Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
bado anakaa huko? mtoto mzuri hivyo hawezi endelea kukaa kigogo.Nenda Kamtafute kwao Kigogo
bado anakaa huko? mtoto mzuri hivyo hawezi endelea kukaa kigogo.Nenda Kamtafute kwao Kigogo
mtoto mzuri namna hii anakaa kigogo! anywho, anakaa kigogo sehem gani mkuu?Nenda Kamtafute kwao Kigogo
bado anakaa huko? mtoto mzuri hivyo hawezi endelea kukaa kigogo.
hhahhhaaa!!kigogo wanakaa kina nani....?!!mtoto mzuri namna hii anakaa kigogo! anywho, anakaa kigogo sehem gani mkuu?
kigogo wanakaa wanawake dizaini ya ruby na maua sama si mtoto mzuri ka ndaukahhahhhaaa!!kigogo wanakaa kina nani....?!!
ni mngoni? duh nilijua anatokea waja leo warudi leo haonekani ka mngoniUna pesa kweli? Unajua wadada wa kingoni wanagarama sana, alafu ni mafundi ile hatar
maliki nani mkuu? ka maliki ameshindwa nna iman ntawezaMkuu mi nakuonea huruma tu meana Maliki alishindwa wewe utaweza kweli
ni mngoni? duh nilijua anatokea waja leo warudi leo haonekani ka mngoni
yeah mkuu!! Rose ni Mngoni yani nyumbii hi...Pombi hii Parepare pamfaranyakiii..ni mngoni? duh nilijua anatokea waja leo warudi leo haonekani ka mngoni
tafuteni hela vijana haya mambo yana wenyew mtoto kila siku anataka avae laki mbili atupie insta utaweza wap mkuuem mwenye namba ya hutu dada anisaidie. nimejarib kuziba hisia zangu najidanganya nampenda rose ndauka mpaka nakufwaz wanasema age is just a number waungwana nisaidieni jinsi ya kumpata huyu dada nitoe dukuduku langu la siku nyingi asanteni
Umeonaeee!! Alafu alivyokuwa mtekee, usiombe ukutane nae face to face hauta choka kuwa nae, kiukweli dada angu ni mzur bana!Ana tabasamu murua
Imekuw vizur/vibaya san jf kutumia majina ambayo si halisi.Unaweza kukuta Rose Ndauka kumbe ndo Nifah au Rubi...anakuchora tu na kithread chakoem mwenye namba ya hutu dada anisaidie. nimejarib kuziba hisia zangu najidanganya nampenda rose ndauka mpaka nakufwaz wanasema age is just a number waungwana nisaidieni jinsi ya kumpata huyu dada nitoe dukuduku langu la siku nyingi asanteni
Yule jamaa alezaa nae yule mtotomaliki nani mkuu? ka maliki ameshindwa nna iman ntaweza
ndauka siku hizi anaimba?huyo anatoka na mnenguaji wake
we jamaa acha fiksi rose ameolewa lini?angalia jamaa asije akakupiga kipara yani unampenda mke wa mtu tena unatangaza mitandaoni...kweli utoto unakusumbua
mkuu usinichulie poa pesa ndogo sana hizo hahahatafuteni hela vijana haya mambo yana wenyew mtoto kila siku anataka avae laki mbili atupie insta utaweza wap mkuu
wanapatikana kitaa gani nielekeze niwafwateWapo wengi kma uyo kitaa au shida ni umaarufu......