Mbona na yeye yuko bungeni kwa maslahi ya biashara zake aache unafiki.Anasema angekuwa yeye angemwambia "OUT"!..kwa maana kwamba aondoke kwenye chama mara moja!
Si kweli, kwa nafasi ambayo yeye alimteua (mweka hazina CCM) alimtoa tena kwa aibu kubwa, lakini ninyi wananchi mmemchagua kuwa mbunge wenu mlitaka afute ubunge wake? kwa nini mnaruka wajibu wenu? kwa vyeo vyote vya Rostam wananchi wakitaka wanaweza kumtoa.
JK alimpigia debe IGUNGA? Hiyo ndiyo ghalama ya demokrasia, wengi wape haijalishi ni akina nani na wanaupeo gani. kuna maeneo nchini kauli ya rais ni amri, kwa kumpigia debe wakamchagua hatushangai.Si kweli, kwa nafasi ambayo yeye alimteua (mweka hazina CCM) alimtoa tena kwa aibu kubwa, lakini ninyi wananchi mmemchagua kuwa mbunge wenu mlitaka afute ubunge wake? kwa nini mnaruka wajibu wenu? kwa vyeo vyote vya Rostam wananchi wakitaka wanaweza kumtoa.
Anasema angekuwa yeye angemwambia "OUT"!..kwa maana kwamba aondoke kwenye chama mara moja!
Si kweli, kwa nafasi ambayo yeye alimteua (mweka hazina CCM) alimtoa tena kwa aibu kubwa, lakini ninyi wananchi mmemchagua kuwa mbunge wenu mlitaka afute ubunge wake? kwa nini mnaruka wajibu wenu? kwa vyeo vyote vya Rostam wananchi wakitaka wanaweza kumtoa.
nakupa tano huyu mzee mnafiki hana lolote la maana mambo yote mawili aliyoongea pumba tupu nafikiri wananchi wa bariadi hawana shida wanazopata kama wananchi wengine shida yao ni kumshauri rostam ajiuzulu na kuiponda chadema.nikikumbuka nyuma mtikila na mengi walivyojibiwa na rostam siku si nyingi huyu mzee ataanikwa na njaa zake.Hivi Cheyo na Biashara zake za Ng'ombe, Ofisi yake ya pale Ubungo plaza na SIASA zinakaaje,mbona anamshauri RA aache SIASA afanye Biashara, Huyu Mzee HAYAWANI KWELI KWELI