Swali zuri sana mkuu ########### kama haya yana passport hata za nchi kumi. Hivi kweli huyu ni raia wa nchi gani?Passport ya nchi ipi?
Swali zuri sana mkuu ########### kama haya yana passport hata za nchi kumi. Hivi kweli huyu ni raia wa nchi gani?Passport ya nchi ipi?
Dr Harry Mwakyembe aliwahi kuwaambia watanzania siku moja kwenye ukumbi wa Maelezo, na kilichotokea pale ni wale waandishi uchwala waliokuwa wametumwa na mtu asiyekuwa na uchungu wa nchi hii (Rostam) wakawa wanamuuliza maswali ya kejeli mwakyembe kisa njaa zao ambazo kila nikiwaona njiani wanaona aibu na hili la rostam kuondoka ni aibu ya pili kwao kwa kumlinda na kalamu zao mtu mchafu na mwizi na mwenye miguu mitatu huko nje kama alivyosema mwakyembe.
sasa leo yanatimia je hao waandishi mtaandoka na nyie kisa mliajiliwa na mtanzania au mtafia hapa na huyo mwakyembe?
kuna siku itafika watu kama nyie tutawapiga bastola maana ndio mliandika uongo na hamkusema kweli kuwa rostam ana passport tatu ingali mkijua
Nina mashaka na hii habari, imepatikana wapi?, we unavyomjua rostam ni mtu wa kutaka kufunga accounti yenye fedha nyingi?, ameshindwa kuhamisha zote akabakiza laki ya kufia humo mpaka account iwe domant?, hakuna ukweli hapa labda sio Rostam Aziz ni Rostam mwingine! kasome vizuri barua na ikibidi weka copy hapa ndio utanishawishi!
sema yote kuwa
1. theluthi ya fedha zilizoko uko benki ni za Rostam
2. kuwa akine kimei walifunga safari kumfuata ughaibuni kumuomba abadilishe uamuzi wake akakataa
3. alichowasadia ni kuwa atazitoa fedha kwa awamu
4. anai-ondoa na kampuni yake ya caspian ambayo makao yakemakuu ni uarabuni
Nipeni contacts zake nim-PM sasa hiviRostam aziz, moja ya watu hatari kwa taifa, aliechangia kuyumbisha nchi na serikali, the masterminder of dubious deals crime, forgery and dirty money, anajiandaa kutoroka na mabililion ya watanzania. Wazalendo mko wap? I cant wait!
...usipoteze muda wako kusubiri mkuu...Jitu Patel alindoka hivi hivi...
mkuu, jf sio sehemu ya porojo wala kijiwe cha mbege! Kwa hiyo unapoleta data zako humu jf kwa great thinkers lazima uwe na facts za kutosha.
Sio kuokota maneno mitaani na kwenye magazeti ya udaku ndio ushahidi wako..
Ebu weka hiyo barua ya rostam aziz, humu jf tuione ndio tujadili zaidi ya hapo tutakuwa tunajadili umbeya!
Rostam aziz, moja ya watu hatari kwa taifa, aliechangia kuyumbisha nchi na serikali, the masterminder of dubious deals crime, forgery and dirty money, anajiandaa kutoroka na mabililion ya watanzania. Wazalendo mko wap? I cant wait!
lazima abenwe vizuri,?tz siyo shamba la bibi.........