Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,481
- 14,330
Taarifa za ndani zinaonyesha kuwa
1. Fedha za Rostam zimekuwa zikipitia mabenki ya Marekani ..then uarabuni kwa jina lake na uthibitisho wa kila fedha alikoipata.
2. Lengo la kucheza na matawi ya benki zinazoendeshwa na policy za marekani hapa nchini ni kuzisafisha fedha zake
3. CCM haimo, haina chake, Nappe na rais ajaye watajua watakakokuwa wanakopa
kiuchumi YES, uchumi utatikisika. Lengo la kuchukua fedha kidogo kidogo linalenga kutotokea mtikisiko wa uchumi
Hiyo namba tatu mkuu umenivunja mbavu mkuu.....:lol: