Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Hapa ni pazuri nafikiri tunaelekea kwenye ushindi watanzania tumechoka kumlipa FISADI pesa kila siku.
Mwahalisi kuguswa ni kugusa watanzania.
Sijui kama huyo Rostam amekurupuka maana ukiangalia toleo analo lilalamikia ni la muda mrefu huenda amekaa na wanasheria na majaji na washauri kibao kuona jinsi watakavyo weza kulishitaki gazeti hilo!
Pia inasekemekana Mwakeyembe hua analiandikia gazeti hilo na pia alivujisha baadhi ya siri ya tume kwenye gazeti hilo kabla ya kuwasilisha bungeni!
Sidhani huyo Rostam atakuwa punguani kiasi hicho pamoja na ufisadi wake anajua anacho kifanya!
HIVI SIMBA MWENYE NJAA AMEKWENDA KUWINDA NYAMA AMEANZA KULA GHAFLA UNAMCHUKULIA NYAMA KUTOKA KINYWANI MWAKE!UNATEGEMEA NINI!!!
Waswahili walisema mwenyezi mungu akupe nini? Hapa tumekaa mkao wa kula tu, ngoja mambo yaanze ameyataka mwenyewe.