MKL
Senior Member
- Mar 2, 2012
- 126
- 77
"Niliwahi kumsikia Dr. Slaa kwamba afadhali wamsingizie kwamba alikosana na baadhi ya maaskofu hapo angetetemeshwa kidogo na tuhuma hizo. Pia mlioangalia mdahalo kwenye TV siku mbili kabla ya uchaguzi wa 2010, Dr. Slaa alieleza wazi kwamba alipokuwa TEC, contena lilikuwa likija kwa kutumia jina la kanisa alikwua anaingilia na kwa kusaidian na Usalama wa Taifa walikuwa wanalipiga"
Nakubaliana na Theory hii ni ukweli ila kwenye Kipindi hicho cha runinga wakati huo Dr. hakufunguka kiviile kutokana na maadili yake na ukweli ni kwamba si kila kitu ni lazima kisemwe hadharani......
Nakubaliana na Theory hii ni ukweli ila kwenye Kipindi hicho cha runinga wakati huo Dr. hakufunguka kiviile kutokana na maadili yake na ukweli ni kwamba si kila kitu ni lazima kisemwe hadharani......