindi hicho na kuna watu wangu wa karibu walikuwa naye kwenye huo mkutano Jo 'berg!

Ndiyo hivyo sasa alikutana nao hapo kwahiyo yuseme kuwa Rais wako ni mjinga. Mimi I wonder huu uongozi wa nchi umekuwa kama wa familia moja sasa au mbili na ya Makamba sasa. Picha ulitoiweka hapo kwenye ID familia yake haikuwa hivi kabisaa
 
Mtakafufa na vijiba vya roho!

1.Hiyo barua ya Mwaanza aidha iliandikwa na wajanja wachache wa CCM ili kuwatisha wapiga kura

2.Au imegushiwa

3.Niemkuwa Mfuatiliaji na mshiriki wa siasa muda mrefu,Rais hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kukutana na watu kwenye hoteli ya Lakairo na kupanga mipango mkibuwa kiasi hiki.Hell No

Mwizi msemeni ili ukweli juu yake Mmsiupotoshe.Nina uhakika RA alikuwa afika kusini kipindi hicho na kuna watu wangu wa karibu walikuwa naye kwenye huo mkutano Jo 'berg!

HEY! HEBU TOA HIYO PICHA KWENYE AVATAR YAKO! Are your parents siblings?
 
Fisadi nini anashindwa kufanya hapa TZ? kama anaweza kuchakachua maoni ya wa TZ 10m, atashindwa kuchakachua passport kwa wa TZ 3 au 4 wanaohusika uhamiaji. Mwizi Tuuuuuuu
 
Mkuu Ruta, my curiousity kuhusu aina ya uhudhuriaji inakuja kutokana na kwamba barua imeeleza wahudhriaji kwenye kikao hicho. Lakini from what I know hata ukichangia mkutano thru teleconf. au videoconf. unakuwa ni muhudhuriaji and remember this can be done from anywhere in the world. Hivyo basi hawa watu kuibuka na kusema hawakuwa Mwanza siku hiyo si hoja yenye mashiko in this respect

Kuna ushahidi wa kutosha ya kuwa watajwa hawa wote walikuwepo pale wenyewe na siyo kwa uwakilishi na hawana la kujitetea hapo..............
 
jamani mimi mtanisamehe kidogo kwasababu mambo ya rostam sitayajadili tena mimi na wa2 wa igunga tu.
 
Ukisema Raisi hawezi kuwa mjinga kiasi hicho GEMBE unakosea kabisa, na inaonyesha bado mchanga kwenye politics ya Tz, kwani kuna mambo mengi ya kipumbavu JK yeye kama yeye amefanya.
 
Mtakafufa na vijiba vya roho!

1.Hiyo barua ya Mwaanza aidha iliandikwa na wajanja wachache wa CCM ili kuwatisha wapiga kura

2.Au imegushiwa

3.Niemkuwa Mfuatiliaji na mshiriki wa siasa muda mrefu,Rais hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kukutana na watu kwenye hoteli ya Lakairo na kupanga mipango mkibuwa kiasi hiki.Hell No

Mwizi msemeni ili ukweli juu yake Mmsiupotoshe.Nina uhakika RA alikuwa afika kusini kipindi hicho na kuna watu wangu wa karibu walikuwa naye kwenye huo mkutano Jo 'berg!

yaani wewe kwa akili zako unamuona JK ni raisi makini wa kuwaza umbali mrefu hivo..huyu si ndo alipewa hundi imeandikwa tofauti ..JK anaweza kufany ahata kikao pale T garden Bar sinza
 
Wajinga ndiyo tuliwao. Nani anahakika kama ile mihuri iko kwenye pasi yake? Muhuri hugongwa ndani ya pasi na kumbukumbu za pasi ziko nyuma kabisa. Sikumbuki hata kama namba za pasipoti zinaonekana mahali mihuri imegongwa. Safari njema.
 
Kila jambo lina MWISHO wake, regime kama za kina Saadam na kina Tareq Azizi waliua wananchi kwa sumu 1982 na wakadhani wangetawala wao tu mpaka wafie madarakani. Hata RA, JK na wenzao wakae wakijua kuwa mabadiliko ni lazima, hata kama wana miaka 76 kama Tareq Aziz wa Iraq aliyehukumiwa kunyongwa tutawashitaki tu!

Watanzania wameamka!! kila siku wanabadilika 2015&2020 tutegee kuwa tutapata chama tofauti na CCM ya JK yenye mafisadi tupu na walinda maslahi binafsi. Hapo ndo patamu WATASHITAKIWA TU! tell them that they have to stay ALert!
 
Jamani...........MIMI NASHANGAA KITU KIMOJA............KILA MTU ANAYESEMEKANA ALIHUDHURIA HICHO KIKAO ANAKANA NA ANATOA DOUGHTFULL DATA KWAMBA ALIKUWA NJE YA NCHI........................................ HEBU NISAIDIENI HIKI KIKAO KILIFANYAIKA AU LAAAAA..........????
 
Rostam Aziz amejitetea huku akimnyanyapaa Dr. Slaa kuwa ni mzushi na anazeeka vibaya lakini utetezi wake Bwana Rostam ya kuwa alikuwa Afrika ya Kusini wakati tarehe za hicho kikao cha kupanga mikakati ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi ambacho Dr. Slaa alidai kilifanyika Mwanza chini ya uenyekiti wake JK............

Tatizo kwa Rostam Aziz ni utetezi wake ndiyo unamweka pabaya sana...........

Bw. Aziz ametoa nakala ya pasipoti yake ikionyesha muhuri wa uhamiaji kwa tarehe ileile ambayo ilidaiwa alikuwa Mwanza...lengo hapa ni kuonyesha ya kuwa alikuwa safarini siku hiyo akielekea Afrika ya Kusini.......sasa tatizo ni nini?

Mapungufu ya utetezi wa Mheshimiwa Mbunge wa Igunga ni kuwa ushahidi wake haujitoshelezi hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-

a) Pasipoti yake haikuonyesha mihuri ya uhamiaji ya Afrika ya Kusini wakati akiingia huko na akitoka jambo ambalo linaashiria pengine muhuri wa Tanzania kwa siku ya kuondoka ulikuwa umewekwa baada ya hizo tarehe ambazo yadaiwa alikuwa Afrika ya Kusini............

b) Hana ushahidi wa hoteli alizofikia kule Afrika ya Kusini kwa maana ya nakala za risiti ili watakaotaka kwenda kukagua hizo hoteli waweze kufanya hivyo na kujihakikishia kuwa yumo kwenye orodha ya wageni wa hoteli hizi kwenye vitabu vyao vya kumbukumbu..kwa tarehe husika....kama ameghushi vitu hapo atakamatwa............................................................

c) Rostam anadai alikwenda kukutana na wafanya biashara wenzie huko Afrika ya Kusini lakini hajaambatanisha hati za viapo za hao jamaa zake ili kuweka uzito kuwa kweli kuna watu aliokutana nao Afrika ya Kusini na kwa kutofanya hivyo ushahidi wake wa kusemea watu wengine ni ."hearsay".......ambao tunalazimika kupuuza kabisa kuwa ni majungu aliyoyapika yeye mwenyewe.......

d) Mbaya kulikoni yote kwa Mheshimiwa Rostam Aziz hakuonyesha kwenye nakala za pasipoti yake mihuri ya Afrika ya kusini na Tanzania kuonyesha tarehe alizotoka Afrika ya Kusini na kurejea nchini................Tatizo hapa ni nini?...............Kulingana na ushahidi wake mwenyewe Rostam Aziz alipaswa awe bado yuko Afrika ya Kusini lakini sasa yupo nchini hili linawezekanaje?

e) Rostam atuonyeshe nakala za tiketi za ndege ambazo aliondoka nayo hapa nchini kwenda Afrika ya Kusini na ile iliyomrudisha nchini...........hapo ndipo kizazaa kilipo Mheshimiwa............

Yaani anavyo vielelezo vya uhamiaji vya kutoka hapa nchini lakini hana vya kurudi nchini hii ni nini kama siyo uhamiaji imeshiriki kuchakachua kumbukumbu zake kwenye pasi yake ya kusafiria ili kutoa mwanya wa kutoa utetezi wa kumbeza Dr. Slaa ambao hata haonyeshi ya kuwa utetezi huo ulienda darasa lolote...............

Bado tunamwomba Mheshimiwa Mbunge wa Igunga kujibu hizi hoja za kimsingi na kadri atakavyokuwa akiendelea kuzijibu atajifunza ya kuwa....the devil of "pack of lies" is always on the details.................Make my day Mheshimiwa Rostam Aziz.......and be my guest......This rebuttal of yours is no smoking gun, at all!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Rostam yuko sahihi kwa sababu aliondoka na ndege halafu akarudi na lile lori lilokuwa na karatasi za kupigia kura zenye alama ya vema kwa JK. Hiyo pass yake ina visa ya RSA?
 
Back
Top Bottom