Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Chanzo:Aljazeera TV. Jiji la Roma limekumbwa na machafuko kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga ushindi wa waziri mkuu Berlusconi katika kura za kutokuwa na imani naye,alioupata bungeni. Waandamanaji wanampinga waziri mkuu huyo kwavile anahusishwa na biashara za kimafia.