MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Hivi kwenye ufunguzi wa kampeni sa ccm Nape hakwenda??? daaaa..ninakumbuka leo..Asingeweza kusimama jukwaani na Rost
Tamu
Tamu
mwambieni aje CDM, msimshitue kuwa nimewaambia atajua nyie mwambieni kimya kimya atakuja tuu huku CDM
Chadema wasichukue left overs... wataleta matatizo kweli... Pesa alizonazo ni za WIZI
Clean hands... no blood money
Chadema wasichukue left overs... wataleta matatizo kweli... Pesa alizonazo ni za WIZI
Clean hands... no blood money
<br />
<br />
we ushachezewa kekundu chako nn?mwalimu mkuundu gu yako nn?kwa hyo wa cdm ndo wana akil,pole
ha haaaa haaa..............kwenye hizi siredi za siasa nimegundua kitu kuna wanaoko ambao wanakuja kusoma na kufikisha kwa makavirondo wao hasa hilo kundi la 85 guestsThere are currently 108 users browsing this thread. (23 members and 85 guests)
POST # 16 :gossip:
na ndo ukweli mkuu,ila wanarahisisha kufikisha ujumbe harakaha haaaa haaa..............kwenye hizi siredi za siasa nimegundua kitu kuna wanaoko ambao wanakuja kusoma na kufikisha kwa makavirondo wao hasa hilo kundi la 85 guests
Wote walioko Chadema ni left overs na kama kuna chochote cha kujivunia kutoka kwao then hata hao wanaokataliwa sasa hivi kwa madai kwamba ni left overs basi watakuwa na mchango huo huo. Orodha ya left overs ni ndefu na haianzii kwa Shibuda tu. Wapo akina Kahigi, Rose Kamili, Slaa, Thomas Nyimbo na wengine wengi tu. Infact Chadema wamejijengea reputation ya kuwa ni kimbilio la lfet overs.
Speak sense u creature.Wote walioko Chadema ni left overs na kama kuna chochote cha kujivunia kutoka kwao then hata hao wanaokataliwa sasa hivi kwa madai kwamba ni left overs basi watakuwa na mchango huo huo. Orodha ya left overs ni ndefu na haianzii kwa Shibuda tu. Wapo akina Kahigi, Rose Kamili, Slaa, Thomas Nyimbo na wengine wengi tu. Infact Chadema wamejijengea reputation ya kuwa ni kimbilio la lfet overs.