Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anyang'anywe passport mapema kabla na apandishwe kizimbani kujibu tuhuma kama anazo.
ya Tanzania sawa,na zile za nchi zingine nazo watamnyang'anya?Anyang'anywe passport mapema kabla na apandishwe kizimbani kujibu tuhuma kama anazo.
Anyang'anywe passport mapema kabla na apandishwe kizimbani kujibu tuhuma kama anazo.
...usipoteze muda wako kusubiri mkuu...Jitu Patel alindoka hivi hivi...Ngoja tusubiri tuone hii picha,kama watamruhusu aondoke na hela zetu.
Ndio anaondoka hivyo nani mwenye ubavu wa kumgusa. Serikali dhaifu kama ya JK haina huwezo huo wa kumuhoji RA
Rostam Aziz ameziandikia bank za CRDB na NMB ya kutaka kufunga account zake na kutaka kuhamisha fedha hizo katika nchi ya Malaysia, tukio hili lilifanya mameneja wa bank hizo kuomba muda wa kupitia na uhamuzi huo kabla ya kuruhusu kufungwa kwa akaunt hizo, kwani kutokana na kiasi kilichomo ndani ya akaunti hizo ni lazima wapate kibali ya kufunga na kuhamisha kutoka BOT.
Lakini wachambuzi wa mambo wanaliona ni tukio la bwana Rostam kuondoka nchini na kuelekea malaysia, hivyo basi kama Tanzania kuna chochote cha kumuuliza au tunataka kufahamu kutoka kwake ndio wakati muafaka sasa la sivyo zile tuhuma za wizi wa fedha za EPA kupitia Kagoda ndio ushahidi wake unapotea hivyo
Akiondoka ana baraka zote za mkuu!...vinginevyo alitakiwa aozee kunakomstahili, shenzi kabisa!
Rostam Aziz ameziandikia bank za CRDB na NMB ya kutaka kufunga account zake na kutaka kuhamisha fedha hizo katika nchi ya Malaysia, tukio hili lilifanya mameneja wa bank hizo kuomba muda wa kupitia na uhamuzi huo kabla ya kuruhusu kufungwa kwa akaunt hizo, kwani kutokana na kiasi kilichomo ndani ya akaunti hizo ni lazima wapate kibali ya kufunga na kuhamisha kutoka BOT.
Lakini wachambuzi wa mambo wanaliona ni tukio la bwana Rostam kuondoka nchini na kuelekea malaysia, hivyo basi kama Tanzania kuna chochote cha kumuuliza au tunataka kufahamu kutoka kwake ndio wakati muafaka sasa la sivyo zile tuhuma za wizi wa fedha za EPA kupitia Kagoda ndio ushahidi wake unapotea hivyo