Rosemary kwa Kiswahili

GAMBLER

JF-Expert Member
Nov 22, 2009
303
11
Msaada wenu wakuu, naomba kujuzwa Rosemary kwa Kiswahili ni nini?? Nimejaribu ku search sikufanikiwa
 
Ni muunganiko wa majina 2 yaani maria na roza. Kwa kiswahili ni Mariaroza
 
Wengine wanaitwa marysose unampenda sana rosemary wako eeehhh..........
 
Maana yake ni rozimaria Kutafsiri jina ni kulibadili maana. Mfano
Furaha na happyness ni majina mawili tofauti ingawa maana sawa.
 
Wakuu sina maana ya jina la mtu, niliambiwa kuwa ni aina ya mboga ya majani, kwa hiyo ningependa kujua aina hiyo ya mboga kwa kiswahili ni nini
 
Wakuu sina maana ya jina la mtu, niliambiwa kuwa ni aina ya mboga ya majani, kwa hiyo ningependa kujua aina hiyo ya mboga kwa kiswahili ni nini

Ungesema hivyo toka mwanzo usingeleta mtafaruku, kwa Kiswahili kusema kweli siijuwi jina lake, ni hii hapa:

Rosemary is one of those wonderful herbs that makes a beautiful ornamental plant as well as a welcome culinary seasoning. Its Latin name, Rosmarinus officinalis, means "dew of the sea" and rosemary is most closely associated with the cooking of the Mediterranean area. However you don't need perfect sunshine, sea mist or even a never ending summer to successfully grow rosemary. In fact, more rosemary plants suffer from too much attention than from too little.

rosemary-herb.jpg

 
Ungesema hivyo toka mwanzo usingeleta mtafaruku, kwa Kiswahili kusema kweli siijuwi jina lake, ni hii hapa:

Rosemary is one of those wonderful herbs that makes a beautiful ornamental plant as well as a welcome culinary seasoning. Its Latin name, Rosmarinus officinalis, means "dew of the sea" and rosemary is most closely associated with the cooking of the Mediterranean area. However you don't need perfect sunshine, sea mist or even a never ending summer to successfully grow rosemary. In fact, more rosemary plants suffer from too much attention than from too little.

rosemary-herb.jpg

Asante mkuu....lakini bado naona sijapata jibu hii kitu kwa kiswahili inaitwaje???
 
Msaada wenu wakuu, naomba kujuzwa Rosemary kwa Kiswahili ni nini?? Nimejaribu ku search sikufanikiwa
Kama ni mtu mwite tu dada ama binamu ama shangazi. Kama ni viungo vile vya Wazungu sema tu aina ya viungo vya Ulaya. Hata wazungu hawana maneno kama ugali badala yake wanaita "stiff porridge". Huwezi kuwa na jina la kitu ambacho hauna na kwa hiyo haukijui.
 
Sikuwahi kufahamu kuwa haya majina ni mazuri na yanavutia. Huku kwetu tuna haribiana sana majina, Mary anaitwa Mele na Rose ni Lozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom