samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Rosemary Mwakitwange amewasihi wanawake kushiriki maandamano ya amani kwa kuwa katiba inaruhusu. Amewaomba wanawake kushiriki katika siasa kwa kuwa maamuzi ya kisiasa yana yanagusa nyanja zote za maisha.
Zaidi ya hapo amesema wanawake hawapaswi kumsikiliza mtu yeyote awe mwanaume au mwanamke mwenzao atakaye washauri wasishiriki kwenye maandamano au siasa.
Siku kadhaa zilizopita Sophia Simba alinukuliwa akiwashauri wanawake wasiandamane kwa kuwa wao wana kazi nyingi hivyo wawaachie wanaume ambao hawana kazi nyingi.
Source: Wanawake live EATV
Zaidi ya hapo amesema wanawake hawapaswi kumsikiliza mtu yeyote awe mwanaume au mwanamke mwenzao atakaye washauri wasishiriki kwenye maandamano au siasa.
Siku kadhaa zilizopita Sophia Simba alinukuliwa akiwashauri wanawake wasiandamane kwa kuwa wao wana kazi nyingi hivyo wawaachie wanaume ambao hawana kazi nyingi.
Source: Wanawake live EATV