NIPO BADO MPAKA MBILI IV NAONA...yaan nimechoka mpk macho yamefumba!!!!!!
Wooow! :whoo:thats my babe! watu ee yupo Honeymoon, mara ooo tulimuona sijui wapi kule na kule! mi sikuwasikiliza bana, nilijua tu upo busy laaziz! thanks kwa dedication, sasa mtima wangu utatuliza ball sbb ki kweli nilikumisso! hebu kamata kwanza hii dedication wakati napata jani> STILL IT UP By Bob Marley.
Mpwa anamtafuta mke wa mtu kwa spidi ya ajabu sana, ni bure tu? mmmhh hope so!
Karibu tena Rose,
Ni furaha na raha sana kukuona tena.
sasa si umweleze tu Ras ukweli, ulikuwa wapi jameni?kumbuka tulikuwa busy mimi na wewe kuandaa ule mkutano siku 2 tu!
hizo days nyingine sijui ulikuwa na nani?jitetee
bado hupokei
ngoja nishuke huku chini ntakuchukulia!hebu niambie nikuchukulie ya ngapi?
mke wanani?toka uko!!
Bacha please! please! wacha kutaka kutuchonganisha aisee, mimi na yeye tumeshibana ati! hata nikimkuta na zile wanaita sijui nini?? na nini?? kwenye mkoba kama ile thread kule ya yule jamaa na mkewe mi namuamini bana!. Big up mama Rose 1980, naziba masikio mimi!:horn:
SNA UJANJA WA KUTOPPOKEA CM YAKO
ndo nilikuwa mbele pale
pga bas sasa simu ninayo apa kwenye naniiii nimeibana!!!
yeyote tu
manake ata 0 sina kwa sasa
per ya capacity
SNA UJANJA WA KUTOPPOKEA CM YAKO
ndo nilikuwa mbele pale
pga bas sasa simu ninayo apa kwenye naniiii nimeibana!!!
Bacha please! please! wacha kutaka kutuchonganisha aisee, mimi na yeye tumeshibana ati! hata nikimkuta na zile wanaita sijui nini?? na nini?? kwenye mkoba kama ile thread kule ya yule jamaa na mkewe mi namuamini bana!. Big up mama Rose 1980, naziba masikio mimi!:horn:
Yaani unanikana mbele ya umati wote huu, walahi nakwendea kwa sheikh yahaya, utaona lazima leo urudi nyumbani kwangu na ukirudi tu nakulaza miguuni hata uniambieje, sikupi....!!!
rewind kipande cha Bob, cha Zion Train!!!!!!!!!
Usijali Laaziz, najua unapenda nini wewe tena, Ntafurahi kupata majani zaidi na zaidi na uji ukiwa wa ulezi itakuwa mswano ile ileeee! hebu kabla haujaisha huo unganisha na huu hapa: NO WOMAN NO CRY!.. Pls fanya hima uniPM ili nijue wapi pa kukupata nisipokuona tena bana, roho isije konda tena...:dance:dah sijui umejuaje km napenda i kitu
...just me n u common stil t up.....dah napenda mistari yake....!!!!!!
m here ntakuwekea majan mengine kwenye uji so UTAKUNYWA UJI WA KINGSTONEEEEEEEEEE ....siyo wa kndon tena!!!!!!!
noted, naomba ulinzi lakini!
Usijali Laaziz, najua unapenda nini wewe tena, Ntafurahi kupata majani zaidi na zaidi na uji ukiwa wa ulezi itakuwa mswano ile ileeee! hebu kabla haujaisha huo unganisha na huu hapa: NO WOMAN NO CRY!.. Pls fanya hima uniPM ili nijue wapi pa kukupata nisipokuona tena bana, roho isije konda tena...:dance:
OMG, thanks you are back!!dah ras wangu m here ma beb boy
i was kind of bze....apa nimefanya kwenda toi ndo nimepata mda bt dah vangareat bt fm tomorow i wl b ok chatng madudu dudu fongo km kawaida.....missng u ma dear ras
kp t real sweetie...mwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!1
thax for missng me!!!!!!!
ntaku pm usijali ili nxt tyme ukinikosa usikonde sana ....utajua pakunipata!!!!!
satisfy ma soul
2.one love up by bob marley is ya dedication.....!!!!
m kp t greeen u just kp t red for the rainbow is over our shadow....!!!!!!!